hopely ungesikia 2913 kodtec ungeitafuta badala ya hyoHii hapa mkuu narudi kusaka hela nitafute huyu mnyama aiseee hili seapiano natuma huko sina mziki nina kelele tu ndani kumbe View attachment 2317996
kuna rockfordfosgate p3-D3Hapo kwenye frequency response ndiko uchawi
ulipo. Yani ukishaona 3OHz-2OkHz ujue tu mzigo umegusa sakafu ya deep bass.
Yani anything O-3OHz ni msala. Sony mwenyewe ana kitu ametengeneza mwaka huu kinafika 35Hz na watu wanaisifia sana kuwa inaizidi JBL. Ni subwoofer kwa ajili ya deep bass.
Sasa imagine mtu anayechezea kwenye 3OHz kamili itakuwaje. Huyo ni Kodtec wazee acheni masihara jokes aside.
kuna deaf bounce, sundown, rockford, rockville n.kHao sijajua kama wana car audio system. Kule naona JBL, Pioneer na Sony Xplod ndio katawala.
bongo vitu adimu hivyoYeah hao wakali wa kimarekani bila kwasahau JL Audio, Kicker.
ila kenya hapo vipo vyakutosha sanaaabongo vitu adimu hivyo
hii speaker pekee kenya inauzwa 400000-500000tshHio bass yake ni thrilling[emoji23][emoji23][emoji23] inapenya kwenye ngozi kabisa
Hili jambo ndio lipo kwa jirani yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ndio maana ukitaka kumjua mtu mwenye sea piano muache aachilie sauti mpaka juu, [emoji23][emoji23] broh utasikia mabati ya nyumba yake ndo yanakua radiators yaan mziki unakosa Radha kabisa inakua kama makelele.
Coz woofer ya seapiano ina : 80Wrms 2Ξ© at 100Hz, na ndo maana yanaunguruma sana.
Na hata bongo unazipata hizo pioneer. Huwa zinafika frequency ya 2OHz 3OORMS kwa twin coil huku Sony Xplod ni 3OHz 42ORMS twin coil. Bass is so powerful in both speakershii speaker pekee kenya inauzwa 400000-500000tsh
wakati pioneer 3003d4 yenye spec sawa na hyo wanauza kati ya 220000-260000tsh huko huko kenya
pioneers za bongo nyingi ni fake mzeeNa hata bongo unazipata hizo pioneer. Huwa zinafika frequency ya 2OHz kwa twin coil huku Sony wao ni 3OHz single coil.
Nais hata panya wanaweza wakaama nyumbaπ€£π€£Sea piano lazma iungurumishe bati, geti, sufuria, vijiko na vitu vyote vya chuma πππ
How muchHii hapa mkuu narudi kusaka hela nitafute huyu mnyama aiseee hili seapiano natuma huko sina mziki nina kelele tu ndani kumbe View attachment 2317996
Mkuu kama una uzi umeongolea huu mtambo na specifications zake naomba unitag, au kama una uzi wa kuongelea hizi soundbar nitag piaHahahah kama una hela ya kutosha unaweza chukua ile option. Ila kama hela ya kuunga unga hii ni Quick Solution. Uzuri ni kuwa hili li subs unaweza kuliunga na Amp kupitia Pre-amp likaendelea kukupa burudani maana ni li Active subwoofer. Pamoja na zile floor standing kwa hapo baadae.