Hawa watu watavuruga sana biashara ya pesa kwa mitandao. Hata kile walichokuwa wakipata hawatapata tena....!Yaani pesa hazitumwi Tena ovyo ovyo Kama tulivyozoea Mana inayoenda nje ni nyingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watu watavuruga sana biashara ya pesa kwa mitandao. Hata kile walichokuwa wakipata hawatapata tena....!Yaani pesa hazitumwi Tena ovyo ovyo Kama tulivyozoea Mana inayoenda nje ni nyingi sana
kabisa na usishangae leo watu washasahau wakaanza kujadili Rolls Royce ya Diamond. Hilo ndilo tunallijua wa TZ. Kushadadia topic mtandaoni kutoka na upepo tu sio kwa kutaka suluhisho au kuwajibisha mtu.SISI NI WAZEE WA KULALAMIKA KWENYE MITANDAO IMEISHA HIYO
Kama ni demu unampa ten ya matumizi hebu cheki ataambulia ngapi.Hawa watu watavuruga sana biashara ya pesa kwa mitandao. Hata kile walichokuwa wakipata hawatapata tena....!
Ule ni wizi kabisa unataunziwa unapata bila interest wao washazunguziaKama ni demu unampa ten ya matumizi hebu cheki ataambulia ngapi.
Yaani mie hela yangu huwa inaniumaje.
Kwanza ndo Mana huwa sipendi kazi za kutunziwa hela za uzeeni.
Yaani tunamalizana mbona wazee wangu hawakutunziwaga hela na wanaishi bana.maisha tunatishana na wakati Nikola ndizi mbili na maji Safi naishi.
Na wewe imekuchomaSisi tunahenyeshwa ili kumaintain maisha ya gharama ya wengine.
Hamna kodi mara mbili bwashee, mwamala mmoja una tozo (kama cost of service) na kodi ya serikali.Makato mapya ya Miamala ya fedha katika Simu yanatisha, vipi Muamala mmoja ukatwe kodi mara mbili?
Tuanze pia kuonesha UZALENDO kwenye kukata KODI ya Uzalendo kwenye marupurupu yote wanayolipwa wabunge wetu ambayo kwa sasa hawakatwi chochote
Mfikishieni ujumbe huu Waziri Mwigulu malipo yapo juu sana. Uzalendo huoneshwa kwa mtu kujitoa yeye mwenyewe bila kulazimishwa.
Hiyo cost of service inakatwa VAT ujue.Hamna kodi mara mbili bwashee, mwamala mmoja una tozo (kama cost of service) na kodi ya serikali.
Tufanye mengine tuiache serikali ikusanye kodi
VAT ipo kwenye kila kitu...Hiyo cost of service inakatwa VAT ujue.
Ndiyo maana ya Kodi mara mbili. Unakatwa VAT, na hapo hapo tozo ya serikali.VAT ipo kwenye kila kitu...
Leo tunaona Giza mbeleni naimani tutaona ukungu.Makato mapya ya Miamala ya fedha katika Simu yanatisha, vipi Muamala mmoja ukatwe kodi mara mbili?
Tuanze pia kuonesha UZALENDO kwenye kukata KODI ya Uzalendo kwenye marupurupu yote wanayolipwa wabunge wetu ambayo kwa sasa hawakatwi chochote
Mfikishieni ujumbe huu Waziri Mwigulu malipo yapo juu sana. Uzalendo huoneshwa kwa mtu kujitoa yeye mwenyewe bila kulazimishwa.
Zile jitihada tungekua tunazitumia kwenye mambo kama haya walau hali isingekua mbaya namna hii. Wanasiasa wengi si upinzani si watawala wapo kimaslahi binafsi zaidi.Ndio akili za Watanzania...ukiwashirikisha jambo la kumuangusha Mwenzao muitikio ni mkubwa, kumbe inachagizwa tu na roho mbaya.
Ni matokeo ya kura za 2020..!Sisi tunahenyeshwa ili kumaintain maisha ya gharama ya wengine.
Umelala yoooo! Baba umelala yoooo!Makato mapya ya Miamala ya fedha katika Simu yanatisha, vipi Muamala mmoja ukatwe kodi mara mbili?
Tuanze pia kuonesha UZALENDO kwenye kukata KODI ya Uzalendo kwenye marupurupu yote wanayolipwa wabunge wetu ambayo kwa sasa hawakatwi chochote
Mfikishieni ujumbe huu Waziri Mwigulu malipo yapo juu sana. Uzalendo huoneshwa kwa mtu kujitoa yeye mwenyewe bila kulazimishwa.
Minadani na vijijini Hakuna benkWnataka tutumie bank
Mama anaupiga mwingi
Ona huyu kima wa CCM