Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
Nimekupa senksi waambie hao na wanigeria wao wa Nollywood
Hawa hakuna kitu Echesa wao kafunikwa vibaya mno na Steven Bengo kapiga kiungo balaa kwenye timu ya Uganda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekupa senksi waambie hao na wanigeria wao wa Nollywood
unaona sasa mlikoenda?Kipa atakuwa wa Simba huyo!
Kipa atakuwa wa Simba huyo!
Kipa atakuwa wa Simba huyo!
Tunakubaliana kwenye Hili la Stars,Yanga na Chelsea,ningekua na mtoto wa kike ningekupa uoe bureee...........Kilimanjaro starz bila yanga si timu jamani!
bado dakika 4 mpira uishe kilimanjaro star 4 eritrea 0 (ngasa 3 bocco 1)
Tunakubaliana kwenye Hili la Stars,Yanga na Chelsea,ningekua na mtoto wa kike ningekupa uoe bureee...........
unaona sasa mlikoenda?
Tunakubaliana kwenye Hili la Stars,Yanga na Chelsea,ningekua na mtoto wa kike ningekupa uoe bureee...........
Wafungaji ni Ngasa kapiga 3 alafu John Boko ambae angehamia Yanga nae kapiga goli mwakani atatua tu Jangwani
unaona sasa mlikoenda?
Kurwa ataozwa kwa Ngasa! (Im Kidding)Asante baba ninakuombea upate mapacha wa kike na shemeji yangu!Si unajua tena wanaume hatuzeeki nitasubiri
Mh naona kuna wanazi wa Yanga humu! Hivi wandugu, mbona Mgosi wa Simba anapokuwa Stars hawiki kama akiwa Simba, kunani? au hawampi pasi wanambania? yaani mara chache sana akiwa Stars nimesikia Mgosi kafunga goli.
Asante baba ninakuombea upate mapacha wa kike na shemeji yangu!Si unajua tena wanaume hatuzeeki nitasubiri
Kurwa ataozwa kwa Ngasa! (Im Kidding)
Inadaiwa Mgosi si riziki akiwa Stars
kule hakuna hirizi na kuonga timu mpinzani kama wanavyofanya freinds of simbaMh naona kuna wanazi wa Yanga humu! Hivi wandugu, mbona Mgosi wa Simba anapokuwa Stars hawiki kama akiwa Simba, kunani? au hawampi pasi wanambania? yaani mara chache sana akiwa Stars nimesikia Mgosi kafunga goli.
Kurwa ataozwa kwa Ngasa! (Im Kidding)
Mh naona kuna wanazi wa Yanga humu! Hivi wandugu, mbona Mgosi wa Simba anapokuwa Stars hawiki kama akiwa Simba, kunani? au hawampi pasi wanambania? yaani mara chache sana akiwa Stars nimesikia Mgosi kafunga goli.
Ngasa ana nyumba mbili tayari, by the time huyo Doto anavunja nanilihii jamaa huenda akawa ashafikisha idadi inayoruhusiwa (wanne) labda awekewe ahadi thabiti hapa na mkwe mtarajiwa.kidding au predicting?