Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
CCM hawana maishaView attachment 1897744
Naomba kuuliza maswali machache...
Ni sababu ipi hasa ya msingi iliyopelekea kutoka mfumo wa malipo wa zamani kuleta mfumo wa sasa?
Kwa hiyo kwanzia agost 20 kodi ya jengo inalipwa na mpangaji?
Vipi kuhusu nyumba ambazo kila chumba kina mita yake?
Vipi kususu mpangaji mmoja ambaye kapanga nyumba mbili?
vipi nikiwa nikiamua miezi miwili ipite sijanunua luku?
CCM imekosa mbinu za kuendesha hii nchi.
... nimelisoma lote kabla ya ile post yangu. Tangazo of course linazungumzia kodi ya jengo ila dhana/context ni kodi ya kununua umeme.Mkuu soma tangazo lote. Ni Kodi ya jengo
Ile sasa ndio nzuri maana ina mhusu mwenye gari!Ndugu, kujibu swali lako, rudi nyuma ile kodi ya motor vehicle inayolipwa kupitia kununua mafuta.
... nakumbuka kuna kipindi hadi mashine za kusaga zililipia road toll! This is similar.Kodi ya jengo ni elfu 10.
Sasa fikiria una jengo moja lenye vyumba 10 vya wapangaji, ukaamua kila chumba uweke mita yake ili kuepuka usumbufu kwa wapangaji. Na kila mita ikununua umeme inakatwa kodi huoni kama hilo jengo litakuwa linalipa kodi ya sh 100,000 badala ya 10,000?
Ndio linalopigiwa kelele, hilo la mpangaji kulipa kodi ya mwenye nyumba.Ile sasa ndio nzuri maana ina mhusu mwenye gari!
Vipi mimi ambae nimepanga nalipa kodi ya kupanga alafu nikinunua luku namlipia mwenye jengo kodi yake ya jengo?
Hiyo ni wewe. Sisi tunafuata sheria inavyosema. Kodi Ya Jengo! Basi... nimelisoma lote kabla ya ile post yangu. Tangazo of course linazungumzia kodi ya jengo ila dhana/context ni kodi ya kununua umeme.
Tatizo siyo watu kuchangia, tatizo kwenye matumizi ya serikali. Kama nchi tungeshiriki pamoja sisi wananchi na viongozi wetu kufunga mikanda tulete maendeleo ya nchi yetu.Kama Mwanaume nikichangia 12000 Kwa mwaka ili serikali ilete maendelo sioni tatizo ,tuache kulia lia Kama watoto, 12000 ni kitu gani
Kwa nini uweke mita kila chumba wakati kuna sub meters ambazo zenyewe zinasoma kutoka kwenye mita kuu?Kodi ya jengo ni elfu 10.
Sasa fikiria una jengo moja lenye vyumba 10 vya wapangaji, ukaamua kila chumba uweke mita yake ili kuepuka usumbufu kwa wapangaji. Na kila mita ikununua umeme inakatwa kodi huoni kama hilo jengo litakuwa linalipa kodi ya sh 100,000 badala ya 10,000?
Nyinyi kila kitu ni kupinga tu!View attachment 1897744
Naomba kuuliza maswali machache...
Ni sababu ipi hasa ya msingi iliyopelekea kutoka mfumo wa malipo wa zamani kuleta mfumo wa sasa?
Kwa hiyo kwanzia agost 20 kodi ya jengo inalipwa na mpangaji?
Vipi kuhusu nyumba ambazo kila chumba kina mita yake?
Vipi kususu mpangaji mmoja ambaye kapanga nyumba mbili?
vipi nikiwa nikiamua miezi miwili ipite sijanunua luku?
CCM imekosa mbinu za kuendesha hii nchi.
Hawezi kujua,labda amsubirie shemeji yake akitoka kazini amuulizeUngekuwa unaletewa bure hapo sawa. Lakini hayo unayoita maendeleo licha ya kuletwa kwa Kodi yako 18% VAT, bado unalipa na hizi tozo kubwa... Kisha unalipia tena hizo huduma ulizoletewa.
Sijui km unalijua hili
We nawe na huyo dikteta wako jiwe huchoki kupiga porojo.Upumbavu tu!
Ndio mtajua kwamba nchi hii Rais wake alifariki toka tarehe 17/03/2021
Hivi inakuwaje?
Yani ile elfu 7 tuliyokuwa tunatozwa kipindi kile kabla ya Magufuli kuiondoa ndio wameirudisha kwa njia hii?
Hivi anaetakiwa kulipa kodi ya jengo ni mpangaji au mwenye jengo?
Unapokata kodi ya jengo kwenye luku maana yake mpangaji ndio atakuwa mlipaji wa kodi ya hilo jengo maana mwenye jengo yeye anachojali ni nyumba yake alishaingiza umeme na anakusanya kodi yake ya pango basi! Habari ya kwamba umenunua luku au laa yeye haimuhusu.
Tuliambiwa mafuta yanapanda sababu kwenye soko la dunia yanepanda,! Haya huko kwenye soko la dunia saa hii mafuta ni dola 64 kwa pipa, vipi wameshusha bei hapa nchini.?