Kodi vyumba viwili guest kuepuka kuibiwa pesa zako na demu uliyemnunua kulala nae!

Kodi vyumba viwili guest kuepuka kuibiwa pesa zako na demu uliyemnunua kulala nae!

Uwe na mamilioni halafu ulale gesti za 20k? Uwe na mamilioni halafu utake kulala na malaya usiku mzima? Bank account huna? Kwa akili hizi bado itachukua muda sana umaskini kupungua nchini. Utakuta mleta uzi ni mkulima aliyepigika miezi kadhaa shambani halafu baada ya kufika mjini na kuuza mazao yake ndo akili zake zinavyomtuma afenye upuuzi. Ndugu zangu papuchi tuwe tunatafuna kwa akili sana la sivyo ni kitu kinachochangia umaskini kwa namna nyingi.
 
Kuepukana na gharama za namna hiyo Ni vizuri kutafuta mwanamke mzuri umuoe na utulie kwake.

Uzinzi Ni dhambi.
 
Chumba kimoja weka pesa na vitu vyako vingine huku mhudumu ukimwambia kuwa jamaa yako arakayekitumia yuko njiani na atafika muda wowote. Vifiche vizuri lakini, shauri yako.

Chumba cha pili ndo ulale na huyo uliyemnunua huku mfukoni ukiwa na pesa yake TU basi! Ziada mfukoni humo labda mipira tu. Lakini ili asikustukie ongeza na mswaki na dawa ya meno.

My friend, itakugharimu malipo ya bure ya chumba kimoja zaidi (pengine 20k) lakini itakuepushia risk ya kupoteza malaki na mamilioni. Ukiibiwa kwa mbinu hii, njoo na risiti nikurudishie pesa yako.
Pesa yako bado uishi kitumwa
 
Hao wanawake inabidi uwaathiri kisaikolojia kabla hamjafika chumbani, binafsi huwa nawafanyia Reverse psychology na ku manipulate akili zao, ndani ya muda mfupi tunakuwa na chemistry na uaminifu, tukumbuke hao ni kama binadamu wengine waliojikuta katika shughuli hiyo kujitafutia kipato ama faraja, ukifanikiwa kuwaonyesha unajali wala hawatawahi kukudhuru na mnaweza mkawa marafiki wazuri tu wa kupunguziana uzito.
Unatumia formula yangu mm nikinunua demu simtreat kama Malaya Mara nyingi tunakuwa marafiki kwa muda mfupi
 
Chumba kimoja weka pesa na vitu vyako vingine huku mhudumu ukimwambia kuwa jamaa yako arakayekitumia yuko njiani na atafika muda wowote. Vifiche vizuri lakini, shauri yako.

Chumba cha pili ndo ulale na huyo uliyemnunua huku mfukoni ukiwa na pesa yake TU basi! Ziada mfukoni humo labda mipira tu. Lakini ili asikustukie ongeza na mswaki na dawa ya meno.

My friend, itakugharimu malipo ya bure ya chumba kimoja zaidi (pengine 20k) lakini itakuepushia risk ya kupoteza malaki na mamilioni. Ukiibiwa kwa mbinu hii, njoo na risiti nikurudishie pesa yako.
Badala ya kulipia chumba cha pili, pesa weka bank, laptops na simu kabidhi counter upewe risiti, cheni na pete weka chini ya godoro kabla hujaingiza bidhaa toka sokoni
 
Ukienda na chochote sehemu walipo dadapoa jua umekubali kukipoteza..
 
Unahangaika saaana. Simple method.
1. Ukiingia nae ndani, sogeza kitanda mpaka kifike mlangoni.
2. Kwakua umeshamnunua, hana tena jeuri ya kupanga chochote so akifika tu, mwambie akaoge, akienda kuoga nyanyua kitanda weka ufunguo kwenye mguu wa kitanda.
3. Mwanaume huez tembea (tena usiku) bila silaha. Hakikisha haukosi pocket knife. Hyo utachana godoro kwa pembeni, unaeka hela zako huko unarudishia shuka.
4. Umeamua kulala na malaya, usilale kama uko kwa babaako, lala kwa machale yaliyozidi.
5. Ukiona nyege zako zmeisha, mtoe nje asepe zake, sio mkeo huyo wa kushikamana mpka kukuche maana wengi wanaibiwa kwenye kale ka usingizi ka asubuhi.

NAKAZIA!
sihalalishi uzinzi, lakn ni vyema na haki kuwa makini usije achwa uchi sokoni.
 
Wanaume wa Dar bana [emoji28]

Hivi unawezaje kumaliza kwa video call tu?[emoji23][emoji23]
NI sawa kula ugari kwa picha ya samaki, video Call kwa ni punyeto kama punyeto zingine, sasa Dunia ya leo punyeto ya nini.
 
Chumba kimoja weka pesa na vitu vyako vingine huku mhudumu ukimwambia kuwa jamaa yako arakayekitumia yuko njiani na atafika muda wowote. Vifiche vizuri lakini, shauri yako.

Chumba cha pili ndo ulale na huyo uliyemnunua huku mfukoni ukiwa na pesa yake TU basi! Ziada mfukoni humo labda mipira tu. Lakini ili asikustukie ongeza na mswaki na dawa ya meno.

My friend, itakugharimu malipo ya bure ya chumba kimoja zaidi (pengine 20k) lakini itakuepushia risk ya kupoteza malaki na mamilioni. Ukiibiwa kwa mbinu hii, njoo na risiti nikurudishie pesa yako.


Unanunuaje mwanamke ulale naye usiyemjua?
 
Achanane na hayo mamabo, fanyeni mambo mengine...
 
Back
Top Bottom