Kodi mpya za miamala: Mahakama iweke zuio la haraka

Kodi mpya za miamala: Mahakama iweke zuio la haraka

watanzania hawana tatizo na makato ila tunacho kitaka ni fedha hizi zisichezewe, isitokee watu kuzidokoa.
serikali iwe makini tu kwenye malengo.
watanzania tuko tayari na tunaendelea kutoa kodi.
kamwe serikali isipumbazwe na kelele za wapinga maendeleo ambao wana dhamiri ya kusumbua awamu hii ya 6.
serikali iwe imara isikubali kuyumba wala kuyumbishwa.

wabunge wetu ambao ndio wawakilishi wetu bungeni wamejadili na kuona umuhimu na faida tutakayo ipata kutokana na kodi hizi.
mjenge nchi ni mwananchi maenyewe.
tusikilize maneneo wanasiasa wasaka tonge
Wewe kama nani hadi uwasemee watanzania wote?. Hata kipindi cha ukoloni kuna wapuuzi kama wewe ambao walikua wakiitikia kila kitu ambacho mkoloni alikua anakileta bila kutofautisha faida na hasara ya jambo husika. Eti watanzania hawana tatizo na makato kwani wewe ndie muwakilishi wao?. Kama watanzania hawana shida na makato iweje nchi mzima mada kuu iliyopo ni malalamiko ya makato haya au wewe huko uliko unaishi polini?. Mbona watanzania wanalipa kodi nyingi sana kila siku hivi hujiulizi iweje makato haya yanapigiwa kelele?.

Jitahidi hata kidogo kuficha upumbavu wako mbele za watu.
 
Jamani tunafungua nchi tulieni tumewapa demokrasia pigeni story mitandaoni

Maskini wamerudi kuwa mashetani mamaeeeee

Matajiri piga keleleeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huu uharamia wa kodi mpya za miamala ya simu unapaswa kusimama.

Wanasheria wetu mtusaidie hili. Hakuna kitu kinachoitwa sijui "kodi ya uzalendo" — Lazima Mahakama iweke ZUIO la hizi kodi za kitapeli.

Hauwezi ukakata kodi mara tatu kwenye muamala mmoja. Huo ni uhuni na wizi.

Hizi ndizo kodi za dhulma tulizokuwa tunazisema.

Badala ya kudhibiti madini na bandari pamoja na vitega uchumi vingine vikubwa, mmewaachia wazungu wanajichotea tu, halafu mnatengeneza vijikodi vya ajabu ajabu mnamtwika mwananchi mara tatu tatu?

HAPANA, Double taxation ni uhuni na dhuluma ambayo inapaswa kusimama.

Msituletee mambo ya kuupiga mwingi hapa. Kodi za kitapeli ni mwiko.

Wanasheria fanyeni kazi yenu, na tutaipima mahakama kama bado inajitambua kupitia hili.
Hayo matawi ya CCM yana kitu?
 
Wewe kama nani hadi uwasemee watanzania wote?. Hata kipindi cha ukoloni kuna wapuuzi kama wewe ambao walikua wakiitikia kila kitu ambacho mkoloni alikua anakileta bila kutofautisha faida na hasara ya jambo husika. Eti watanzania hawana tatizo na makato kwani wewe ndie muwakilishi wao?. Kama watanzania hawana shida na makato iweje nchi mzima mada kuu iliyopo ni malalamiko ya makato haya au wewe huko uliko unaishi polini?. Mbona watanzania wanalipa kodi nyingi sana kila siku hivi hujiulizi iweje makato haya yanapigiwa kelele?.

Jitahidi hata kidogo kuficha upumbavu wako mbele za watu.
Huyo anaishi kwa shemeji yake
 
Huu uharamia wa kodi mpya za miamala ya simu unapaswa kusimama.

Wanasheria wetu mtusaidie hili. Hakuna kitu kinachoitwa sijui "kodi ya uzalendo" — Lazima Mahakama iweke ZUIO la hizi kodi za kitapeli.

Hauwezi ukakata kodi mara tatu kwenye muamala mmoja. Huo ni uhuni na wizi.

Hizi ndizo kodi za dhulma tulizokuwa tunazisema.

Badala ya kudhibiti madini na bandari pamoja na vitega uchumi vingine vikubwa, mmewaachia wazungu wanajichotea tu, halafu mnatengeneza vijikodi vya ajabu ajabu mnamtwika mwananchi mara tatu tatu?

HAPANA, Double taxation ni uhuni na dhuluma ambayo inapaswa kusimama.

Msituletee mambo ya kuupiga mwingi hapa. Kodi za kitapeli ni mwiko.

Wanasheria fanyeni kazi yenu, na tutaipima mahakama kama bado inajitambua kupitia hili.
Mimi ningelielewa bunge Kama lingekuja na pendekexo la Kila mtu mwenye umri zaidi ya miaka 18 kulipa Kodi labda ya sh. 1000 kwa mwaka kwa ajili ya kuisaidia serikali kukamilisha mipango yake ya maendeleo kwa faida ya Kila mtanzania. Wakati huo viongozi waonyeshe kwa vitendo uzalendo kwa kuzitumia fedha hizo kwa uadilifu. Hizi za kwenye miamala Kwanza haitakuwa rahisi zijulikane kiuwazi ni sh. ngapi zitakusanywa Kwani hakuna anayejua ni miamala mingapi itafanyika. Uzalendo ni lazima limguse Kila mtanzania na kwa kiwango kinachofanana. Pia uzalendo ni lazima utanguliwe na mafundo. Lazima watanzania wote wafundwe kuwa wazalendo na waone matunda ya kuwa wazalendo.
 
Huu uharamia wa kodi mpya za miamala ya simu unapaswa kusimama.

Wanasheria wetu mtusaidie hili. Hakuna kitu kinachoitwa sijui "kodi ya uzalendo" — Lazima Mahakama iweke ZUIO la hizi kodi za kitapeli.

Hauwezi ukakata kodi mara tatu kwenye muamala mmoja. Huo ni uhuni na wizi.

Hizi ndizo kodi za dhulma tulizokuwa tunazisema.

Badala ya kudhibiti madini na bandari pamoja na vitega uchumi vingine vikubwa, mmewaachia wazungu wanajichotea tu, halafu mnatengeneza vijikodi vya ajabu ajabu mnamtwika mwananchi mara tatu tatu?

HAPANA, Double taxation ni uhuni na dhuluma ambayo inapaswa kusimama.

Msituletee mambo ya kuupiga mwingi hapa. Kodi za kitapeli ni mwiko.

Wanasheria fanyeni kazi yenu, na tutaipima mahakama kama bado inajitambua kupitia hili.
Ukweli wa katiba ya viraka utajulikana. Tuombe mawakili waungane kuondoa hii tozo. Huyu waziri ana nuksi. Kila mahali anapowekwe lazima nchi nzima iwe na stress.
 
Kwahio msingi wa kesi unakuwa ni kitu gani hapo meko!?

Kesi ya nyani hakimu ngedere 😂😂😂😅😅😅😂
Hata hivyo kesi itakuwa haina mashiko kwamba unaishitaki Jamhuri kwa Kuanzisha kodi au tozo au? Kwani kodi ni dhambi au ni kinyume na sheria?

Mwambie jamaa alipe kodi hakuna maendeleo ya mkato mkato, Serikali haiwezi kupunguza hili na miamala inaendelea kama kawaida
 
Changia maendeleo ya nchi yako. Kumbuka corona ipo na inaua...
Huu uharamia wa kodi mpya za miamala ya simu unapaswa kusimama.

Wanasheria wetu mtusaidie hili. Hakuna kitu kinachoitwa sijui "kodi ya uzalendo" — Lazima Mahakama iweke ZUIO la hizi kodi za kitapeli.

Hauwezi ukakata kodi mara tatu kwenye muamala mmoja. Huo ni uhuni na wizi.

Hizi ndizo kodi za dhulma tulizokuwa tunazisema.

Badala ya kudhibiti madini na bandari pamoja na vitega uchumi vingine vikubwa, mmewaachia wazungu wanajichotea tu, halafu mnatengeneza vijikodi vya ajabu ajabu mnamtwika mwananchi mara tatu tatu?

HAPANA, Double taxation ni uhuni na dhuluma ambayo inapaswa kusimama.

Msituletee mambo ya kuupiga mwingi hapa. Kodi za kitapeli ni mwiko.

Wanasheria fanyeni kazi yenu, na tutaipima mahakama kama bado inajitambua kupitia hili.
 
Back
Top Bottom