Kodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu

Kodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu

Kodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu.

Mwaka 2021/22- Trillions 22.2.
Mwaka 2022/23- Trillions 24.1.
Mwaka 2023/24- Trillions 27.6

Katika hizo matumizi ya anasa ya viongozi kwa mfano magari ya anasa ya kifahari kwa viongozi wa serikari, taasisi za umma, wabunge, wakuu wa mikoa na wilaya, ma DED Halmashauri za wilaya ni kiasi gani kimetumika ?

Kuelezea makusanyo bila kutoa maelezo ya jinsi matumizi ya anasa yalivyopunguzwa, na fedha hizo zilizookolewa ngapi zilipelekwa kuongeza bajeti ya elimu, afya na maji safi salama hakuondoi hamu ya wananchi kutaka kujua upande wa matumizi kama yamejali wengi au pesa zimeelekezwa kulea watumishi wa juu wa umma na kisiasa.
 
Mkuu hapa nani alikuwa msema kweli?

20240704_235730.jpg
 
Mchanganuo wa makusanyo na matumizi ya serikali ya Canada.

Wizara ya fedha Tanzania ingekuja na taarifa za kina kuhusu wapi fedha za walipa kodi zilielekezwa kwa kina kama mataifa mengine ambao ni wadau wetu wa maendeleo (Wahisani / Wafadhili) wa bajeti ya Tanzania wanavyofunguka :

CBS News

Where your tax dollar goes​


Think it's health care or provincial transfers? Think again​

peter-armstrong.jpg

Peter Armstrong - CBC News

Posted: February 23, 2018
Last Updated: February 23, 2018
Morneau Toronto 20180216
Minister of Finance Bill Morneau will present his next federal budget on Feb. 27. (Christopher Katsarov/Canadian Press)


As we prepare for next week's federal budget, here's an interesting exercise: How much money does Ottawa spend and what are its biggest expenses?
Most people think it's health care or provincial transfers. Most people are wrong.


The federal government spent $311 billion in the fiscal year 2016-17. The biggest single expense was elderly benefits. This includes Old Age Security and the Guaranteed Income Supplement. Unlike the Canada Pension Plan, OAS and GIS are not independently funded. Money comes from general revenues. Last year, these cost $48.1 billion, or 15 cents of every tax dollar.


where you tax dollar goes 16-17
(Department of Finance Canada/CBC News)

You can spend hours reading through hundreds of pages from the last budget. You'd read all about the Liberal plan to "build a stronger middle class." There are entire sections on "skills and innovation" and "tax fairness." But to find the basics upon which the budget is built, you have to go to page 256, to the first annex and sift through to the seventh table. And even that only flushes out part of the picture.

All this matters a great deal, if only because it's awfully hard to truly debate what should be in (or out) of any budget until we know where all the money goes in the first place.

"The most profound conversation we should be having," says economist Armine Yalnizyan, "is what do we get for our money and what are the benefits of how we're spending."

Wiggle room​

Budgets have evolved from economic planning to political documents. They are printed into tidy books and given titles like an "Economic Action Plan" and "Building a Stronger Middle Class." It's hard to blame politicians who try to spin whatever spending measures they're introducing. The brutal truth of public finances is, governments don't really have much wiggle room.

Much of the spending is baked into the plan long before any politicians even get elected. In general terms, about a quarter of any budget goes to transfers to individuals (those elderly benefits we started with, but also Employment Insurance and Children's Benefits).

Another quarter of the pie goes to the provinces (including the Canada Social Transfer and the Canada Health Transfer). Crown corporations, public debt charges and national defence combine for another 18 per cent.

Peeling the onion​

That's nearly 70 per cent of a budget all but spent before you even get to your ideas around jobs, innovation, tax cuts or whatever buzzwords dominate that year's leadup to the budget. Governments inevitably focus the budget on that discretionary chunk of spending. But can we have a proper, informed debate on public spending when all those sunk costs are buried in the back of the book and left out of most conversations?


Yalnizyan says the conversation is too often focused on how much we're paying in taxes and not enough on what we're buying with those tax dollars.
"Once you start peeling back that onion and seeing what are we spending our money on, then you can start having a conversation," she says.

As if to drive the point home, the budget makes it abundantly clear where its revenues come from — the vast majority comes from you and your personal income taxes.

Government Revenues 2017
(Public Accounts of Canada)

Yalnizyan says this only serves to highlight the extent to which we don't measure benefits nearly as well as we measure (and explain) costs.

"We measure cost very effectively," she says. "Who pays, who loses, who wins. But we don't talk about how those expenditures benefit us."
So, as we parse next week's budget, keep all this in mind. Remember, the vast majority of every tax dollar isn't in the headlines. To paraphrase an old adage, you are what you spend. The federal budget tells us a lot about who we are as a country. Just don't get distracted.

ABOUT THE AUTHOR​

peter-armstrong.jpg

Peter Armstrong
Senior Business reporter for CBC News. A former host of On the Money and World Report on CBC Radio, Peter Armstrong has been a foreign correspondent and parliamentary reporter for CBC. Subscribe to Peter's newsletter here: cbc.ca/mindyourbusiness Twitter: @armstrongcbc
CBC's Journalistic Standards and Practices
 
Karibu tena Mkuu, baada ya kuadimika humu Kwa kipindi kiasi..

Umekuwa Serikalini ukihudumu nafasi mbalimbali kwenye Baraza la Mawaziri

Swali langu; Kipi kimefanya kiwango cha Kodi tunachokusanya kipande awamu hii kulinganisha na awamu iliyopita?

Swali la pili, pamoja na makusanyo ya kikodi kuwa makubwa kwanini bado tunaendelea kukopa?
jibu ni kwamba wana gharamikia matumizi yao ya anasa
 
Kodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu.

Mwaka 2021/22- Trillions 22.2.
Mwaka 2022/23- Trillions 24.1.
Mwaka 2023/24- Trillions 27.6
Tatizo lako (lenu), ni siasa kila mahali, hata sehemu isiyohitaji kuingizwa siasa.
Watu mnakwenda shule, halafu mnajiondoa akili kichwani na kuwa kama mazuzu! Usipotaja au kuweka sanamu kwenye mawasilisho yako huwezi kueleweka?

Hovyo kabisa.
 
Kuna wakati mlituambia kuwa tuko UCHUMI WA KATI ila naona kwenye takwimu ulizoambatanisha hapo inaonekana kuwa UCHUMI WETU UMEPANDA KWA SASA UKILINGANISHA NA NYAKATI ZILE ZA UCHUMI WA KATI. Sasa swali langu ni Je,kama taifa letu limekua KIUCHUMI tumehama kutoka UCHUMI WAKATI,NA SASA tuko kwenye UCHUMI WA DARAJA GANI?
Tumerudi kule kule tuliko toka mwanzo. Wewe habari hiyo hukuipata?
 
Kwahio makusanyo yameongezeka ? Mbona sioni correlation huku field / kitaa (Practically) faida / value for money ya hayo maongezeko ?

Sana sana naambulia ngojera kutoka kwenu kwamba everything is Kosher wakati realistically hali sio (ni kama mtu anakwambia umeshiba wakati wewe na waliokuzunguka mnapiga mihayo)

Anyway Ushauri watu wakiona value for money na kodi ikiwa rafiki, vilevile mkija na sera za watu kupata ajira zenye na sio kuendelea kuwa wachuuzi na wabangaizaji mbona hayo makusanyo ni madogo na mtapata maradufu....., Vinginevyo tutaendelea kuchukiana na nyie kupambana na vidagaa (ambavyo mpaka sasa mnavinyonya na kuendelea kuvidhoofisha)
 
Kwanini Serikali haibani matumizi mabaya mfano ununuzi wa ma V8, safari za nje, warsha na Semina Ili Serikali ipate pesa nyingi zaidi kupeleka kwenye maendeleo Ili kupunguza utegemezi wa mikopo kufadhili budget?
Wansubiri Gen Z iwakumbushe!

Hawa wana raha sana, kwa sababu hakuna wa kuwawajibisha. WaTanzania wakipiga kelele, wanajigeuza kuwa 'Chura Viziwi' mambo yanaishia hapo hapo. Raha sana kuwa kiongozi nchi hii.

Badala ya kuwajibika kwa unaowaongoza, wewe ndiye unawawajibisha wakipiga kelele.
 
Kodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu.

Mwaka 2021/22- Trillions 22.2.
Mwaka 2022/23- Trillions 24.1.
Mwaka 2023/24- Trillions 27.6
Mh Dr Mwigulu kwanza nikupongeze kwa kuchapa kazi.

Pamoja na kuwa Nchi yetu bado ina sua sua kwenye swala la maendeleo licha ya kukopa sana tangu tupate uhuru.

Umetuwekea Takwimu ya kiwango cha makusanyo ya Kodi inayopatikana ktk Time Frame hapo juu.

Lakini Mh Dr Mwigulu ingekuwa vema utuwekee hizo takwimu ukilinganisha na Ongezeko la Wananchi kwa idadi yao na walipa kodi.

Kama mwaka 2021 idadi ya watanzania ilikuwa Milioni 10 mathalani idadi ya walipa kodi ikawa milioni 2 then mwaka 2024 idadi ya watu huongezeka na idadi ya walipa kodi inaongezeka vile vile..

Kwa hiyo ongezeko linaoonekana hapo linaweza kuwa Net gain ni Zero ukilinganisha na Idadi ya watu wanaoingia kwenye kundi la walipa kodi pamoja na matumizi.

Jambo lingine kama Ushauri tu, acheni kununua magari ya kifahari mtumie magari binafsi kama watumishi wengine wa umma ili pesa iwekwe kwenye maendeleo zaidi.

Kwani Mwl wa sekondari ambaye anatumia baiskeli yake mbon anasomesha vizuri na wanafunzi wanaelewa.

Wewe Mh Dr Mwigulu umeenda bungeni kusoma Bajeti ukiwa na msururu wa Magari kwenye msafara. Hili jambo sisi walipa kodi hatukulifurahia.

Bajeti yenyewe imejaa mikopo na misaasa ya wafadhili sasa wakituona tunafanya anasa watatukopa tena?

Nakutakia kazi njema ya kulijenga Taifa.

Pamoja sana Mzalendo Dr Mwigulu Nchemba.
 
Kodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu.

Mwaka 2021/22- Trillions 22.2.
Mwaka 2022/23- Trillions 24.1.
Mwaka 2023/24- Trillions 27.6

Ni sawa kodi ni maendeleo ya nchi,bila kupunguza matumizi ya anasa hakika tutapiga hatua mwendo wa konokono.

Manunuzi ya magari mengi ya gharama kubwa L/C V8,Nissan.... ni kaburi la kodi za walipa kodi.

Mikutano,Makongamano,Warsha na safari za hovyo hovyo hakika ni matumizi ya hovyo ya fedha za umma.

Kuuziana Magari ya thamani kubwa ya serekali kwa bei ya nyanya kunawakatisha tamaa walipa kodi.

Serekali ni lazima ibane matumizi si kuongeza na kubuni kila uchao vya kodi.

Kuhusu makusanyo ya kodi naomba kutofautiana na wewe.

Ongezeko la kodi pia linatokana na makusanyo ya TANAPA,TAWA,Ngorongoro kuingizwa kama kodi wakati hizi taasisi zilitakiwa kuachiwa fedha zake na kuilipa gaiwo kama ilivyo bandari,CRDB,NMB,NHC......

Kifupi hesabu za TRA hazina ukweli kwakuwa fedha za TANAPA &Ngorongoro si kodi bali ni mapato ya hizo taasisi.

Nashangaa CAG alishalitolea ufafanuzi suala hili lakini bado serekali inaendelea kuwadanganya wananchi na kuirundukia sifa TRA bila sababu za msingi.

Nina uhakika high season inayoanza mwezi 7 hadi 10 TRA itabebeshwa sifa za uongo kupitia mgongo wa TANAPA & Ngorongoro.

Ngongo kwa sasa Kibanda maiti.
 
Kodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu.

Mwaka 2021/22- Trillions 22.2.
Mwaka 2022/23- Trillions 24.1.
Mwaka 2023/24- Trillions 27.6

View attachment 3033852
 
Back
Top Bottom