Si mkifika huwa mnaambiwa km una hela kabidhi kwa mhudumu wa guest auChumba kimoja weka pesa na vitu vyako vingine huku mhudumu ukimwambia kuwa jamaa yako arakayekitumia yuko njiani na atafika muda wowote. Vifiche vizuri lakini, shauri yako...
Uzinzi ni dhambi kwako mkuu, huu ni unafki kma unafki mwingne [emoji706][emoji706]uzinzi ni dhambi, mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu. Binafsi kwenye guest yangu nimeweka wazi kabisa, ukiingia utaikuta Biblia ndogo, na kwenye karatasi nimeandika kuwa hii ni nyumba ya wageni, sio ya uzinzi, uzinzi ni dhambi na mimi sihusiki. kwisha. na sikosi watena pamoja na hayo. wale wasafi wanagombania Lodge yangu.
ndio kwangu mimi ni dhambi, na ninakazia kuwa ni dhambi hata kwako, pamoja na kujifanya una shingo ngumu na kusambaza ukimamasisha dhambi. Mungu anakuona.acha kiburi, Mungu hapendi.Uzinzi ni dhambi kwako mkuu, huu ni unafki kma unafki mwingne [emoji706][emoji706]
😂😂😂Hatuji lodge yako...biblia yako haitutishiuzinzi ni dhambi, mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu. Binafsi kwenye guest yangu nimeweka wazi kabisa, ukiingia utaikuta Biblia ndogo, na kwenye karatasi nimeandika kuwa hii ni nyumba ya wageni, sio ya uzinzi, uzinzi ni dhambi na mimi sihusiki. kwisha. na sikosi watena pamoja na hayo. wale wasafi wanagombania Lodge yangu.
Umejuaje hapendi ?ndio kwangu mimi ni dhambi, na ninakazia kuwa ni dhambi hata kwako, pamoja na kujifanya una shingo ngumu na kusambaza ukimamasisha dhambi. Mungu anakuona.acha kiburi, Mungu hapendi.
Hawa jamaa wa dini ni wagonjwa wa akili ,mbaya zaidi wanajiona wapo sawa.😂😂😂Hatuji lodge yako...biblia yako haitutishi