Siasa za Moise Katumbi..Yanga goooHivi unafahamu hata TP Mazembe hawako vizuri (kama umewafuatilia mechi zao zilizopita).
Hata kwenye msimamo wa ligi ya kwao wako hoi.
Hapa Yanga inabidi amalize nafasi ya 1 au ya 2.
Imekaa poa mzazi...!Ratiba ya yanga mechi ya kuanzia uarabuniView attachment 350626
Mkuu kama hutaki kusikia habari za Yanga jikate!Safari ya yanga mapema imeiva haina mjadala
Hilo neno ni tusi; Mkuu unamtukana nani?Nyoo
Chura hajitambui kabisaYaani chura hajitambui kabisa kuwa yeye ni chura. Ndiyo ya paka kujidhania ni simba!
Siyo kundi dhaifu bali ni kundi lisilo na waarabu wengi hivyo tutacheza mpira viwanjani na siyo nje ya viwanja kama ilivyo kwa fitina za waarabu.Hongereni Yanga kwa kupangiwa kundi dhaifu.
[emoji106]Naiona yanga ikicheza fainali na kuchukua kombe
Hawapendi hilo jina la Vyura, lakini kwa vile Simba Ni wa matopeni, basi Vyura fc jina sahihi kwao!Yanga.
Lakini chura si anakaa kwenye matope pia?
Hapo tulipofika tu ni pakubwa!Yanga baibai nadhani mwisho wa reli
Hapana ale ndimu!Mkuu kama hutaki kusikia habari za Yanga jikate!
Yanga siempre!TP Mazembe are actually not at their best msimu huu,hao waarabu hawatishi sana,nadhan hapa wa kumhofia ni huyo mghana baaasi.
Vamos YoungAfrica Vamoooooooos!!!!!