Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,187
- 1,914
- Thread starter
- #61
We Mwigulu Nchemba nimekueleza mwisho wako ni 2025.kodi hii imepitishwa na BUNGE letu tukufu
Endelea kuroga sana, vinginevyo... wafaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We Mwigulu Nchemba nimekueleza mwisho wako ni 2025.kodi hii imepitishwa na BUNGE letu tukufu
Acheni huu ujinga hakuna kinachofanyika bila baraka zake labda uniambie ana uwezo mdogo wakuchanganua mamboama
Jamani hili jambo ni serious ebu vijana muhamasike ikibidi vipi ingieni mitaani kama wazulu hawa jamaa wanatuona minyumbuNgoja tuhamasishe mgomo kwa siku moja ili tuone. Je? yale malipo ya serikali ambazo tunayolipa kwa njia ya M-Pesa nayo yanakatiwa kodi?
Yule bibi anamdanganya Sana nae anaamini kuna siku atakuja kuwa raisiWe Mwigulu Nchemba nimekueleza mwisho wako ni 2025.
Endelea kuroga sana, vinginevyo... wafaa!
Hahaha kweli mkuu amepoteza hadhi ya kufungwa jiwe la kusagia
Mpaka 2025? Hapa katikati anamkataba na Mungu?We Mwigulu Nchemba uhuni wako mwisho 2025.
Una uhakika gani imeenda kujenga taifa?leo asubuhi nimetoa elfu kumi kama kujaribisha zoezi wamekata 1125 kwa hiyo kilichozidi ni 125 tu KWA DHATI KABISA NIMEFURAHI SANA MAANA MAKATO HAYA YANAKWENDA MOJA KWA MOJA KATIKA KULIJENGA TAIFA LETU, # HONGERA KWA SEREKALI YETU.najaribu kutafakari endapo serekali itaamua kutumia debit card katika mfumo wetu wa kifedha jinsi gani serekali yetu itakuwa na fedha nyingi za kustaajabisha.
Fungate limeisha sasa wamerudi kwenye uhalisia. Acha upigwe mwingiWakati haya yanapitishwa bungeni mlikuwa mko kwenye honeymoon ya "mama anaupiga mwingi sana" huku mdemkaji namba moja ni wapinzani na wanamtandao maarufu wakisifia budget akiwemo Edo Kumwembe.
Sasa hao wapinzani ndio walalamishi namba moja juu ya hili! Mlifanikiwa kuweka wananchi kwenye ajenda against JPM ila matokeo ya muda mrefu ni haya.
Chorus juu ya Mwendazake hazina nguvu tena na sasa tunaishi uhalisia! Let's go [emoji124]
Mungu akimpenda itapendeza zaidi.Mpaka 2025? Hapa katikati anamkataba na Mungu?
Haaaa analindwa juu helkopita,chini mamitutu kibaoMungu akimependa itapendeza zaidi.
wanaharakati wao kesi wanazofungua ni kesi za kisiasa tu na zakubumba zisizo na mashiko lakini katika hilo wala hutowaonaKiukweli kama wanasheria wote nchi nzima hakuna hata aliyefungua case mpaka sasa kupinga huu uharamia, basi tupo nchi ya ajabu sana inayoenda enda tu watu wamekaa, hii na kwa hali ilivo mtaani ni kutaka kuwalaza watu njaa
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Huu uharamia wa kodi mpya za miamala ya simu unapaswa kusimama.
Wanasheria wetu mtusaidie hili. Hakuna kitu kinachoitwa sijui "kodi ya uzalendo" — Lazima Mahakama iweke ZUIO la hizi kodi za kitapeli.
Hauwezi ukakata kodi mara tatu kwenye muamala mmoja. Huo ni uhuni na wizi.
Hizi ndizo kodi za dhulma tulizokuwa tunazisema.
Badala ya kudhibiti madini na bandari pamoja na vitega uchumi vingine vikubwa, mmewaachia wazungu wanajichotea tu, halafu mnatengeneza vijikodi vya ajabu ajabu mnamtwika mwananchi mara tatu tatu?
HAPANA, Double taxation ni uhuni na dhuluma ambayo inapaswa kusimama.
Msituletee mambo ya kuupiga mwingi hapa. Kodi za kitapeli ni mwiko.
Wanasheria fanyeni kazi yenu, na tutaipima mahakama kama bado inajitambua kupitia hili.
Wapingane na serikali ili wafungiwe leseni za taaluma yao.wanaharakati wao kesi wanazofungua ni kesi za kisiasa tu na zakubumba zisizo na mashiko lakini katika hilo wala hutowaona
kwani kupingana na serikali watakua wameanza leo?siku zote wamekua wakipingana na serikali hawakuujua ubovu wa hiyo katiba?Wapingane na serikali ili wafungiwe leseni za taaluma yao.
Wachache wanadai katiba wanajua mapungufu yaliyomo.
Pia hakuna wakumshitaki kwa sababu wanakinga kisheria.
Lione hili nalo lilivyo lijinga, hapa chadema imekujaje?.hii sasa ndio kampeni mpya ya chadema baada ya kuona katiba mpya imekuwa ndoto za mchana.
ila chadema inazidi kujichafua zaidi kisiasa kwa kuhamasisha mambo ambayo ni kinyume na uzalendo, hakuna anaye shawishika na uhuni huu .