michibo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,315
- 3,915
Siingilii uhuru wa mahakama ,ila naiamuru mahakama itoa amri mwigulu akamatwe na afungwe jiwe kubwa la kusagia akutupwe baharini anaupiga mwingi kwenye miamala yetu yakuungaunga.
Ni matumizi mabaya ya jiwe la kusagia, afungwe kwenye kiroba kisha atupwe ufukweni tu.