Kodi nyingi zitatuzindua usingizini Watanzania na kudai haki zetu, Nchemba umechemka kuhusu 18 years kulipa kodi ya kichwa

Kodi nyingi zitatuzindua usingizini Watanzania na kudai haki zetu, Nchemba umechemka kuhusu 18 years kulipa kodi ya kichwa

Hapo wangalau, japo kwenye mazingira makubwa unakuta kodi iko ndani tayari.
Kodi ya ndani sio yako ni ya mzalishaji ,tunataka Kodi ya bidhaa yako wewe..

Kila siku mnauziana mali kinyemela huwa mnalipa Kodi?

Mumepangisha nyumba huwa mnalipa Kodi?

Na mifano mingi kama hiyo kama mafundi,madalali, madereva Bajaj nk wanaingiza vipato huwa wanalipa Kodi ya mapato?
 
Double taxes ,itasumbua sana kwa maana kila kitu kinalipiwa kodi kwenye nchi hii,mafuta ,miamala ,bidhaa zote zina Kodi kiufupi hakuna kitu kisicholipiwa Kodi, ubunifu wa vyanzo vya mapato hakuna, ndio mana wanahangaika na kumkamua mwananchi wasiyemsaidia
 
Kodi ya ndani sio yako ni ya mzalishaji ,tunataka Kodi ya bidhaa yako wewe..

Kila siku mnauziana mali kinyemela huwa mnalipa Kodi?

Mumepangisha nyumba huwa mnalipa Kodi?

Na mifano mingi kama hiyo kama mafundi,madalali, madereva Bajaj nk wanaingiza vipato huwa wanalipa Kodi ya mapato?
Mkuu ile kodi yako sio ya mzalishaji VAT ni Indirect tax na ni consumption tax ambayo consumer ndie anayebeba tax burden mzalishaji yeye anakuwa kama agent katika kukusanya na ku remitt tax kwa tax authority.
 
tuliambiwa tutakula hata nyasi lakini ndege ya rais tutanunua tuu (hii ni sawa), sasa tutatoa kodi ya kichwa kufanikisha safari za rais kwenda kusalimia ndugu zake huko ughaibuni
acha uongo, Mama anaupiga mwingi. Chezea Mwigulu wewe - urais anautaka pia
 
Mkuu ile kodi yako sio ya mzalishaji VAT ni Indirect tax na ni consumption tax ambayo consumer ndie anayebeba tax burden mzalishaji yeye anakuwa kama agent katika kukusanya na ku remitt tax kwa tax authority.
Kwa hiyo mzalishaji wa bidhaa akitozwa Kodi kwenye malighafi huwa ni yako?

Wewe utapata Kodi baada ya Value addition ndio hiyo VAT..
 
Kwa hiyo mzalishaji wa bidhaa akitozwa Kodi kwenye malighafi huwa ni yako?

Wewe utapata Kodi baada ya Value addition ndio hiyo VAT..

Unachanganya mambo Mkuu, unapozungumzia VAT mlipaji ni consumer sio manufacturers. Pia manufacturers huruhusiwa ku claim input tax ambayo huja kuwa netted vs output tax ili kujua VAT payable.

Na pia kodi sio VAT tuu kuna Income tax pia kwa upande mwingine kule huwa kuna kitu kinaitwa Cost of Good Sold (COGSO) hapo manufacturers wameruhusiwa kudeduct expenses zao kwa kuzingatia Section 11 of Income tax Act CAP 332 RE 2019.

Mwisho kila mtu anayenunua bidhaa ni vyema akadai resiti.
 
Unachanganya mambo Mkuu, unapozungumzia VAT mlipaji ni consumer sio manufacturers. Pia manufacturers huruhusiwa ku claim input tax ambayo huja kuwa netted vs output tax ili kujua VAT payable.

Na pia kodi sio VAT tuu kuna Income tax pia kwa upande mwingine kule huwa kuna kitu kinaitwa Cost of Good Sold (COGSO) hapo manufacturers wameruhusiwa kudeduct expenses zao kwa kuzingatia Section 11 of Income tax Act CAP 332 RE 2019.

Mwisho kila mtu anayenunua bidhaa ni vyema akadai resiti.
Hivi unafanya biashara hata moja ambayo unatumia EFD?

Kama mlipaji ni Mwananchi pekee kwa nini wafanyabiashara hawataki kutoa risiti?

Nimekuuliza ,Kodi inayotozwa kwenye malighafi za kuzalishia Viwandani huwa unatoa wewe consumer?
 
Back
Top Bottom