92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
kilaza ana uwezo wa kujibu mkuuHivi amejibu hata hoja moja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kilaza ana uwezo wa kujibu mkuuHivi amejibu hata hoja moja?
labda daraja la mfugaleKuna wakati mlituambia kuwa tuko UCHUMI WA KATI ila naona kwenye takwimu ulizoambatanisha hapo inaonekana kuwa UCHUMI WETU UMEPANDA KWA SASA UKILINGANISHA NA NYAKATI ZILE ZA UCHUMI WA KATI. Sasa swali langu ni Je,kama taifa letu limekua KIUCHUMI tumehama kutoka UCHUMI WAKATI,NA SASA tuko kwenye UCHUMI WA DARAJA GANI?
Tumia lugha za staha mkuu, si kila mtu ana heshimu haki za faragha kama makamu wenu.Wewe shoga Nini?.
Kama zikitumika ipasavyo. Sio kuingia kwenye mifuko ya mafisadiKodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu.
Mwaka 2021/22- Trillions 22.2.
Mwaka 2022/23- Trillions 24.1.
Mwaka 2023/24- Trillions 27.6
====
Pia soma:
Mipasho na taarabu hazijengi hebu tujuze zaidi?Dr. Mwigulu Nchemba, mama Samia kuna mahala leo kagusia kuhusu mikopo na kubembelezwa kukop. Usifikiri haelewi jinsi unafaidika na wakopeshaji, analielewa sana lakini wa zamani tunasema "anakuweka deka".
Umeandika mada nne tofauti, jifunze kuandika mada moja moja.Mipasho na taarabu hazijengi hebu tujuze zaidi?
Ipo haja ya kukopa yale anayoyafanya ruto, mashirika yote mzigo kwa serekali, iyaachie kwa kuyabeba, Itafute namna nyingine hata ya ubia na makampuni yenye uzoefu mkubwa!
Binafsi siamini kama ATCL inaendeshwa kwa faida,na mengi tu.Umeandika mada nne tofauti, jifunze kuandika mada moja moja.
1) Unataka wimbo upi wa taarabu na mipasho, hatuwachi utamaduni wetu kwa bolingo.
2) Usifananishe machungwa na mapera. Ruto ana deni asilimia 70 ya bajetu yake, Tanzania ina deni asilimia 35 tu na mama Samia kishasema waziwazi, sasa ni mikakati ya uzalishaji na uchapaji kazi tujitosheleze. Kukopa si kuzuri ni kujishushia hadhi.
3) Mashirika ya serikali yote yapo mbioni kufanywa ya umma, au hufahamu Kitila Mkumbo na Mchechu wanafanya kazi gani mpaka sasa?
4) Katika Reforms za Rais mama Samia hafanyi kutafuta ubia na makampuni ya nje, hilo lilishafanywa na mwendazake, rejea Twiga Corp.
Reforms wanazoshughulikia Mkumbo na Mchechu sasa hivi ni kuwafanya wananchi wa Tanzania ndiyo wawe wabia, ndicho kinachofanyika hivi sasa. Hiyo ni kuyatowa mshirika kutoka kuwa ya Serikali kuelekea kuwa ya umma kiukweli. Siyo ya umma kinyerere.
Mnamkandamiza mfanyabiashara na Kodi yake mnunua mV8 hata kukumbuka ambulance hamkumbuki mnachukumbuka ni maV8 tu Kila matoleo mapya yakitokaKodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu.
Mwaka 2021/22- Trillions 22.2.
Mwaka 2022/23- Trillions 24.1.
Mwaka 2023/24- Trillions 27.6
====
Pia soma:
Hivi, hizo kodi mbona zinatumika kununua magari ya anasa? Naomba, nikushauri ndugu yangu ili umashauri Mama Samia. Kwann wakuu wa, mikoa, wilaya na wakurugenzi wasingenunuliwa gari aina ya Kruger ya shs million 25 , kila mmoja, kuliko kuharibu na kupoteza pesa, za serikali na kununua magari ya, shs million 300:Kodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu.
Mwaka 2021/22- Trillions 22.2.
Mwaka 2022/23- Trillions 24.1.
Mwaka 2023/24- Trillions 27.6
====
Pia soma:
Mods nao ni machawa!Kwahy mods mmeamua kufuta comment yangu au siyo? Sawa