Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
they say communication save relations, I can tellHujawahi kuona wazee wanasuluhisha ndoa iliyokufa ikafufuka upya tena jwa kishindo?
Umeongea kikubwa sana na kikomavu,Matamshi hayo yanaweza kuwa ya kweli ama ni ligi ya ugomvi na huo kimsingi ni ulikuwa ni ugomvi.
Mambo hayo huwa hayaishii kwenye ugomvi kama unavyodai.
Mambo ya ugomvi wa wanandoa huishia kwa wenyewe kuyaongea na kusameheana ama kwa mabaraza ya usuluhishi ya ukoo, kijiji(Kata)ama mahakamani.
Ukiitwa na usiende, jambo hilo husogezwa mbele hadi mahakamani kwa kufuata ngazi za kisheria.
Ukiitwa mahakamani kwa samansi na usiende, weweni mtu mzima unaelewa ni nini hufuata.
Kwa hiyo mkuu ndoa hauwezi kuivunja kibabe kwa jazba, hata kama wewe ni mbabe kweli.
Ujanja hapo ni kutooa au kuishi na mwanamke kiuhawara(bila ndoa), lakini maisha hayo pia yana changamoto zake, tena kubwa.
KuachanaWe ungefanyaje hapo
Vipi kama Kuna mwingine mwenye komwe nae akajipigiaNdoto zingine bana ila namshukuru watoto wangu huwa natoa photocopyWote komwe la kwangu kabisa
Yaan hapo kifupi hao watoto sio wako nanhuo ndio ukweli wenyewe mwanamke akiwa na kisirani huyaongea yaliyo sirini , siwezi kukubali usuluhishi kwenye jambo kama hilo kirahisi rahisi tuuYaani mwanamke akuropokee kwamba watoto sio wako halafu eti wazee wasuluhishe? Kwahiyo wazee wakishasuluhisha watoto wanakua wakwako sasa?
KUPIGA NI KOSA KISHERIA.Ugomvi ugomvi piga ngumi piga mateke nikamuotea kofi moja tu
Akapiga kelele hatari na kuropoka ,naondoka na wanangu,nikamwambia haondoki mtoto hapa akajibu,thubutu......naondoka nao, kwanza sio watoto wako,una jeuri ya kuzaa watoto wazuri hivyo,hujioni hilo komwe.
Akaondoka kweli ila wazazi wakasuluhisha yakaisha,
Kwenye kikao cha usuluhishi mke anasema watoto ni wa mumewe ila aliongea tu kwa hasira kumrusha roho jamaa, kupima DNA wazee wamesema aachane nayo.
Sasa amerudi na wale watoto,ndoa ngumu jamani,ikitokea mtoto akadhurika suspect number 1 ni mimi
NB sio mimi ila ni mtu yamemkuta,mimi ningesha wanyonga hao machalii
Kwanza unastahili kufunzwa adabu kidogo… kupiga haisaiidiiUgomvi ugomvi piga ngumi piga mateke nikamuotea kofi moja tu
Akapiga kelele hatari na kuropoka ,naondoka na wanangu,nikamwambia haondoki mtoto hapa akajibu,thubutu......naondoka nao, kwanza sio watoto wako,una jeuri ya kuzaa watoto wazuri hivyo,hujioni hilo komwe.
Akaondoka kweli ila wazazi wakasuluhisha yakaisha,
Kwenye kikao cha usuluhishi mke anasema watoto ni wa mumewe ila aliongea tu kwa hasira kumrusha roho jamaa, kupima DNA wazee wamesema aachane nayo.
Sasa amerudi na wale watoto,ndoa ngumu jamani,ikitokea mtoto akadhurika suspect number 1 ni mimi
NB sio mimi ila ni mtu yamemkuta,mimi ningesha wanyonga hao machalii