Kofi moja tu akasema watoto sio wangu

Kofi moja tu akasema watoto sio wangu

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Ugomvi ugomvi piga ngumi piga mateke nikamuotea kofi moja tu
Akapiga kelele hatari na kuropoka ,naondoka na wanangu,nikamwambia haondoki mtoto hapa akajibu,thubutu......naondoka nao, kwanza sio watoto wako,una jeuri ya kuzaa watoto wazuri hivyo,hujioni hilo komwe.

Akaondoka kweli ila wazazi wakasuluhisha yakaisha,
Kwenye kikao cha usuluhishi mke anasema watoto ni wa mumewe ila aliongea tu kwa hasira kumrusha roho jamaa, kupima DNA wazee wamesema aachane nayo.

Sasa amerudi na wale watoto,ndoa ngumu jamani,ikitokea mtoto akadhurika suspect number 1 ni mimi

NB sio mimi ila ni mtu yamemkuta,mimi ningesha wanyonga hao machalii
 
Yaani mwanamke akuropokee kwamba watoto sio wako halafu eti wazee wasuluhishe? Kwahiyo wazee wakishasuluhisha watoto wanakua wakwako sasa?
Watakwambia kitanda hakizai haramu,baba yako nae atasema we sio mtoto wake ila kakulea
Mbaya zaidii utahisi labda hauna kizazi
 
Ugomvi ugomvi piga ngumi piga mateke nikamuotea kofi moja tu
Akapiga kelele hatari na kuropoka ,naondoka na wanangu,nikamwambia haondoki mtoto hapa akajibu,thubutu......naondoka nao, kwanza sio watoto wako,una jeuri ya kuzaa watoto wazuri hivyo,hujioni hilo komwe.

Akaondoka kweli ila wazazi wakasuluhisha yakaisha,
Kwenye kikao cha usuluhishi mke anasema watoto ni wa mumewe ila aliongea tu kwa hasira kumrusha roho jamaa, kupima DNA wazee wamesema aachane nayo.

Sasa amerudi na wale watoto,ndoa ngumu jamani,ikitokea mtoto akadhurika suspect number 1 ni mimi

NB sio mimi ila ni mtu yamemkuta,mimi ningesha wanyonga hao machalii
Kwa Nini uwanyonge?achana Kwa amani na siyo kuua watoto wasiohusika na usaliti wa mke wako
 
Watakwambia kitanda hakizai haramu,baba yako nae atasema we sio mtoto wake ila kakulea
Mbaya zaidii utahisi labda hauna kizazi
Kwahiyo we ukiambiwa hivyo basi unaishiwa nguvu unamrudisha mwanamke ndani 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom