Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari namba E, ni nyingi mno, ubnormally kapu la umma linavuja pahala, sio bure, lakini wapi? Yapo maswali waziri hatoweza kuyajibu Isipokuwa ni mh. rais pekee!Umejitahidi kujibu swali la kwanza Mkuu, japo hujawasilisha jibu la swali la pili.
Kwamba pamoja na makusanyo hayo makubwa ya Kodi, kwanini tunaendelea kukopa?
Bi mkubwa kweli umechafukwa moyoni, tumsaidie waziri wetu, kwani ni mwanadamu na mwanadamu huwa na mapungufu, tuonyeshe njia ya kwenda au afanyaje?, #tunasubiria maoni yako!Mimi ni CCM damu damu, lakini sihawahi kumuelewa huyu waziri wa fedha wa sasa.
Hana ile cream ya kuwa na wadhifa mkubwa namna hiyo, si kwa kuongea kwake, kuvaa kwake na wala utendaji wake.
Naamini huyu ndio chanzo kikuu cha matatizo ya wafanya biashara na mengineyo mengi kuhusu mifumo ya kifedha serikalini.
Kwa ufupi. Dr. Mwigulu Nchemba ni bogus.
Watu kama huyu ndiyo wanasababisha machafuko.
Tanzania si ya kuchezea kama kenya legelege, tutawavunja miguu!Jipangeni Gen Z wa Kenya tumeshawakodi... Muda wowote wako na nyie ..... Tena km we?
Tumemuonyesha sana lakini kiburi chake anajifanya haoni wala hasikii.Bi mkubwa kweli umechafukwa moyoni, tumsaidie waziri wetu, kwani ni mwanadamu na mwanadamu huwa na mapungufu, tuonyeshe njia ya kwenda au afanyaje?, #tunasubiria maoni yako!
Yeye ndiye mshauri Mkuu wa Mama kukopa, kwahiyo ni lazima atoe majibu ni kwanini Nchi inaongozwa Kwa kukopa?Gari namba E, ni nyingi mno, ubnormally kapu la umma linavuja pahala, sio bure, lakini wapi? Yapo maswali waziri hatoweza kuyajibu Isipokuwa ni mh. rais pekee!
Ruto Must GoMkuu huna lolote!, ile ya Jengo nani kaitoa buku jero hadi buku 2
Tutahakikisha tunakung'oa kwa udi na uvumba
wasanii watasafirishwa na nn viongozi watanunuliwa magari mapya na nini mkuu nchi inamatumizi makubwa kwahiyo hata wakikopa tunabaki kulipa deni ila maendeleo ziro ndio yale manyanyaso anayosema kiziwi frogSiyo tu dhamana , je inatumikaje?
hivi unatarajia atakujibu hahahaha mkuu pale tuna lizuzu letu linaongoza wizara basi tu ila mweupe sana kichwaniThamani ya shilling imeporomoka kwa kasi sana . Una mpango wa kumshauri nini rais ili thamani ya fedha yetu isiporomoke zaidi ? Au akili yako imeishia kwenye tozo , kuwakamua watanzania tu na hauna ubunifu wa kuinusuru thamani ya fedha yetu .