Kodi ya majengo kuanza kukatwa kwenye Luku kuanzia Agosti 20, 2021. Je, Serikali imekosa Dira, mbinu zimewaishia?

CCM hawana maisha
 
Huu ni ubunifu mzuri ambao utaongeza wingo wa ukusanyaji mapato. ufanyiwe marekebisho tu kwenye hayo mapungufu yaliyo jitokeza. Watanzania wengi wanapolipa kodi angalau mzingo wa kodi kwa mfano wafanyakazi utapungua. Panapo stahili kupongeza sisi wengine tutapongeza.
 
Hivi madelu ana akili timamu kweli? Ni wanunuaji umeme wangpi wenye majengo Yao? Seems watunga Sera na wapanga mipango wetu hawajui wa Tanzania wa kawaida tu naishi vp
 
Ndugu, kujibu swali lako, rudi nyuma ile kodi ya motor vehicle inayolipwa kupitia kununua mafuta.
Ile sasa ndio nzuri maana ina mhusu mwenye gari!

Vipi mimi ambae nimepanga nalipa kodi ya kupanga alafu nikinunua luku namlipia mwenye jengo kodi yake ya jengo?
 
... nakumbuka kuna kipindi hadi mashine za kusaga zililipia road toll! This is similar.
 
Hii inazidi kuongeza maumivu kwa watu was Hali ya chini Mana ktk Hali hii mpangaji hakuzingatiwa kiukweli.
 
Wakifanya huu ubunifu na kwenye kodi ya VAT itakuwa safi sana. Watafute jinsi ya kuchukua VAT inadvance kwenye source yoyote ya kinacho stahiki kulipiwa kodi hii wamuachie huyo muuzaji kuikusanya kodi yake ambayo ameshailipa inadvance. Tuone kwamba atakwepa kuidai hiyo kodi yake.

Achaneni na utaratibu huu wa sasa wa kuwafanya wafanyabiashara kuwa ni mawakala wa kuikusanyia serikali VAT watawaibia tu.

Nitoe mfano. Kwa mfano bia. Serikali yenye utashi haiwezi kushindwa kujua idadi ya chupa zinazozalishwa na kutoka kwenda sokoni kila siku kiwandani. Haiwezi kushindwa kujua wastani wa bei ya rejareja ya chupa moja ya aina flani ya bia. Hivyo serikali inachukua hii VAT yake ya bei rejareja kiwandani. Kiwanda kinaichukua kwa distributor, ditributor anachukuwa kwa wholesaler. Wholessler anaichukua kwa retailer/ bar na mahoteli, chikeni part nk. Na retailer anaichukuwa kwa mlaji wa mwisho wapiga ulabu wa kwenye bar na masherehe. Simple as that.
 
Rudini kwenye umeme mbadala tuachane na TANESCO yenye Luku
 
Ile sasa ndio nzuri maana ina mhusu mwenye gari!

Vipi mimi ambae nimepanga nalipa kodi ya kupanga alafu nikinunua luku namlipia mwenye jengo kodi yake ya jengo?
Ndio linalopigiwa kelele, hilo la mpangaji kulipa kodi ya mwenye nyumba.
Alafu walivyokuwa wapuuzi, eti kesho tu imaanza[emoji1787]
 
Kama Mwanaume nikichangia 12000 Kwa mwaka ili serikali ilete maendelo sioni tatizo ,tuache kulia lia Kama watoto, 12000 ni kitu gani
Tatizo siyo watu kuchangia, tatizo kwenye matumizi ya serikali. Kama nchi tungeshiriki pamoja sisi wananchi na viongozi wetu kufunga mikanda tulete maendeleo ya nchi yetu.

Kinachoshangaza kila mwaka reports za CAG huwa zinaonyesha mapungufu (ubadhilifu) katika matumizi ya pesa za serikali (pesa zetu). Ununuzi wa magari ya kifahari kwa viongozi wetu wa serikali kwa nchi ambayo bado kuna sehemu maji hayajafika, madarasa na madawati hayapo, nk.

Sijui report ya CAG kuhusu harufu ya BOT kati ya January hadi March 2021 iliishia wapi??

Kuna matumizi mabaya ya pesa zetu serikalini, hayo ndiyo yanafanya watu wahoji maswali mengi namna hii.
 
Kwa nini uweke mita kila chumba wakati kuna sub meters ambazo zenyewe zinasoma kutoka kwenye mita kuu?
 
Bora waanze nilikuwa nasikitika kila siku mbona wanachelewa, kodi ni muhimu jamani
 
Nyinyi kila kitu ni kupinga tu!
Halafu ukute hulipagi kodi hata kidogo....unachojua ni kupinga tu!
 
Ungekuwa unaletewa bure hapo sawa. Lakini hayo unayoita maendeleo licha ya kuletwa kwa Kodi yako 18% VAT, bado unalipa na hizi tozo kubwa... Kisha unalipia tena hizo huduma ulizoletewa.
Sijui km unalijua hili
Hawezi kujua,labda amsubirie shemeji yake akitoka kazini amuulize

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
We nawe na huyo dikteta wako jiwe huchoki kupiga porojo.

Kwa wale wanaojua utaratibu wa kuandaa bajeti,wanaelewa kabisa kwamba bajeti hii iliandaliwa wakati wa jiwe. Kwa hiyo,kama angekuwepo,kwa kuwa wewe ulikuwa chawa wake,usingekuja hapa na hizi porojo zako.

Lipeni kodi kwa maendeleo ya nchi. Period.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…