Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Kwani mapato kwa makampuni yameanza kushuka?
Yule CEO wa Voda ametangaza kung’atuka , kwa sababu kani?!
Yule CEO wa Voda ametangaza kung’atuka , kwa sababu kani?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MapatoKwani mapato kwa makampuni yameanza kushuka?
Yule CEO wa Voda ametangaza kung’atuka , kwa sababu kani?!
Waziri mzigoMwigulu inatakiwa afukuzwe kazi ,amefeli sana!
Wafanyabiashara wa Xpesa wanasema kamisheni imepungua sana means watu wamepungua waliokuwa wanafanya miamala....Kuna mmoja alikuwa anapata commision hadi laki 6 ila kwasasa ana laki na ushee.
Kwahio msingi wa kesi unakuwa ni kitu gani hapo meko!?
Kesi ya nyani hakimu ngedere 😂😂😂😅😅😅😂