Kodi mpya za miamala: Mahakama iweke zuio la haraka

Kodi mpya za miamala: Mahakama iweke zuio la haraka

Huyu mama yenu si alikuwa anajitapa kwamba anaheshimu mahakama pamoja na Demokrasia?

Ngoja tuone.
Hahahaha mtaona rangi zake timamu nendeni huko mahakamani na mlete mrejesho!😅😅😅

Kama hatujaskia hakimu ametupia mbali shauri hilo la kimahakama maana halina mantiki 😂
 
hapo tayari umesha changia mwanao au mtoto wa ndugu yako akapate elimu bora, pia umesaidia ndugu yako popote alipo apate huduma bora hospitalini.
usijutie makato hayo, utafurahia huduma za afya, elimu na barabara.
mjenga nchi ni mwananchi, tujenge nchi yetu.
 
watanzania hawana tatizo na makato ila tunacho kitaka ni fedha hizi zisichezewe, isitokee watu kuzidokoa.
 
hapo tayari umesha changia mwanao au mtoto wa ndugu yako akapate elimu bora, pia umesaidia ndugu yako popote alipo apate huduma bora hospitalini.
usijutie makato hayo, utafurahia huduma za afya, elimu na barabara.
mjenga nchi ni mwananchi, tujenge nchi yetu.
HAPANA, sio kwa kodi za kitapeli.

Tuko tayari kulipa kodi zote stahiki lakini sio kodi za dhuluma zisizofuata kanuni za kiuchumi.

Huwezi ukalipa kodi tatu kwenye muamala mmoja! Hakunaga uchumi wa aina hiyo!
 
Kiukweli kama wanasheria wote nchi nzima hakuna hata aliyefungua case mpaka sasa kupinga huu uharamia, basi tupo nchi ya ajabu sana inayoenda enda tu watu wamekaa, hii na kwa hali ilivo mtaani ni kutaka kuwalaza watu njaa

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Tz ni nchi ya wapumbavu kama huu uhuni tumekaa kimya basi tunashida sana
 
Huu uharamia wa kodi mpya za miamala ya simu unapaswa kusimama.

Wanasheria wetu mtusaidie hili. Hakuna kitu kinachoitwa sijui "kodi ya uzalendo" — Lazima Mahakama iweke ZUIO la hizi kodi za kitapeli.

Hauwezi ukakata kodi mara tatu kwenye muamala mmoja. Huo ni uhuni na wizi.

Hizi ndizo kodi za dhulma tulizokuwa tunazisema.

Badala ya kudhibiti madini na bandari pamoja na vitega uchumi vingine vikubwa, mmewaachia wazungu wanajichotea tu, halafu mnatengeneza vijikodi vya ajabu ajabu mnamtwika mwananchi mara tatu tatu?

HAPANA, Double taxation ni uhuni na dhuluma ambayo inapaswa kusimama.

Msituletee mambo ya kuupiga mwingi hapa. Kodi za kitapeli ni mwiko.

Wanasheria fanyeni kazi yenu, na tutaipima mahakama kama bado inajitambua kupitia hili.
Wata sema hawata weza ingilia mhimili mwingine. Tefer records.....
 
Kiukweli kama wanasheria wote nchi nzima hakuna hata aliyefungua case mpaka sasa kupinga huu uharamia, basi tupo nchi ya ajabu sana inayoenda enda tu watu wamekaa, hii na kwa hali ilivo mtaani ni kutaka kuwalaza watu njaa

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Wanasheria wetu wamesinzia sana wanatakiwa waamke sasa!

Huwezi kuta huu ujinga Kenya
 
Huu uharamia wa kodi mpya za miamala ya simu unapaswa kusimama.

Wanasheria wetu mtusaidie hili. Hakuna kitu kinachoitwa sijui "kodi ya uzalendo" — Lazima Mahakama iweke ZUIO la hizi kodi za kitapeli.

Hauwezi ukakata kodi mara tatu kwenye muamala mmoja. Huo ni uhuni na wizi.

Hizi ndizo kodi za dhulma tulizokuwa tunazisema.

Badala ya kudhibiti madini na bandari pamoja na vitega uchumi vingine vikubwa, mmewaachia wazungu wanajichotea tu, halafu mnatengeneza vijikodi vya ajabu ajabu mnamtwika mwananchi mara tatu tatu?

HAPANA, Double taxation ni uhuni na dhuluma ambayo inapaswa kusimama.

Msituletee mambo ya kuupiga mwingi hapa. Kodi za kitapeli ni mwiko.

Wanasheria fanyeni kazi yenu, na tutaipima mahakama kama bado inajitambua kupitia hili.
Hio kesi unafungua mahakama ya nchi gani? Miga?
 
watanzania hawana tatizo na makato ila tunacho kitaka ni fedha hizi zisichezewe, isitokee watu kuzidokoa.
serikali iwe makini tu kwenye malengo.
watanzania tuko tayari na tunaendelea kutoa kodi.
kamwe serikali isipumbazwe na kelele za wapinga maendeleo ambao wana dhamiri ya kusumbua awamu hii ya 6.
serikali iwe imara isikubali kuyumba wala kuyumbishwa.

wabunge wetu ambao ndio wawakilishi wetu bungeni wamejadili na kuona umuhimu na faida tutakayo ipata kutokana na kodi hizi.
mjenge nchi ni mwananchi maenyewe.
tusikilize maneneo wanasiasa wasaka tonge.
 
Back
Top Bottom