Komando mstaafu na aliyeshriki Jaribio la Mapinduzi dhidi ya Nyerere mwaka 1982, Christopher Kadego alitekwa na kuuwawa kwa amri ya Rais Magufuli

Komando mstaafu na aliyeshriki Jaribio la Mapinduzi dhidi ya Nyerere mwaka 1982, Christopher Kadego alitekwa na kuuwawa kwa amri ya Rais Magufuli

Kitabu cha Majungu hata hao publishers wasingekubali kwasababu wangefunguliwa mashtaka lakini mpaka sasa hivi hakuna hata mtu mmoja aliyekanusha kilichoandikwa na Kabendera.

Na kama angekuwa labda aliyeongelewq ni Kikwete wengi tungekataa na kupinga kwasababu Kikwete anajulikana lakini Magufuli alikuwa ni katili mwenye chuki za kijinga hakufaa kuwa Raisi labda uwaziri mkuu.
Anayepaswa kukanusha hayupo so inabaki kuwa hadithi ya upande mmoja
 
Naendelea kusoma kitabu cha mwandishi Erik Kabendera, In the name of the President.

Kabendera anafichua juu ya tukio la mauaji ya Komando mstaafu wa JWTZ na ambaye alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la Mwaka 1982 dhidi ya Serikali ya Nyerere.

Kabendera anasema hayo wakati alipokuwa Gereza la Segerea wakati alipopewa kesi ya uhujumu uchumi, utakatishaji wa fedha pamoja ukwepaji kodi. “ Nilikuwa selo wakati nilipopewa kikaratasi kutoka kwa mtu asiyejulikana akiniambia kuwa Chistopher Kadego alikamatwa siku 3 nyuma kabla ya kukamatwa kwangu kisha kupigwa risasi na watu wasiojulikana.”

Kabendera anaendelea kufafanua; Kadego nilimfahamu kama miaka 15 iliyopita na alikuwa mtu mwema, sema kitendo chake kushiriki katika makundi mbalimbali ya waasi kama lile kundi la Kabila katika Vita dhidi ya Mobutu mwaka 1997 na baadae kupinga baadhi ya maamuzi ya Magufuli nafikiri matatizo yalianzia hapo.

Magufuli akapenyezewa taarifa kuwa Kadego alikuwa ni Komando mstaafu hatari na aliyeshiriki jaribio la kumpindua Nyerere.

Ikumbukwe Kadego alikuwa na miaka 67 hivyo hakuwa Kadego yule kijanaa machachari. Hayati Magufuli aliagiza Kadego “ashughulikiwe” maana alikuwa anahatarisha usalama wake.

Akatekwa na kupigwa risasi na watu waliokuja kujulikana baadae kuwa ni watu wa ikulu.

My note;
Hayati alikuwa muoga sana, unamuuaje mzee wa miaka 67? Hayati hakuwa na ubinadamu kabisa.
Watu wanachanganya historia na histohisia... namfahamu mwandishi mmoja bingwa wa histohisia...
 
Huyu Mama si alikuwa ni Makamu wake na alikuwa kwenye Serikali ya Magufuli au unataka kusema kazuka tu from nowhere?!
Tunajadiliana kuhusu kilichoandikwa na kabendera nje ya hapo unayo ya moyoni tusiyoyajua.
 
Kitabu cha Majungu, hata hao publishers wasingekubali kwasababu wangefunguliwa mashtaka, lakini mpaka sasa hivi hakuna hata mtu mmoja aliyekanusha kilichoandikwa na Kabendera.

Na kama angekuwa labda aliyeongelewa ni Kikwete wengi tungekataa na kupinga kwasababu Kikwete anajulikana lakini Magufuli alikuwa ni katili mwenye chuki za kijinga hakufaa kuwa Raisi labda uwaziri mkuu.
Hata Uwaziri Mkuu haukumfaa,yeye alistahili kuishia ngazi ya Waziri tu.
 
Naendelea kusoma kitabu cha mwandishi Erik Kabendera, In the name of the President.

Kabendera anafichua juu ya tukio la mauaji ya Komando mstaafu wa JWTZ na ambaye alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la Mwaka 1982 dhidi ya Serikali ya Nyerere.

Kabendera anasema hayo wakati alipokuwa Gereza la Segerea wakati alipopewa kesi ya uhujumu uchumi, utakatishaji wa fedha pamoja ukwepaji kodi. “ Nilikuwa selo wakati nilipopewa kikaratasi kutoka kwa mtu asiyejulikana akiniambia kuwa Chistopher Kadego alikamatwa siku 3 nyuma kabla ya kukamatwa kwangu kisha kupigwa risasi na watu wasiojulikana.”

Kabendera anaendelea kufafanua; Kadego nilimfahamu kama miaka 15 iliyopita na alikuwa mtu mwema, sema kitendo chake kushiriki katika makundi mbalimbali ya waasi kama lile kundi la Kabila katika Vita dhidi ya Mobutu mwaka 1997 na baadae kupinga baadhi ya maamuzi ya Magufuli nafikiri matatizo yalianzia hapo.

Magufuli akapenyezewa taarifa kuwa Kadego alikuwa ni Komando mstaafu hatari na aliyeshiriki jaribio la kumpindua Nyerere.

Ikumbukwe Kadego alikuwa na miaka 67 hivyo hakuwa Kadego yule kijanaa machachari. Hayati Magufuli aliagiza Kadego “ashughulikiwe” maana alikuwa anahatarisha usalama wake.

Akatekwa na kupigwa risasi na watu waliokuja kujulikana baadae kuwa ni watu wa ikulu.

My note;
Hayati alikuwa muoga sana, unamuuaje mzee wa miaka 67? Hayati hakuwa na ubinadamu kabisa.
Ondoa ujinga huo
 
Watu wanachanganya historia na histohisia... namfahamu mwandishi mmoja bingwa wa histohisia...
Huyu nae sio mwandishi ila ni mwana histohisia
screenshot_20230514-154115-2-jpg.2623924
(msaliti na mnafiki) aliyebeba siri nyingi kuhusiana na kifo chake, nae hawakumuachia.

huyu kibendera nae akishamaliza kutumika kujaza AI uwongo, nae hatasalimika.
Ni miongozo na kanuni zao wenyewe, hatasalimika. Sasa sijui watamsingizia nani.
 
Naendelea kusoma kitabu cha mwandishi Erik Kabendera, In the name of the President.

Kabendera anafichua juu ya tukio la mauaji ya Komando mstaafu wa JWTZ na ambaye alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la Mwaka 1982 dhidi ya Serikali ya Nyerere.

Kabendera anasema hayo wakati alipokuwa Gereza la Segerea wakati alipopewa kesi ya uhujumu uchumi, utakatishaji wa fedha pamoja ukwepaji kodi. “ Nilikuwa selo wakati nilipopewa kikaratasi kutoka kwa mtu asiyejulikana akiniambia kuwa Chistopher Kadego alikamatwa siku 3 nyuma kabla ya kukamatwa kwangu kisha kupigwa risasi na watu wasiojulikana.”

Kabendera anaendelea kufafanua; Kadego nilimfahamu kama miaka 15 iliyopita na alikuwa mtu mwema, sema kitendo chake kushiriki katika makundi mbalimbali ya waasi kama lile kundi la Kabila katika Vita dhidi ya Mobutu mwaka 1997 na baadae kupinga baadhi ya maamuzi ya Magufuli nafikiri matatizo yalianzia hapo.

Magufuli akapenyezewa taarifa kuwa Kadego alikuwa ni Komando mstaafu hatari na aliyeshiriki jaribio la kumpindua Nyerere.

Ikumbukwe Kadego alikuwa na miaka 67 hivyo hakuwa Kadego yule kijanaa machachari. Hayati Magufuli aliagiza Kadego “ashughulikiwe” maana alikuwa anahatarisha usalama wake.

Akatekwa na kupigwa risasi na watu waliokuja kujulikana baadae kuwa ni watu wa ikulu.

My note;
Hayati alikuwa muoga sana, unamuuaje mzee wa miaka 67? Hayati hakuwa na ubinadamu kabisa.
Kadego alikuwa rafiki yangu,nilimfahamu kupitia Kapten Maganga.Nikikutana naye mara kadhaa baadaye nikawa sympathy.Kumbe lile jamaa lilipta naye
 
Upo ukakasi mwingi sana hapa.

Magufuli akapenyezewa taarifa kuwa Kadego alikuwa ni Komando mstaafu hatari na aliyeshiriki jaribio la kumpindua Nyerere.
Magufuli aliyekuwa na miaka karibia sawa na Kadego Eti ndio amtambue Kadego kuwa ni mmoja wa Makomandoo walioshiriki jaribio la kumpindua Nyerere? Miaka tele baada?

Kweli mtu ambaye alikuwa Serikalini kupitia wizara mbalimbali asijue Kadego alishiriki katika Uasi, hata kwa vinongo'onezo?

Mimi Syllogist nilikuwa najua Kadego alishiriki na sikuwa serikalini.

Aaaah Kabendera! Hapo umebugi
 
Hii habari ya Kadego nimeifupisha, ila kwenye kitabu ipo kwa urefu. Inawezekana nimeifupisha sana ikaleta mkabganyiko ila haiondoi ukweli kuwa Kadego aliuwawa kwa oda ya Jiwe kwa mujibu wa Mwandishi
Labda alikufa kwenye mkanyagano wa kuuaga mwili wa Magufuli maana siku ile walikufa watu 45 akiwemo na yeye komando Kadego..
 
Back
Top Bottom