Kodi vyumba viwili guest kuepuka kuibiwa pesa zako na demu uliyemnunua kulala nae!

Kodi vyumba viwili guest kuepuka kuibiwa pesa zako na demu uliyemnunua kulala nae!

Acha kuvuta ugoro
Unahangaika saaana. Simple method.
1. Ukiingia nae ndani, sogeza kitanda mpaka kifike mlangoni.
2. Kwakua umeshamnunua, hana tena jeuri ya kupanga chochote so akifika tu, mwambie akaoge, akienda kuoga nyanyua kitanda weka ufunguo kwenye mguu wa kitanda.
3. Mwanaume huez tembea (tena usiku) bila silaha. Hakikisha haukosi pocket knife. Hyo utachana godoro kwa pembeni, unaeka hela zako huko unarudishia shuka.
4. Umeamua kulala na malaya, usilale kama uko kwa babaako, lala kwa machale yaliyozidi.
5. Ukiona nyege zako zmeisha, mtoe nje asepe zake, sio mkeo huyo wa kushikamana mpka kukuche maana wengi wanaibiwa kwenye kale ka usingizi ka asubuhi.

NAKAZIA!
sihalalishi uzinzi, lakn ni vyema na haki kuwa makini usije achwa uchi sokoni.
Sisapoti kuchana godoro ili uhifadhi pesa,, kila mteja akiwa anachana godoro mnatupa gharama sisi wamiliki wa lodge kununua magodoro mara kwa mara

Unasema aweke hela kwny godoro,,, hv unaweza kuweka milion 5 au 6 kwny godoro?? Mana jamaa anaonekana katoka kuuza ngombe zake pale pugu mnadani

Unasema atembee na kisu,, huon kuwa hii n hatar sana endapo akikutana na malaya mwenye kujitoa mhanga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisapoti kuchana godoro ili uhifadhi pesa,, kila mteja akiwa anachana godoro mnatupa gharama sisi wamiliki wa lodge kununua magodoro mara kwa mara

Unasema aweke hela kwny godoro,,, hv unaweza kuweka milion 5 au 6 kwny godoro?? Mana jamaa anaonekana katoka kuuza ngombe zake pale pugu mnadani

Unasema atembee na kisu,, huon kuwa hii n hatar sana endapo akikutana na malaya mwenye kujitoa mhanga?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, mpaka kwenda kununua na kulala na malaya tayar n kujitoa mhanga tosha.
Au niulize swali la kizushi, wewe ushawahi kununua malaya??
 
Risk sana kusafiri na Fedha nyingi. Weka E-money, safe zaidi.
 
Chumba kimoja weka pesa na vitu vyako vingine huku mhudumu ukimwambia kuwa jamaa yako arakayekitumia yuko njiani na atafika muda wowote. Vifiche vizuri lakini, shauri yako.

Chumba cha pili ndo ulale na huyo uliyemnunua huku mfukoni ukiwa na pesa yake TU basi! Ziada mfukoni humo labda mipira tu. Lakini ili asikustukie ongeza na mswaki na dawa ya meno.

My friend, itakugharimu malipo ya bure ya chumba kimoja zaidi (pengine 20k) lakini itakuepushia risk ya kupoteza malaki na mamilioni. Ukiibiwa kwa mbinu hii, njoo na risiti nikurudishie pesa yako.
kwa hiyo wewe unatembeaga na lundo la hela???
 
Chumba kimoja weka pesa na vitu vyako vingine huku mhudumu ukimwambia kuwa jamaa yako arakayekitumia yuko njiani na atafika muda wowote. Vifiche vizuri lakini, shauri yako.

Chumba cha pili ndo ulale na huyo uliyemnunua huku mfukoni ukiwa na pesa yake TU basi! Ziada mfukoni humo labda mipira tu. Lakini ili asikustukie ongeza na mswaki na dawa ya meno.

My friend, itakugharimu malipo ya bure ya chumba kimoja zaidi (pengine 20k) lakini itakuepushia risk ya kupoteza malaki na mamilioni. Ukiibiwa kwa mbinu hii, njoo na risiti nikurudishie pesa yako.
Unapatikana wapi mkuu unirudishie hela zangu, milioni moja yangu niliyoificha chumba cha mshikaji pamoja na masanduku yangu yameibiwa, nafikiri na hawa wahudumu wa hii Guest.
 
Uzinzi ni starehe ya watu wajinga
Mm nikiwa na hela Kuanzia 10k huwa sihitaji kusikia sauti Wala kuona sura ya Mwanamke.
 
Back
Top Bottom