Komandoo wa Iran wateka meli ya UAE iliyokuwa inapeleka Mafuta Israel

Waarabu wanafiki sana yaani mauaji yote pale Gaza lakini Bado Wana supply mafuta kwenye meli za kivita
Yaani Ustaadh i know wewe ni Muslim ila hawa wenzio Muslim humu jf ni wale Fanatic Muslim and possibly ni Mashia kila news waletayo inakuwa imejaa uongo.. pengine hujawazoea ingia website za iran utakuta walicho ongea kina 80% uongo na 20 ukweli.. kuna news wanaletaga humu 100% uongo.. Hata kama ni waislam wenzio wana tumia Taqiyya kwa kila kitu
 
Uharo mtupu.

Kashindwa bwana yenu Marekani, UK, hao mashoga watawaweza Yemen.
Ondoa Msikiti Tv news utakuwa Morogoro pale Live..

Yemen akimaliza kuzima moto harudii tena kapigwa mwana ukome..
 
Hebu nipe QUOTE kwenye bibilia inasema ukilibariki taifa la Israel utabarikiwa, hivi kuna bibilia ilitoka toleo la 1948.
Hio point we unayo iongelea ni ya mcha Mungu, sio taifa.
Mwanzo 12 : 2 nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;
Nyie mpo kifake fake tu, mpaa Mungu wenu ni fake
Kwa lugha ya Aramic mliitwa Kafir.. Kama Fake why mmecopy Asalam Aleykum? Kauli aliyoitoa Malaika Gabriel kwa Maria and Jesus alikuwa akiitumia acheni mara moja
na yule Mungu originally hamumjui 😄
Our God alikuja kuishi nasi Emmanuel Yashua Am am who i am.. YHWH The Almighty. Kasome Quran Sura Marial aya ya kwanza chumbuka uwezavyo Kaf, Ha, Ya, 'Ayn, Sad. maana yake ''Christ is my Lord'' Allah huyo ndie muandishi

Nyie Shetani wenu kibaka.. Hebu Tuambie Mtume wenu kazi yake ya kumpatia kipato ilikuwa nini? maana Nilisikia alikuwa akikaba watu ngeta kuna siku akawaibia hadi watu wa genge lake chupi ya velvet ili ampelekee Aisha
 
Uchokozi wa iran dhidi ya israel ipo siku majibu yake atayapata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…