Kodi vyumba viwili guest kuepuka kuibiwa pesa zako na demu uliyemnunua kulala nae!

Kodi vyumba viwili guest kuepuka kuibiwa pesa zako na demu uliyemnunua kulala nae!

Hii mbinu imekaa kitaalam saan
Kitaalamu sana, garama zote za nini, kama ni hivyo kwanini fedha usiziweke m-pesa airtel man, tigo pesa ukabaki na hela unayokusudia kuitumia tu, kuliko ulipie chumba, cha 25,000 mara 2 alafu kimoja utunzie fedha tu, na ulale usingizi wa mang'amu ng'amu kwa sababu pesa ziko chumba cha pili.
Yote kwa yote mmesisitizwa hpo juu, uzinzi ni dhambi.
 
uzinzi ni dhambi, mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu. Binafsi kwenye guest yangu nimeweka wazi kabisa, ukiingia utaikuta Biblia ndogo, na kwenye karatasi nimeandika kuwa hii ni nyumba ya wageni, sio ya uzinzi, uzinzi ni dhambi na mimi sihusiki. kwisha. na sikosi watena pamoja na hayo. wale wasafi wanagombania Lodge yangu.
Acha kuvuta ugoro
 
ndio kwangu mimi ni dhambi, na ninakazia kuwa ni dhambi hata kwako, pamoja na kujifanya una shingo ngumu na kusambaza ukimamasisha dhambi. Mungu anakuona.acha kiburi, Mungu hapendi.
Kama unataka kujua pita kwenye dustbins za vyumba vya lodge yako asubuhi uone kama hukutani na condoms.
 
Kama unataka kujua pita kwenye dustbins za vyumba vya lodge yako asubuhi uone kama hukutani na condoms.
kufanya wanafanya ila kwa upande wangu nimeshanawa mikono. hata vitanda wanachafua kwa mavi lakini kwa upande wangu nishanawa mikono. ninachozuia ni kutosapoti dhambi na pia wajue dhambi ili siku ya mwisho damu yao isidaiwe mikononi mwangu. ni hilo tu.
 
uzinzi ni dhambi, mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu. Binafsi kwenye guest yangu nimeweka wazi kabisa, ukiingia utaikuta Biblia ndogo, na kwenye karatasi nimeandika kuwa hii ni nyumba ya wageni, sio ya uzinzi, uzinzi ni dhambi na mimi sihusiki. kwisha. na sikosi watena pamoja na hayo. wale wasafi wanagombania Lodge yangu.
Warumi 6:23
 
Hao wanawake inabidi uwaathiri kisaikolojia kabla hamjafika chumbani, binafsi huwa nawafanyia Reverse psychology na ku manipulate akili zao, ndani ya muda mfupi tunakuwa na chemistry na uaminifu, tukumbuke hao ni kama binadamu wengine waliojikuta katika shughuli hiyo kujitafutia kipato ama faraja, ukifanikiwa kuwaonyesha unajali wala hawatawahi kukudhuru na mnaweza mkawa marafiki wazuri tu wa kupunguziana uzito.
Uko sahihi kabisa mkuu.
 
Hao wanawake inabidi uwaathiri kisaikolojia kabla hamjafika chumbani, binafsi huwa nawafanyia Reverse psychology na ku manipulate akili zao, ndani ya muda mfupi tunakuwa na chemistry na uaminifu, tukumbuke hao ni kama binadamu wengine waliojikuta katika shughuli hiyo kujitafutia kipato ama faraja, ukifanikiwa kuwaonyesha unajali wala hawatawahi kukudhuru na mnaweza mkawa marafiki wazuri tu wa kupunguziana uzito.
Hahha we jamaa Malaya sana,hizi mbinu na za levo za juu sana. Mjanja yoyote anakubali kuliwa kidogo mwanzoni Ili kutengeneza uaminifu.
 
Chumba kimoja weka pesa na vitu vyako vingine huku mhudumu ukimwambia kuwa jamaa yako arakayekitumia yuko njiani na atafika muda wowote. Vifiche vizuri lakini, shauri yako.

Chumba cha pili ndo ulale na huyo uliyemnunua huku mfukoni ukiwa na pesa yake TU basi! Ziada mfukoni humo labda mipira tu. Lakini ili asikustukie ongeza na mswaki na dawa ya meno.

My friend, itakugharimu malipo ya bure ya chumba kimoja zaidi (pengine 20k) lakini itakuepushia risk ya kupoteza malaki na mamilioni. Ukiibiwa kwa mbinu hii, njoo na risiti nikurudishie pesa yako.
Unaendaje na mamilioni kutomba demu wa elfu 15?
 
Kutumia gharama tu,unachotakiwa kuhakikisha ufunguo unakaa nawewe ikibidi wakati wakulala uweke mdomoni!... Utaepuka vingi
🤣🤣🤣🤣🤣 kidgo tofar riniangukie kichwan
 
Hahha we jamaa Malaya sana,hizi mbinu na za levo za juu sana. Mjanja yoyote anakubali kuliwa kidogo mwanzoni Ili kutengeneza uaminifu.
Huyo tutakua mapacha. Maana ndio mbinu zangu
 
Moshi na Arusha warembo wao siyo wezi hawamuibii mteja.

Isitoshe hotel zao reception mwanamke haruhusiwi kutoka mpaka upigiwe simu utowe ruksa.

Huu utaratibu umesaidia kufanya mikoa hiyo hakuna wizi wa kuwasachi wanaume.

Halafu Arusha unaweza usiamini demu ana kazi yake rasmi na anakuuzia uchi kesho anaamkia job, hii nayo inafanya ukanda huo hakuna mademu wezi.
 
Back
Top Bottom