Kodi mbili kwenye muamala mmoja! Tuseme hapana

Kodi mbili kwenye muamala mmoja! Tuseme hapana

Serikali inataka kuwafanya Wananchi muache uvivu....Wewe kama unatuma pesa ndani ya eneo hilohilo kwa nini utumie mtandao?.

Tumieni fursa muanzishe huduma fasta za bodaboda...milioni moja inakimbizwa kwa Muhusika unalipa elfu moja, au mbili, au tatu hata tano kuliko kupoteza elfu ishirini.
Kwenye bodaboda nako wameongeza 100 kwenye Lita 1 ya mafuta
 
Serikali inataka kuwafanya Wananchi muache uvivu....Wewe kama unatuma pesa ndani ya eneo hilohilo kwa nini utumie mtandao?.

Tumieni fursa muanzishe huduma fasta za bodaboda...milioni moja inakimbizwa kwa Muhusika unalipa elfu moja, au mbili, au tatu hata tano kuliko kupoteza elfu ishirini.
Usijaribu ata kuwaza hilo wazo utalia jinsi watanzania wasivyo waaminifu kweli mil 1unampatia boda aifikishe boda atakupiga atahama na mkoa wa kufanyia kaz
 
Usijaribu ata kuwaza hilo wazo utalia jinsi watanzania wasivyo waaminifu kweli mil 1unampatia boda aifikishe boda atakupiga atahama na mkoa wa kufanyia kaz
Kuna kampuni linafanya hiyo Kazi....Na niliwasikia kabla hata ya hizi kodi
 
Kujenga nchi? wakati wenzetu wakila nchi kuna sababu gani wabunge wasilipe chochote kwenye mapato yao makubwa huku siye tusio na kitu tunalipishwa kodi mara mbilimbli kama siyo uharamia nini?
Yaani ilipaswa wao waonyeshe Mfano wako wabunge 200 na kitu wawe wanakatwa kodi ya uzalendo kwenye sitting allowance na mengineo
 
Sasa hivi ni kurudi kwenye mabenki. Kwenye huduma za kibenki nyingi zimesogezwa karibu na makazi ya watu kupitia ATM na Mawakala wao. Kwa uzoefu wangu unaniambia, kuingiza au kutuma pesa kwa wakala hakuna gharama na kutoa kwenye ATM haizidi sh. 2,000 na kutoa kwa wakala haifiki sh. 4,000. Shida itakuwa kwenye vijiji visivyo na huduma hizo.

Hata hivyo baadhi ya vijiji kusafiri kutoka kijijini hadi wilayani au sehemu zinapopatikana hizo huduma nauli ya kwenda na kurudi wengi haizidi sh. 10,000.
 
Usijaribu ata kuwaza hilo wazo utalia jinsi watanzania wasivyo waaminifu kweli mil 1unampatia boda aifikishe boda atakupiga atahama na mkoa wa kufanyia kaz
Nimesema kuwe na utaratibu, sijamaanisha kuokota tu Bodaboda yeyote.

Watu wanatuma parcel zenye thamani hata kuzidi hiyo na zinafika salama.

Hawa wanakuwa watu special, either wanakuwa sehemu ya Duka la huduma za fedha linaloaminika ambao hawawezi kubabaika kwa sh milioni moja ya Mteja...na sio kila kibanda cha Mpesa....inakuwa mfano wa huduma kama za Uber hivi n.k.
 
Makato mapya ya Miamala ya fedha katika Simu yanatisha, vipi Muamala mmoja ukatwe kodi mara mbili?

Tuanze pia kuonesha UZALENDO kwenye kukata KODI ya Uzalendo kwenye marupurupu yote wanayolipwa wabunge wetu ambayo kwa sasa hawakatwi chochote

Mfikishieni ujumbe huu Waziri Mwigulu malipo yapo juu sana. Uzalendo huoneshwa kwa mtu kujitoa yeye mwenyewe bila kulazimishwa.
Kabisa mkuu.. na wabunge wakatwe kodi aisee
 
Safari zitaongezeka, laki makato yake ni zaidi ya 9,500 kutuma na kutolea hapo nauli ya kuifuata ukute haizidi elfu 5 aisee naifuata
Exactly, Watu waache uvivu.

Mtu una hela yako akikwambia 'nikutumie' unamwambia 'naifuata'...ikiwezekana hata nauli mnachangia maana nae angetuma angekwanguliwa.
 
Mnaacha kusaini petition za kupinga ishu kama hizi mnasaini za diamond atoke BET ndo matokeo yake haya.
Ndio akili za Watanzania...ukiwashirikisha jambo la kumuangusha Mwenzao muitikio ni mkubwa, kumbe inachagizwa tu na roho mbaya.
 
Makato mapya ya Miamala ya fedha katika Simu yanatisha, vipi Muamala mmoja ukatwe kodi mara mbili?

Tuanze pia kuonesha UZALENDO kwenye kukata KODI ya Uzalendo kwenye marupurupu yote wanayolipwa wabunge wetu ambayo kwa sasa hawakatwi chochote

Mfikishieni ujumbe huu Waziri Mwigulu malipo yapo juu sana. Uzalendo huoneshwa kwa mtu kujitoa yeye mwenyewe bila kulazimishwa.
Mbunge mshahara wake hukatwi kodi na wala hachangii chochote kwny mifuko ya hifadhi ya jamii lakini muda wake ukiishi analipwa kinua mgongo hiyo pesa inatoka wapi???? Ndo maana hawana uchungu na hizi tozo za ajabu
 
Serikali ilitakiwa kuweka namba ya simu kwa mtu ambae atapenda kutuma iyo hela ya uzalendo na sio kulazimishana,hapa mama kachemka sana
 
Mama awe makini na hawa watendaji wake kina mwigulu wameamua kumuharibia kwa wananchi Ili achukue, kumbuka mwigulu anautamani uraisi,njia pekee ya kumuharibia mama ni kama hivi Ili achukuwe na wananchi.Hakuna nchi yeyeto duniani yenye tozo kama hizi.
Tulimwambia hawa jiwe toxin awamkubali watamhurabia.
Anashindwa vipi kusuka watu wake,hili kundi litamuharibia shauri yake

View attachment 1854419
Wewe acha kumsingizia Magufuli mjinga wewe, Magufuli toxic ndo kitu gani? Serkali isikilize kilio cha wananchi na ijue kuwa sekta ya fedha imeajiri vijana wengi kama mawakala wa fedha so ikishupaza shingo itaongeza tatizo la ajira ikiwa ni pamoja na kupunguza mzunguko wa fedha.
 
Wewe acha kumsingizia Magufuli mjinga wewe, Magufuli toxic ndo kitu gani? Serkali isikilize kilio cha wananchi na ijue kuwa sekta ya fedha imeajiri vijana wengi kama mawakala wa fedha so ikishupaza shingo itaongeza tatizo la ajira ikiwa ni pamoja na kupunguza mzunguko wa fedha.
Ccm upenda vijana wengi wawe masikini, ukiwa masikini at the end ni lzm utakuwa mjinga ukiwa mjinga utachagua ccm
 
Back
Top Bottom