Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Anayepaswa kukanusha hayupo so inabaki kuwa hadithi ya upande mmojaKitabu cha Majungu hata hao publishers wasingekubali kwasababu wangefunguliwa mashtaka lakini mpaka sasa hivi hakuna hata mtu mmoja aliyekanusha kilichoandikwa na Kabendera.
Na kama angekuwa labda aliyeongelewq ni Kikwete wengi tungekataa na kupinga kwasababu Kikwete anajulikana lakini Magufuli alikuwa ni katili mwenye chuki za kijinga hakufaa kuwa Raisi labda uwaziri mkuu.
Ukweli hakumuua... nawewe lete ushahidi sio kujiandikia tu kijitabu ndo watu wakuamini..Lete ukweli sasa. Tuambie basi Kadego alikufa kwa malaria
Watu wanachanganya historia na histohisia... namfahamu mwandishi mmoja bingwa wa histohisia...Naendelea kusoma kitabu cha mwandishi Erik Kabendera, In the name of the President.
Kabendera anafichua juu ya tukio la mauaji ya Komando mstaafu wa JWTZ na ambaye alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la Mwaka 1982 dhidi ya Serikali ya Nyerere.
Kabendera anasema hayo wakati alipokuwa Gereza la Segerea wakati alipopewa kesi ya uhujumu uchumi, utakatishaji wa fedha pamoja ukwepaji kodi. “ Nilikuwa selo wakati nilipopewa kikaratasi kutoka kwa mtu asiyejulikana akiniambia kuwa Chistopher Kadego alikamatwa siku 3 nyuma kabla ya kukamatwa kwangu kisha kupigwa risasi na watu wasiojulikana.”
Kabendera anaendelea kufafanua; Kadego nilimfahamu kama miaka 15 iliyopita na alikuwa mtu mwema, sema kitendo chake kushiriki katika makundi mbalimbali ya waasi kama lile kundi la Kabila katika Vita dhidi ya Mobutu mwaka 1997 na baadae kupinga baadhi ya maamuzi ya Magufuli nafikiri matatizo yalianzia hapo.
Magufuli akapenyezewa taarifa kuwa Kadego alikuwa ni Komando mstaafu hatari na aliyeshiriki jaribio la kumpindua Nyerere.
Ikumbukwe Kadego alikuwa na miaka 67 hivyo hakuwa Kadego yule kijanaa machachari. Hayati Magufuli aliagiza Kadego “ashughulikiwe” maana alikuwa anahatarisha usalama wake.
Akatekwa na kupigwa risasi na watu waliokuja kujulikana baadae kuwa ni watu wa ikulu.
My note;
Hayati alikuwa muoga sana, unamuuaje mzee wa miaka 67? Hayati hakuwa na ubinadamu kabisa.
Huyu Mama si alikuwa ni Makamu wake na alikuwa kwenye Serikali ya Magufuli au unataka kusema kazuka tu from nowhere?!Anayepaswa kukanusha hayupo so inabaki kuwa hadithi ya upande mmoja
Wala haisaidii boss. Ni nimewaza tu nikavaa viatu vya hiyo familia nikapata picha jinsi ilivyo tough.Mitandao hii ni shida ndugu yangu. Unataka niiondoe hiyo picha? Unafikiri hilo litasaidia cho chote?
Tunajadiliana kuhusu kilichoandikwa na kabendera nje ya hapo unayo ya moyoni tusiyoyajua.Huyu Mama si alikuwa ni Makamu wake na alikuwa kwenye Serikali ya Magufuli au unataka kusema kazuka tu from nowhere?!
Hata Uwaziri Mkuu haukumfaa,yeye alistahili kuishia ngazi ya Waziri tu.Kitabu cha Majungu, hata hao publishers wasingekubali kwasababu wangefunguliwa mashtaka, lakini mpaka sasa hivi hakuna hata mtu mmoja aliyekanusha kilichoandikwa na Kabendera.
Na kama angekuwa labda aliyeongelewa ni Kikwete wengi tungekataa na kupinga kwasababu Kikwete anajulikana lakini Magufuli alikuwa ni katili mwenye chuki za kijinga hakufaa kuwa Raisi labda uwaziri mkuu.
Ondoa ujinga huoNaendelea kusoma kitabu cha mwandishi Erik Kabendera, In the name of the President.
Kabendera anafichua juu ya tukio la mauaji ya Komando mstaafu wa JWTZ na ambaye alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la Mwaka 1982 dhidi ya Serikali ya Nyerere.
Kabendera anasema hayo wakati alipokuwa Gereza la Segerea wakati alipopewa kesi ya uhujumu uchumi, utakatishaji wa fedha pamoja ukwepaji kodi. “ Nilikuwa selo wakati nilipopewa kikaratasi kutoka kwa mtu asiyejulikana akiniambia kuwa Chistopher Kadego alikamatwa siku 3 nyuma kabla ya kukamatwa kwangu kisha kupigwa risasi na watu wasiojulikana.”
Kabendera anaendelea kufafanua; Kadego nilimfahamu kama miaka 15 iliyopita na alikuwa mtu mwema, sema kitendo chake kushiriki katika makundi mbalimbali ya waasi kama lile kundi la Kabila katika Vita dhidi ya Mobutu mwaka 1997 na baadae kupinga baadhi ya maamuzi ya Magufuli nafikiri matatizo yalianzia hapo.
Magufuli akapenyezewa taarifa kuwa Kadego alikuwa ni Komando mstaafu hatari na aliyeshiriki jaribio la kumpindua Nyerere.
Ikumbukwe Kadego alikuwa na miaka 67 hivyo hakuwa Kadego yule kijanaa machachari. Hayati Magufuli aliagiza Kadego “ashughulikiwe” maana alikuwa anahatarisha usalama wake.
Akatekwa na kupigwa risasi na watu waliokuja kujulikana baadae kuwa ni watu wa ikulu.
My note;
Hayati alikuwa muoga sana, unamuuaje mzee wa miaka 67? Hayati hakuwa na ubinadamu kabisa.
Naomba icho kitabu nduguKitabu huwa hakizungumzwi bali kinasomwa, hata mimi hapa naendelea kukisoma na nimekisambaza kwa watu wengi sana.
Naomba icho kitabu aiseeHii habari ya Kadego nimeifupisha, ila kwenye kitabu ipo kwa urefu. Inawezekana nimeifupisha sana ikaleta mkabganyiko ila haiondoi ukweli kuwa Kadego aliuwawa kwa oda ya Jiwe kwa mujibu wa Mwandishi
Umeandika nini?Hii stori ni ya kwenye kahawa vya malaya
Huyu nae sio mwandishi ila ni mwana histohisiaWatu wanachanganya historia na histohisia... namfahamu mwandishi mmoja bingwa wa histohisia...
ukweli ni upiUongo mtupu
Kwanini akumuua Kabendera?
Kadego alikuwa rafiki yangu,nilimfahamu kupitia Kapten Maganga.Nikikutana naye mara kadhaa baadaye nikawa sympathy.Kumbe lile jamaa lilipta nayeNaendelea kusoma kitabu cha mwandishi Erik Kabendera, In the name of the President.
Kabendera anafichua juu ya tukio la mauaji ya Komando mstaafu wa JWTZ na ambaye alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la Mwaka 1982 dhidi ya Serikali ya Nyerere.
Kabendera anasema hayo wakati alipokuwa Gereza la Segerea wakati alipopewa kesi ya uhujumu uchumi, utakatishaji wa fedha pamoja ukwepaji kodi. “ Nilikuwa selo wakati nilipopewa kikaratasi kutoka kwa mtu asiyejulikana akiniambia kuwa Chistopher Kadego alikamatwa siku 3 nyuma kabla ya kukamatwa kwangu kisha kupigwa risasi na watu wasiojulikana.”
Kabendera anaendelea kufafanua; Kadego nilimfahamu kama miaka 15 iliyopita na alikuwa mtu mwema, sema kitendo chake kushiriki katika makundi mbalimbali ya waasi kama lile kundi la Kabila katika Vita dhidi ya Mobutu mwaka 1997 na baadae kupinga baadhi ya maamuzi ya Magufuli nafikiri matatizo yalianzia hapo.
Magufuli akapenyezewa taarifa kuwa Kadego alikuwa ni Komando mstaafu hatari na aliyeshiriki jaribio la kumpindua Nyerere.
Ikumbukwe Kadego alikuwa na miaka 67 hivyo hakuwa Kadego yule kijanaa machachari. Hayati Magufuli aliagiza Kadego “ashughulikiwe” maana alikuwa anahatarisha usalama wake.
Akatekwa na kupigwa risasi na watu waliokuja kujulikana baadae kuwa ni watu wa ikulu.
My note;
Hayati alikuwa muoga sana, unamuuaje mzee wa miaka 67? Hayati hakuwa na ubinadamu kabisa.
You are the assassinAlaumiwe Magufuli kwa kumuacha huyo ngedere Kabendera
Magufuli aliyekuwa na miaka karibia sawa na Kadego Eti ndio amtambue Kadego kuwa ni mmoja wa Makomandoo walioshiriki jaribio la kumpindua Nyerere? Miaka tele baada?Magufuli akapenyezewa taarifa kuwa Kadego alikuwa ni Komando mstaafu hatari na aliyeshiriki jaribio la kumpindua Nyerere.
Labda alikufa kwenye mkanyagano wa kuuaga mwili wa Magufuli maana siku ile walikufa watu 45 akiwemo na yeye komando Kadego..Hii habari ya Kadego nimeifupisha, ila kwenye kitabu ipo kwa urefu. Inawezekana nimeifupisha sana ikaleta mkabganyiko ila haiondoi ukweli kuwa Kadego aliuwawa kwa oda ya Jiwe kwa mujibu wa Mwandishi