Dr Mabuga 30
JF-Expert Member
- May 8, 2021
- 320
- 330
Safi Sana nimefurahi mbovu ya kichwa hawaleti, mmh mbona Kodi ya ndevu hawaleti,. Mmmh Kodi ya barabara wailete ,. Mmhh mashamba jeee,, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆
Naomba kuuliza maswali machache.
Ni sababu ipi hasa ya msingi iliyopelekea kutoka mfumo wa malipo wa zamani kuleta mfumo wa sasa?
Kwa hiyo kwanzia agost 20 kodi ya jengo inalipwa na mpangaji?
Vipi kuhusu nyumba ambazo kila chumba kina mita yake?
Vipi kususu mpangaji mmoja ambaye kapanga nyumba mbili?
vipi nikiwa nikiamua miezi miwili ipite sijanunua luku?
CCM imekosa mbinu za kuendesha hii nchi.
Acha wakate tu, safari nje na za ndege zimezidi, wanaishi kifalme na kimalkia kwa kutumia migongo yetu, kura 2025 tutaelewana tu..
Naomba kuuliza maswali machache.
Ni sababu ipi hasa ya msingi iliyopelekea kutoka mfumo wa malipo wa zamani kuleta mfumo wa sasa?
Kwa hiyo kwanzia agost 20 kodi ya jengo inalipwa na mpangaji?
Vipi kuhusu nyumba ambazo kila chumba kina mita yake?
Vipi kususu mpangaji mmoja ambaye kapanga nyumba mbili?
Vipi nikiwa nikiamua miezi miwili ipite sijanunua luku?
CCM imekosa mbinu za kuendesha hii nchi.
Korona ikikuRIP sisi tuhangaike kukufikishia mabaki ya umeme wako kaburini kwako! Hatutafanya hilo bro.Mimi nitalipa jengo langu 1000 tu maana nitanunua umeme wa mwaka mzima.
Kwako hiyo sio kitu ila kuna watu wa hali ya chini hizi kodi za kipumbavu zitawaumiza sanaKama Mwanaume nikichangia 12000 Kwa mwaka ili serikali ilete maendelo sioni tatizo ,tuache kulia lia Kama watoto, 12000 ni kitu gani
Kwa wale wanao tumia frem za kupangad nao Wana tumia luku na wao wata lipa kod ya frem au ya jengo??Kodi ya jengo ni elfu 10.
Sasa fikiria una jengo moja lenye vyumba 10 vya wapangaji, ukaamua kila chumba uweke mita yake ili kuepuka usumbufu kwa wapangaji. Na kila mita ikununua umeme inakatwa kodi huoni kama hilo jengo litakuwa linalipa kodi ya sh 100,000 badala ya 10,000?
KWANZA MLIKUWA MNAKWEPA KULIPA HALAFU CHA PILI AMETURAHISISHIA SANA KWENDA KUPANGA FOLENI TRA KULIPIA MAJENGO SAFI SANA SERIKALI KWA UBUNIFU
Naomba kuuliza maswali machache.
Ni sababu ipi hasa ya msingi iliyopelekea kutoka mfumo wa malipo wa zamani kuleta mfumo wa sasa?
Kwa hiyo kwanzia agost 20 kodi ya jengo inalipwa na mpangaji?
Vipi kuhusu nyumba ambazo kila chumba kina mita yake?
Vipi kususu mpangaji mmoja ambaye kapanga nyumba mbili?
Vipi nikiwa nikiamua miezi miwili ipite sijanunua luku?
CCM imekosa mbinu za kuendesha hii nchi.
Upumbavu tu!
Ndio mtajua kwamba nchi hii Rais wake alifariki toka tarehe 17/03/2021
Hivi inakuwaje?
Yani ile elfu 7 tuliyokuwa tunatozwa kipindi kile kabla ya Magufuli kuiondoa ndio wameirudisha kwa njia hii?
Hivi anaetakiwa kulipa kodi ya jengo ni mpangaji au mwenye jengo?
Unapokata kodi ya jengo kwenye luku maana yake mpangaji ndio atakuwa mlipaji wa kodi ya hilo jengo maana mwenye jengo yeye anachojali ni nyumba yake alishaingiza umeme na anakusanya kodi yake ya pango basi! Habari ya kwamba umenunua luku au laa yeye haimuhusu.
Tuliambiwa mafuta yanapanda sababu kwenye soko la dunia yanepanda,! Haya huko kwenye soko la dunia saa hii mafuta ni dola 64 kwa pipa, vipi wameshusha bei hapa nchini.?
Wapangaji kwa mfumo huu ni halali kubadilisha umiliki wa nyumba na kuwa ya kwao subirini migogoro itakavyofukuta.Upumbavu tu!
Ndio mtajua kwamba nchi hii Rais wake alifariki toka tarehe 17/03/2021
Hivi inakuwaje?
Yani ile elfu 7 tuliyokuwa tunatozwa kipindi kile kabla ya Magufuli kuiondoa ndio wameirudisha kwa njia hii?
Hivi anaetakiwa kulipa kodi ya jengo ni mpangaji au mwenye jengo?
Unapokata kodi ya jengo kwenye luku maana yake mpangaji ndio atakuwa mlipaji wa kodi ya hilo jengo maana mwenye jengo yeye anachojali ni nyumba yake alishaingiza umeme na anakusanya kodi yake ya pango basi! Habari ya kwamba umenunua luku au laa yeye haimuhusu.
Tuliambiwa mafuta yanapanda sababu kwenye soko la dunia yanepanda,! Haya huko kwenye soko la dunia saa hii mafuta ni dola 64 kwa pipa, vipi wameshusha bei hapa nchini.?
Kodi ya mashimo ya vyoo 😂😂Walianza na shilingi mia kwa kila lita ya Petrol, Diesel, Kerosene
Wakaja kwenye tozo kwenye miamala
Wakaja kwenye tozo za line za simu
Tena kodi ya majengo kupitia Luku
Bado wataingia kwenye kodi ya mashimo ya vyoo... tuwe na subira tuendelee kushuhudia maajabu