Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,187
- 1,914
- Thread starter
- #101
Mjinga wewe, kodi ama tozo inapaswa kutozwa kwenye faida ama mapato (income) na sio kwenye mitaji.Hata hivyo kesi itakuwa haina mashiko kwamba unaishitaki Jamhuri kwa Kuanzisha kodi au tozo au? Kwani kodi ni dhambi au ni kinyume na sheria?
Mwambie jamaa alipe kodi hakuna maendeleo ya mkato mkato, Serikali haiwezi kupunguza hili na miamala inaendelea kama kawaida
Zaidi ya yote, huwezi kutoza kodi mbili kwenye muamala mmoja. Hiyo ni kinyume na kanuni za utozaji kodi.
Hakuna kodi inayoitwa kodi ya uzalendo. Huu ni WIZI na UTAPELI.
Ni UHUNI abi initio. Hakuna kitu kama hicho duniani.