Kodi ya VAT ifumuliwe. It's a complex sales tax iliyojaa ujanja mwingi na upigaji. Itozwe kwenye source pekee as a sales tax na kusiwe na tax returns

Yaani:
1: Mzalishaji: VAT 18%
2: Muuzaji jumla: VAT1*18% + VAT18%
3: Rejareja VAT1×18%+VAT2×18%+VAT3
Ukikokotoa kwa namna hiyo, VAT inayolipwa na agent katika kila hatua itatofautiana na na jumla aliyolipa mlaji.

Calculation sahihi,.
1. Mzalishaji : Ametoza vat 18% amelipa 0
2. Muuzaji jumla: ametoza 18% vat - aliyolipa katika manunuzi 18% toka kwa mzalishaji.
3. Rejareja: ametoza vat 18% katika mauzo kwa mlaji - amelipa vat 18% katika manunuzi toka kwa muuzaji jumla.
Mizani inabalance.
 
Maana halisi ya ulichoandika ni kuwa Vat sio kodi sahihi kwa nchi masikimi. Ugumu wote unaopatikana kariakoo kwa watu kutokutoa risiti ni kwa sababu mlengwa wa vat final conu
Umeielezea vizuri sana vat.
 
Ndivyo inavyo takiwa iwe lkn tra hawapigi hivyo mahesabu yao, hao tra wanapiga from total sales
 
Kwa nini unakwepa kuweka
Suluhisho C:
Itozwe mwenye stage ya kwanza tu kwa kiwango cha 18%? Mbona hii ndiyo best kwani itaiepusha serikali kukimbizana na hao wafanya biashara wa ngazi ya pili na ya tatu. Serikali inakuwa imechukua chake mapema.
 
Hata mfanyabiashara naye ni final mlaji
 
Kwa nini unakwepa kuweka
Suluhisho C:
Itozwe mwenye stage ya kwanza tu kwa kiwango cha 18%? Mbona hii ndiyo best kwani itaiepusha serikali kukimbizana na hao wafanya biashara wa ngazi ya pili na ya tatu. Serikali inakuwa imechukua chake mapema.
Yap, nilisahau hii. Ndo uzuri wa majadiliano.
 
Hata mfanyabiashara naye ni final mlaji
Weee tangu lini mfanya biashara akawa mlaji? By definition mfanya biashara ni mtafutaji faida to the maximum. Ukizubaa hata hiyo VAT anaichukua kama faida yake kwa mbinu zo zote zile hata kama ni kuwahonga kiasi fulani hao maafisa wa TRA watakaoenda kuidai, kutoa risiti fake na kadhalika.

Hata kwenye kodi ya mapato ambayo ndiyo kodi kila mfanya biashara anapaswa kuilipa serikali kuna udanganyifu mwingi mfanya biashara hufanya ili kodi hiyo iwe ya chini sana. Kodi hii ya mapato ni 30% ya faida aliyopata mfanya biashara kwa kila mwezi. Sasa utategemeaje mfanya biashara aiambie TRA ukweli wa kiasi cha faida aliyopata? Si atawaambia alipata hasara au faida kidogo tu. Sasa TRA watajuaje au wataikadiriaje hiyo kodi ya mapato ya mfanya biashara kama siyo kwa maelewano yaliyogubikwa na rushwa kwa maafisa wa TRA? Ndiyo maana maafisa wa TRA wengi ni mabilionea. Na faida ya mfanya biashara si inaanza kupatikana baada ya kurejesha mtaji aliouwekeza kwenye hiyo biashara yake? Hivyo ni mtumishi wa umma tu (toa wabunge na spika wao) ndiye mtu pekee anayelipa 30% ya mapato yake kwani serikali huyakata moja kwa moja kutoka kwenye chanzo cha mshahara wake na posho zake. Waajiriwa kwenye makampuni binafsi nao si rahisi kukwepa makato hayo ya PAYE ingawa makato yao hayo mara nyingi yayapelekwi kwa serikali bali huchukuliwa na waajiri wao kama faida ya biashara zao. Huo ndiyo ukweli wa mifumo yetu ya kodi ulivyo.
 
Suluhisho B haliwezi kuwa sahihi maana kuna baafhi ya bidhaa zinapita kwa suppliers zaidi ya 10, kabla ya kumfikia mlaji, utaigawa vipi hii Vat.
 
Kwa nini unakwepa kuweka
Suluhisho C:
Itozwe mwenye stage ya kwanza tu kwa kiwango cha 18%? Mbona hii ndiyo best kwani itaiepusha serikali kukimbizana na hao wafanya biashara wa ngazi ya pili na ya tatu. Serikali inakuwa imechukua chake mapema.
Ukitoza Vat kwenye stage ya kwanza tayari unakuo umeondoa dhana nzimaa ya Vat.
Kumbuka hii ni kodi ya mlaji, wafanya biashara hata wawe 10 kwenye mnyororo hawapaswi kulipa hii kodi, wao mi wakusanyaji tu.
 
Hata mfanyabiashara naye ni final mlaji
Mfanya biashara hawezI kuwa mlaji, yeye ni mtengeneza faida tu, na tayari kwemye mifumo ya kodi kuna kodi kadhaa analipa ikiwemo mapato,
Mfanya biashara anayeuza mbolea kwa mfano, anakuwaje mlaji wakati mbolea anatumia mkulima namtumbo huko?
 
Sssa wakifunga biashara iyo serikali itachukuwa wapi iyo Kodi?kifupi ni kwamba mifumo yetu ya Kodi ni mibovu na mtu mweusi alivyi na akili mzito na uoga mwingi kufanya maboroshe ya huu mfumo serikali itaendelea kukosa Kodi siku zote.unamuumiza mlaji na kumlinda mzalishaji aisee hii ni changamoto
Wafanyabiashara tulipe kodi kama wanavyolipa watumishi. Yaani endapo Serikali ingesema ikomae wafanyabiashara walipe kodi kama inavyotakiwa nadhani zaidi ya 50% wangefunga biashara. VAT ipo kila nchi. HAIKWEPEK
 
Wafanyabiashara tulipe kodi kama wanavyolipa watumishi. Yaani endapo Serikali ingesema ikomae wafanyabiashara walipe kodi kama inavyotakiwa nadhani zaidi ya 50% wangefunga biashara. VAT ipo kila nchi. HAIKWEPEKI.
Kiranga kasema Marekani waliikataa.
 
Kuna mtu wa kusimama kidete? serikali yetu ni ya watu wasiofikiria kwa upana na siioni km Wana malengo ya kumsaidia mtanzania, watanzania wako na Hali mbaya sana kiuchumi na ndio wanabeba zigo ILO la kodi.alafu Huwa nashangaa Hawa jamaa Huwa wanadai tunasimamia Sheria tulizojitungia sisi wenyewe Huwa nacheka sana.
kusi
 
Lazima tujue hizo Kodi za Viwanda kwanza ndio tujadili mantiki ya VAT hapo kiwandani maana Serikali isingeiweka hapo Kwa mzalishaji kama ana Kodi zake zingine ,ingeweza kuweka tuu Kwa wholeseller na Retailers.
Viwanda na wazalishaji wana corporate Tax ambayo ni 30% ya mapato ghafi, hii kodi inalipwa kila wanapopata faida.
Yeyote anayevuka was threshold ya 100 milions kwenye turnover kwa mwaka anatakiwa ajisajili kuwa wakala wa kukusanya Vat. Viwanda vingi kwa mantiki hii ni mawakala wa kukusanya Vat, kwa kila wanachouzza wataongeza kodi hiyo na wataiwakilisha serikalini kabla ya kila tarehe 20 ya kila mwezi.
Lengo la serikali ni kukusanya kodi hii kila bidhaa inapopanda bei kwenye myororo wake, kama bidhaa hii inapita kwenye wafanyabiashara 10, basi serikali inachukua kodi hii mara 10. Kwa sababu kila mfanya biashara huongeza bei ya bidhaa ili apate faida.
 
Unadhani Kwa nini Serikali iweke VAT Kwa producer ambae mwisho wa siku atakuja kurudishiwa Kwa njia ya returns? What is the logic behind?
Producer halipi Vat, yeye ni mkusanyaji tu wa kodi hiyo. Kuna wakati procucer huyu anafanya manunuzi pia, hapo sasa scenario inabadilika yeye anakuwa mlaji.
Kimachoitwa Returns ni mahesabu ya mauzo na manunuzi ya vat. Mfano kiwanda x kimefanya mauzo ya mil 10 vat lakini hapo hapo kikanunua matairi kwa ajili ya magari yake, hapo kiwanda kitalpa Vat. Labda mil2
Returns zitakuwa 10 - 2 = 8 mil, mwenye kiwanda kauza 10 mil ila atawakilisha serikalini 8 milions kwa sababu alifanya matumizi ya 2 mil. Unaweza kudhani serikali imesamehe hii 2 mil, hii 2 mil itaenda kulipwa na huyo aliyeiuzia kiwanda matairi, maana na yeye ni wakala pia.
 
Asante sana kwa huu uchambuzi, nchi hii wananchi wanabebeshwa mzigo mzito na kinachopatikana kinaishia mifukoni mwa wachache.
 
Hata nchi za ulaya wanafanya hivi.
 
Hata nchi za ulaya wanafanya hivi.
Hawa wataalamu wetu tena wanaoitwa wabobezi wamebobea kwenye nini, labda wamebobea kwenye mifumo ambayo inawanufaisha wao, kwakifupi mfumo wetu wa kodi hauko wazi, (not even competitive)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…