Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Si ndio maana sasa hivi tunasema tuko vizuri?Jiwe alileta mpaka kodi za youtube
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio maana sasa hivi tunasema tuko vizuri?Jiwe alileta mpaka kodi za youtube
Ona huyu kima wa CCM
Na bado!
Si mlikuwa mnademka nae hapa kwamba anaupiga mwingi? Hata miezi miwili haijapita tayari mmemgeuka?
Sasa lipa kodi bila malalamiko. Hayo ndio matunda ya kuupiga mwingi kumweka sabaya korokoroniAlikuwa anaupiga mwingi kumuweka Sabaya korokoroni
Hahahahhaha hilo la kwanza ndio mwibaNchi kwa sasa inakabiliwa na Matatizo makubwa matatu.
- Mwigulu Nchemba
- CCM
- Katiba ya Mwaka 1977
Mama anaupiga kwer kweriNa bado!
Si mlikuwa mnademka nae hapa kwamba anaupiga mwingi? Hata miezi miwili haijapita tayari mmemgeuka?
Bila kumsahau Idd Zungu, aliyeleta wazo hili la Kijinga na kinyonyaji.Nchi kwa sasa inakabiliwa na Matatizo makubwa matatu.
- Mwigulu Nchemba
- CCM
- Katiba ya Mwaka 1977
Hahahahahhah dah umenichekesha sana man! Kwahio password ya hazina kafa nayo JPM sasa shughuli za miradi zitaendajeJamani serikali haipendi kuwafanyieni hivi ila hakuna namna maana mwendazake alikufa na baadhi ya passwords za akiba ya taifa
Wote si mnajua namna kifo kilivyomvaa ghafla,hakupata hata nafasi ya kuwambia wanawe mayanga construction sio ya Kitwanga ni mali yao
Sasa Boda mwenye familia ahame kisa million moja? Labda muwape wale wanaopiga ngoma za mejja kunta na minyoo ya ajabu ajabuUsijaribu ata kuwaza hilo wazo utalia jinsi watanzania wasivyo waaminifu kweli mil 1unampatia boda aifikishe boda atakupiga atahama na mkoa wa kufanyia kaz
Ili mradi wasitufuate tena huko bank...!Wnataka tutumie bank
kwakweli na wabunge wote wakatwe kodi za mishahara na marupurupu yao, sijui huko bungeni wanawawakilisha kina nani.Makato mapya ya Miamala ya fedha katika Simu yanatisha, vipi Muamala mmoja ukatwe kodi mara mbili?
Tuanze pia kuonesha UZALENDO kwenye kukata KODI ya Uzalendo kwenye marupurupu yote wanayolipwa wabunge wetu ambayo kwa sasa hawakatwi chochote
Mfikishieni ujumbe huu Waziri Mwigulu malipo yapo juu sana. Uzalendo huoneshwa kwa mtu kujitoa yeye mwenyewe bila kulazimishwa.
Kweli kabisa sikutegemea kabisa kwa kwa hili toka kwa mama.pamoja na mambo yote machafu ya mwendazake kwa hili asingekubali kabisaOna huyu kima wa CCM