Koh Koh Koh.. Mbona Rais Samia Kama Kayaona ya Magufuli?

Koh Koh Koh.. Mbona Rais Samia Kama Kayaona ya Magufuli?

Uongozi si vita. Angejikita katika haki zilizozikwa awamu ya tano ilikuwa inatosha sana.

Taifa lingepona, tungekuwa wamoja, tukapaa kiuchumi na mi 5 mingine ya haki ingemhusu.
Umeongea vema sana. Angewasikiliza wapinzani watamwambia kweli, kweli tupu (aucheue huo ukweli) na itamsaidia kuliko"wenzake" ambao wanatazama midomo yake inacheza vipi na kufuatishia humo humo kulinda matumbo yao!
Mfano the whole world wanajua kuwa Mbowe anaonewa na amebambikiwa kesi, bado anaacha ujinga kama huo unapepea...."wenzake" wanamwambia acha Mahakama itoe hukumu wakati wanajua fika kuwa ni trumped charges.... anawasikiliza.
 
Yeye ni mama na wao ni vijana... Wakimzingua atawazingua...
 
Kama vp bandarini waweke wazungu..labda watadhibiti wizi. Huo ulinganifu wa Samia na Magufuli sijui kama ni wa muhimu kwa sasa.
Naunga mkono 100% wawekwe wazungu tuone itakuwaje, maana hapo naona kansa imeshamiri, " ugonjwa usiopona"!!
 
Umeongea vema sana. Angewasikiliza wapinzani watamwambia kweli, kweli tupu (aucheue huo ukweli) na itamsaidia kuliko"wenzake" ambao wanatazama midomo yake inacheza vipi na kufuatishia humo humo kulinda matumbo yao!
Mfano the whole world wanajua kuwa Mbowe anaonewa na amebambikiwa kesi, bado anaacha ujinga kama huo unapepea...."wenzake" wanamwambia acha Mahakama itoe hukumu wakati wanajua fika kuwa ni trumped charges.... anawasikiliza.

Mbaya zaidi hao anaodhani ni wenzake hili la Mbowe watakuja kumruka wakati atakuwa hana pa kusemea tena.

Kwani Bashiru huyu na kimya hiki, ni kuwa leo amekuwa bubu?
 
Hana lolote huyu mama. Yeye si mgeni na hili Taifa .wananchi tunajua clearly bila chenga kuwa Rais hawezi kukaa miezi bila hizi action Taifa likakaa salama. We all know . Mbaya zaidi wananchi tumeona kama anataka kwenda kama uongozi wa awamu ya nne .hizi mbwembwe zote ni sababu ya kelele za wananchi zimemzidi.kiti cha urais wa Taifa hili kinatakiwa mtu aggressive wala si passive kama anavyotaka kutupeleka .viongozi wengi wwnaochagiliwa hawako civilized na wizi uko nje nje .
 
This country bwana is very poor.! ( in mrisho mpoto's voice) sasa kila upande unavutia kwake mi maoni yangu basi nchi iuzwe kila MTU apewe mgao wake na ajue atakapoelekea.
 
Mbaya zaidi hao anaodhani ni wenzake hili la Mbowe watakuja kumruka wakati atakuwa hana pa kusemea tena.

Kwani Bashiru huyu na kimya hiki, ni kuwa leo amekuwa bubu?
na kweli watamruka atabaki peke yake! Kuna mabo mengine unaamua kama wewe... at some times kama kiongozi unaipuuza GROUP POWER, unaamua wewe kama wewe! Kama Nyerere enzi za mwanzo wa uhuru, wabunge walitaka kujiongezea mishahara akakataa, wakawa kama wanataka kumsusa. Akasema hili silikubali navunja Bunge twende kwa wananchi watutolee hukumu. Wakaona kurudi bungeni itakuwa mtihani maana Nyerere alipiga penyewe. Wakanywe na maisha yakaendelea.
IF IT WERE ME, LA MBOWE NINGELITOLEA MAAMUZI, BILA CONSULTATION, LABDA DPP,
 
Sijui ni mimi tu, macho yangu au masikio yangu? Huku Bandari mbona kama kunaumiza kichwa sana Marais? Rais Samia jana kazungumza kama Magufuli, Kachukua hatua za papo hapo kama enzi za Magu na anajitangaza kusimama na wananchi kama Magu alivyokuwa anajitangaza kusimama na wanyonge. SSa anajitengenezea maadui wa ndani? Ameanza kuona nini? Maana maneno yake ukiyawekea sauti ya Magufuli hutaweza juona tofauti...

Waliomuunga mkono na kusita wapate nguvu mpya?
Mzee umeongea kishabiki sana,ni kwa nini usikubali kuwa huyo Magufuli hayupo kwa sasa?
 
Mama anavuna alichopanda kama hakuelewa usia wa Kenyatta basi apambane na hali yake.
Mafisadi hayaangali usoni hata akiwalegezea macho bado watampiga hadi ajute aache kutembeza bakuli.
Rasilimali ni nyingi aliekeza nguvu ndani Clinton ni tapeli la dunia
 
Ukiwa Rais wa Taifa hili ukilala unatakiwa uwaze sehemu hizi bandari,wizara fedha ,wizara madini Sasa yeye amelala fofofo anasubiri report kuletewa Samia ni Kama mgeni kwenye nyumba hafai hafai hafai kabisa.ndio maana JPM akilala akipata maruweruwe usiku anaamukia bandarini kimyakimya.
Kwahiyo magu alikuwa anafanya auditing, mambo ya kimfumo, na masuala ya kiCAG Mwenyewe pale bandarini akikesha hapo?
Yani anybody praising mwendazake namuonaga pungu..an fulani
 
na kweli watamruka atabaki peke yake! Kuna mabo mengine unaamua kama wewe... at some times kama kiongozi unaipuuza GROUP POWER, unaamua wewe kama wewe! Kama Nyerere enzi za mwanzo wa uhuru, wabunge walitaka kujiongezea mishahara akakataa, wakawa kama wanataka kumsusa. Akasema hili silikubali navunja Bunge twende kwa wananchi watutolee hukumu. Wakaona kurudi bungeni itakuwa mtihani maana Nyerere alipiga penyewe. Wakanywe na maisha yakaendelea.
IF IT WERE ME, LA MBOWE NINGELITOLEA MAAMUZI, BILA CONSULTATION, LABDA DPP,

Walisema la kvunda halina ubani na sikio la kufa halisikii dawa. Atakuja kustuka akiwa kesha chelewa mno.
 
Kishazikwa huyo!
Kila MTU atakufa and then atazikwa including you and me suala hilo halina kuchekana, hata ukicheka vipi ujue sooner or later will be our turn, please tujadili vitu vitakavyo lisaidia taifa, that's it !!
 
Sijui ni mimi tu, macho yangu au masikio yangu? Huku Bandari mbona kama kunaumiza kichwa sana Marais? Rais Samia jana kazungumza kama Magufuli, Kachukua hatua za papo hapo kama enzi za Magu na anajitangaza kusimama na wananchi kama Magu alivyokuwa anajitangaza kusimama na wanyonge. SSa anajitengenezea maadui wa ndani? Ameanza kuona nini? Maana maneno yake ukiyawekea sauti ya Magufuli hutaweza juona tofauti...

Waliomuunga mkono na kusita wapate nguvu mpya?
Usiwaamini CCM kamwe! Wakiwa kwenye camera na wakiwa wenyewe huwa ni Watu wawili tofauti
 
Back
Top Bottom