Kodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu

Kodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu

Kodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu.

Mwaka 2021/22- Trillions 22.2.
Mwaka 2022/23- Trillions 24.1.
Mwaka 2023/24- Trillions 27.6


====
Pia soma:
Tatizo lililopo Tanzania siyo suala la makusanyo ya Kodi au kiwango Cha bajeti ya Serikali, Bali tatizo ni matumizi mabaya Sana ya fedha za Walipakodi wa nchi hii ya Tanzania.
Unaweza kuona kwamba Bajeti iliyotengwa ni TShs. Trilioni 27.6, lakini mafisadi peke yao wanahujumu takribani 60% ya fedha zote kabisa za bajeti zilizotengwa kwa Mwaka husika, then 40% iliyobaki ndio inapelekwa kwenda kuhudumia Watanzania wote, Sasa katika hali kama hii hayo maendeleo ya nchi yatapatikanaje???

Wizi, rushwa na Ufisadi unaofanywa na Viongozi wa Serikali katika nchi hii ndio kansa mbaya zaidi inayoliangamiza Taifa hili la Tanzania.

"Africa is dying because we are electing Thieves to be the leaders in our countries."
Prof. PLO Lumumba.
 

Attachments

  • 20240617_140030.jpg
    20240617_140030.jpg
    173.7 KB · Views: 1
Kodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu.

Mwaka 2021/22- Trillions 22.2.
Mwaka 2022/23- Trillions 24.1.
Mwaka 2023/24- Trillions 27.6


====
Pia soma:
Tunaomba ujibu na maswali, kwanini serikali hambani matumizi makubwa na ya anasa? kuna haja gani bunge kukaa siku 100 kujadili budget na wakati kuna TEHEMA? teua hamisha tengua zote ni gharama pamoja na ununuzi wa magari ya starehe V8
 
Kuna wakati mlituambia kuwa tuko UCHUMI WA KATI ila naona kwenye takwimu ulizoambatanisha hapo inaonekana kuwa UCHUMI WETU UMEPANDA KWA SASA UKILINGANISHA NA NYAKATI ZILE ZA UCHUMI WA KATI. Sasa swali langu ni Je,kama taifa letu limekua KIUCHUMI tumehama kutoka UCHUMI WAKATI,NA SASA tuko kwenye UCHUMI WA DARAJA GANI?
Ni uongo tupu
 
Tatizo lililopo Tanzania siyo suala la makusanyo ya Kodi au kiwango Cha bajeti ya Serikali, Bali tatizo ni matumizi mabaya Sana ya fedha za Walipakodi wa nchi hii ya Tanzania.
Unaweza kuona kwamba Bajeti iliyotengwa ni TShs. Trilioni 27.6, lakini mafisadi peke yao wanahujumu takribani 60% ya fedha zote kabisa za bajeti zilizotengwa kwa Mwaka husika, then 40% iliyobaki ndio inapelekwa kwenda kuhudumia Watanzania wote, Sasa katika hali kama hii hayo maendeleo ya nchi yatapatikanaje???
Kweli tupu, kuna wizi mkubwa sn na matumizi makubwa ya hovyo?
 
Kodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu.

Mwaka 2021/22- Trillions 22.2.
Mwaka 2022/23- Trillions 24.1.
Mwaka 2023/24- Trillions 27.6


====
Pia soma:
Mwigulu tuambie kwenye nchi masikini kama Tanzania kuna sababu gani ya mtu kulipwa mshahara zaidi ya milioni mbili mtumishi wa umma kama siyo wizi na ubinafsi, utumishi wa umma imegeuka ni sehemu na kuiba na kutajirika ghafla
 
Acheni matumizi ya kifahari, nchi yetu na watu wake ni masikini sana mnanunua magari ya kifahari hadi milioni 600 ya nini! Tunajua tukitoa ushauri kama huu mnatubeza na kudharau lakini tutaendelea kupaza sauti kuwaeleza.
Mnadai serikali haiwezi kugharamia afya za wananchi wake lakini mnaweza kujinunulia magari ya kifahari na kujilipa maposho makubwa makubwa! Huu ni ubaguzi na haukubaliki na kwa mwenendo huo mtaendelea kukimbizana na wananchi katika suala la ulipaji kodi kwa hiari na hamtopata ushirikiano wa kutosha kutoka kwa wanunuzi maana mtu haoni faida yake anaona bora amsaidie mfanyabiashara kukwepa kodi na yeye anunue bidhaa kwa bei nafuu.
 
Acheni matumizi ya kifahari, nchi yetu na watu wake ni masikini sana mnanunua magari ya kifahari hadi milioni 600 ya nini! Tunajua tukitoa ushauri kama huu mnatubeza na kudharau lakini tutaendelea kupaza sauti kuwaeleza.
Mnadai serikali haiwezi kugharamia afya za wananchi wake lakini mnaweza kujinunulia magari ya kifahari na kujilipa maposho makubwa makubwa! Huu ni ubaguzi na haukubaliki na kwa mwenendo huo mtaendelea kukimbizana na wananchi katika suala la ukwepaji kodi na hamtopata ushirikiano wa kutosha maana mtu haoni faida yake.
Nchi masikini kama hii kuna sababu ya mtumishi wa umma kulipwa zaidi ya milioni mbili kama siyo wizi na ufisadi + ubinafisi, serikali hii inateswa na matumizi ya anasa na wizi
 
Back
Top Bottom