nabwabwaja tu utapaaje kiumi ndugi ili halia huna pesa ya kuunedesha nchi kuggaramikia mega project .huku watu wakijipigia tu mahela hapo bandarini na ukwasi wa kutisha ili kule jikijijin hupeleki hata panadol
Sent using Jamii Forums mobile app
Vile vichwa vya treni vya kuokota, walivipeleka wapi?Kweli jamii forum ya zama hizi imechoka sana. Yaani Mzee Mwanakijiji ndio wakuja na mada nyepesi nyepesi za namna hii?
Yaani hawezi kuandika tena mada mpaka amuingize marehemu Magufuli na kumpamba?
Okay, turudi kwenye mada, bado sijapata logic yako ni nini?
Unataka kusema mama kwa sasa anamuiga Magufuli hivyo tumuunge mkono au tumkosoe?
Sote tunajua, tatizo la bandari ni tatizo la kimfumo (limetengenezwa na linalindwa na serikali ya CCM) na liko chini ya usimamizi wa mamlaka ya rais kwa kuwa karibu theluthi moja ya mapato ya nchi ya kila mwezi ya TRA yanapitia pale. Na sote tunakumbuka lilikuwa ni eneo la mahususi la kufanyia siasa za kiusanii katika utawala wa Magufuli (kumbuka issue za makontena ya makinikia, kuokotwa vichwa vya treni na mamia ya magari yasiyokuwa na wenyewe nk, na waokotaji walikuwa ni Magufuli na Majaliwa huku wakiwa wamezungukwa na kamera za kila kituo cha habari hapa Tz chini ya mwamvuli wa ziara za kushtukiza!)
Magufuli ni best president of our times. Haepukiki kama maji.
Kama kwenye ukuta wa Mererani?Weka wanajeshi bandarini kwisha habari
Google.Nini maana ya our times?
Kabisa. Mwanakijiji alijivisha miwani ya mbao wakati Magufuli alipokuwa hai, na akagoma kabisa kuona udhalimu uliokuwa unafanyika, na sasa kajitoa ufahamu kabisa, hataki kukubali kuwa Magufuli ameshafariki.Aisee, Magufuli alishakufa mzee.
Naona umeshindwa kabisa kuzoea.
Kwahiyo sasa unataka kusemaje?
Nakubaliana na wew kabisa namkumbuka sana jpm alimtumbua kangia na akamwambia ukweli .mama anajiona mkali eti kwa kutoa hii adhabu hapo ndo mwisho wake wa kufikiriaMama hukumu aliyotoa jana ilikuwa ndogo sana, palepale alipaswa afukuze kazi waziri mhusika wa hiyo bandari, mkurugenzi wa bandari na management yooote....jeshi liingie kazini kwa muda...on the spot..
Wahusika weekend hii walipaswa wawe keko mahabusu...j3 mahakamani uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na mauaji kwa watanzania masikini.....wakisota jela mahabusu kama miaka kumi na mali zao zote ziwe mufilisi, baada ya 10yrs wanamalizwa tu huko kimyakimya...
Kwa sasa fukuza kazi wafanyakazi wooote wa bandari usiache hata mmoja...kuanzia juu mpaka mfagiaji wote rudisha mtaani...aazeni upya kuajili wapo watanzania wengi sana huku mtaani na bahasha zao.....wote wenye vyeo ya kati na jui muwafilisi haraka..
Wew ndo mahakama .unawezaje kumsemea mbowe ili hali haulali naye Aushi naye .mbowe ana privacy zake ww unazijuaUmeongea vema sana. Angewasikiliza wapinzani watamwambia kweli, kweli tupu (aucheue huo ukweli) na itamsaidia kuliko"wenzake" ambao wanatazama midomo yake inacheza vipi na kufuatishia humo humo kulinda matumbo yao!
Mfano the whole world wanajua kuwa Mbowe anaonewa na amebambikiwa kesi, bado anaacha ujinga kama huo unapepea...."wenzake" wanamwambia acha Mahakama itoe hukumu wakati wanajua fika kuwa ni trumped charges.... anawasikiliza.
Nampenda sana Bashiru amekuwa kimya sana ni jamaa mwenye busara sana acha wanafiki waseme yeye ameamua kuachana na siasa uchwaraMbaya zaidi hao anaodhani ni wenzake hili la Mbowe watakuja kumruka wakati atakuwa hana pa kusemea tena.
Kwani Bashiru huyu na kimya hiki, ni kuwa leo amekuwa bubu?
Eti zile crane alizosema makamba zinatoka nje ya nchi hazijafika tu jamaniHana lolote huyu mama. Yeye si mgeni na hili Taifa .wananchi tunajua clearly bila chenga kuwa Rais hawezi kukaa miezi bila hizi action Taifa likakaa salama. We all know . Mbaya zaidi wananchi tumeona kama anataka kwenda kama uongozi wa awamu ya nne .hizi mbwembwe zote ni sababu ya kelele za wananchi zimemzidi.kiti cha urais wa Taifa hili kinatakiwa mtu aggressive wala si passive kama anavyotaka kutupeleka .viongozi wengi wwnaochagiliwa hawako civilized na wizi uko nje nje .
Yule alikua legendary hata kama hayupo. Au ndio nyie mpo bandari hapo mnacheza na mifumo ya bandarini kuingiza mizigo yenu, maana mnakuaga na hasiraAisee, Magufuli alishakufa mzee.
Naona umeshindwa kabisa kuzoea.
Kwahiyo sasa unataka kusemaje?
Makamba nae ni wa kumuamini?Eti zile crane alizosema makamba zinatoka nje ya nchi hazijafika tu jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wanajeshi wanalinda mgodi wa mererani na madini yanibiwaWeka wanajeshi bandarini kwisha habari
Duh....! Huyu ndiyo Guli wa enzi hizo Mwanakijiji...nafikiri huyu mzee umri utakuwa umeanza kutaradadi..Duh...!.
P
Wahuni watakubali hayo? Mtu aliwanyima ulaji waliouzoea,alizuia uuzaji wa madawa ya kulevya,watu wanapesa lkn bila madawa na uongozi serikalini wanaona wamedhulumiwa.Magufuli ni best president of our times. Haepukiki kama maji.
AsanteWanalazimisha mno kila kitu sifa apewe Magufuli...
As if kabla ya Magufuli Taifa halikuwepo kabisa.. ..
Anayopitia Samia hata Mwinyi alipitia..
Enzi ya Mwinyi ilikuwa kila kitu Nyerere..
Utasema Nyerere aliacha nchi imeendelea kama Ulaya..
Nongwa Tu hakuna lolote
JPM is died,burried and rotten...Sijui ni mimi tu, macho yangu au masikio yangu? Huku Bandari mbona kama kunaumiza kichwa sana Marais? Rais Samia jana kazungumza kama Magufuli, Kachukua hatua za papo hapo kama enzi za Magu na anajitangaza kusimama na wananchi kama Magu alivyokuwa anajitangaza kusimama na wanyonge. SSa anajitengenezea maadui wa ndani? Ameanza kuona nini? Maana maneno yake ukiyawekea sauti ya Magufuli hutaweza juona tofauti...
Waliomuunga mkono na kusita wapate nguvu mpya?