BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,350
- 1,464
Jana nilikuwa kijijini kwetu ndani ndani huko, umeme umefika pongezi kwa REA.
Sasa hapa kwa bibi yangu huwa wananunua umeme wa 2000 kila unapokwisha. Walikuwa wanafanya hivyo kabla na baada ya tozo ila jana imeshindikana.
Ikabidi mimi niongezee niwape elfu 10, ile kulipia tu wakakatwa deni la elfu 4.
Sasa hapa kwa bibi yangu huwa wananunua umeme wa 2000 kila unapokwisha. Walikuwa wanafanya hivyo kabla na baada ya tozo ila jana imeshindikana.
Ikabidi mimi niongezee niwape elfu 10, ile kulipia tu wakakatwa deni la elfu 4.