Kofi moja tu akasema watoto sio wangu

Kofi moja tu akasema watoto sio wangu

Matamshi hayo yanaweza kuwa ya kweli ama ni ligi ya ugomvi na huo kimsingi ni ulikuwa ni ugomvi.

Mambo hayo huwa hayaishii kwenye ugomvi kama unavyodai.

Mambo ya ugomvi wa wanandoa huishia kwa wenyewe kuyaongea na kusameheana ama kwa mabaraza ya usuluhishi ya ukoo, kijiji(Kata)ama mahakamani.

Ukiitwa na usiende, jambo hilo husogezwa mbele hadi mahakamani kwa kufuata ngazi za kisheria.

Ukiitwa mahakamani kwa samansi na usiende, weweni mtu mzima unaelewa ni nini hufuata.

Kwa hiyo mkuu ndoa hauwezi kuivunja kibabe kwa jazba, hata kama wewe ni mbabe kweli.

Ujanja hapo ni kutooa au kuishi na mwanamke kiuhawara(bila ndoa), lakini maisha hayo pia yana changamoto zake, tena kubwa.
Umeongea kikubwa sana na kikomavu,
 
Yaani mwanamke akuropokee kwamba watoto sio wako halafu eti wazee wasuluhishe? Kwahiyo wazee wakishasuluhisha watoto wanakua wakwako sasa?
Yaan hapo kifupi hao watoto sio wako nanhuo ndio ukweli wenyewe mwanamke akiwa na kisirani huyaongea yaliyo sirini , siwezi kukubali usuluhishi kwenye jambo kama hilo kirahisi rahisi tuu
 
Maneno anayotamka mwanamke akiwa na hasira na fikra zake halisi!
Kwa sababu ya hasira anapoteza uwezo wa kujizuia!
 
Ugomvi ugomvi piga ngumi piga mateke nikamuotea kofi moja tu
Akapiga kelele hatari na kuropoka ,naondoka na wanangu,nikamwambia haondoki mtoto hapa akajibu,thubutu......naondoka nao, kwanza sio watoto wako,una jeuri ya kuzaa watoto wazuri hivyo,hujioni hilo komwe.

Akaondoka kweli ila wazazi wakasuluhisha yakaisha,
Kwenye kikao cha usuluhishi mke anasema watoto ni wa mumewe ila aliongea tu kwa hasira kumrusha roho jamaa, kupima DNA wazee wamesema aachane nayo.

Sasa amerudi na wale watoto,ndoa ngumu jamani,ikitokea mtoto akadhurika suspect number 1 ni mimi

NB sio mimi ila ni mtu yamemkuta,mimi ningesha wanyonga hao machalii
KUPIGA NI KOSA KISHERIA.
Wengi wameua au wameuwawa kupitia ugomvi,kusababishiana ulemavu wa kudumu,na kadhalika.
Hakuna mtu yeyote mwenye haki ya kumpiga mtu yeyote kwa sababu yoyote ile.
Watu wengine wamejikuta kwwnye kesi na kujikuta wanalipa gharama kubwa kama fidia au faini kutokana na kukosa kushindwa kuzuia hasira zao na kuwashambulia shambuliobla kimwili PHYSICAL VIOLENCE,EMOTIONAL VIOLENCE
Mara nyingi unapompiga mtu unatumia nguvu kumdhuru mwili na pia una muathiri kisaikolojia pia unamdhalilisha na kumnyanyasa na huo unaomfanyia ni UKATILI.GBV hasa mwanaume ukimshambilia mwanamke ni UKATILI WA KIJINSIA.
Sasa haya yote ni madhara hasi. YA UKATILI .
Haishauriwi sana kujichukulia sheria mkononi hata kama ni mke wako.Mimi naamini mtu mzima huwezi kumbadilisha au kumrekebisha tabia,hasa kwa kutumia nguvu mabavu.Ni bora kuachana kwa usalama na amani kama imefikia hatua ya kushindwa kuelewana kwa njia nyingine za amani.
 
Ugomvi ugomvi piga ngumi piga mateke nikamuotea kofi moja tu
Akapiga kelele hatari na kuropoka ,naondoka na wanangu,nikamwambia haondoki mtoto hapa akajibu,thubutu......naondoka nao, kwanza sio watoto wako,una jeuri ya kuzaa watoto wazuri hivyo,hujioni hilo komwe.

Akaondoka kweli ila wazazi wakasuluhisha yakaisha,
Kwenye kikao cha usuluhishi mke anasema watoto ni wa mumewe ila aliongea tu kwa hasira kumrusha roho jamaa, kupima DNA wazee wamesema aachane nayo.

Sasa amerudi na wale watoto,ndoa ngumu jamani,ikitokea mtoto akadhurika suspect number 1 ni mimi

NB sio mimi ila ni mtu yamemkuta,mimi ningesha wanyonga hao machalii
Kwanza unastahili kufunzwa adabu kidogo… kupiga haisaiidii
 
Mi ikija kutokea hivyo kwangu. ........nafukuza wote sisamehi mtu hata aje nani hapa duniani.........maana limtokaro mtu kwa hasira huo ni ukweli kabisaaa .
 
Back
Top Bottom