Mechi za ugenini yanga itafungwa zote, halafu za hapa nyumbani watatoa sate zote kwa hiyo watamaliza kundi wakiwa na point 3 then na hapo ndo utakuwa mwisho wao.
Ni kweli ndiyo ''trend'' mwendo wa timu za Tanzania halafu Yanga kuifunga timu kubwa kigogo bao 4 kwa bila hapa nyumbani Tanzania ni ngumu sana.
Timu za Tanzania zinatakiwa kuwa na uwezo wa kufunga mabao mengi nyumbani ili kufanya vizuri kimataifa.
Yanga itazifunga timu za Comoro, Madagascar , Shelisheli n.k lakini timu vigogo za Afrika ni ngumu sana.
Hapa mimi shabiki wa Azam FC, kwa Yanga SC naona timu nyonge ni Medeama Sporting Club ya Ghana iliyo katika nafasi ya nane hivi katika ligi kuu ya Ghana inayotokea maeneo kama ya timu ya Mtibwa FC ya Manungu, Mtibwa Morogoro. Soma habari motomoto toka Ghana hapo chini:
Photo: Medeama Sporting Club of Ghana
Medeama draw Young Africans, MO Bejaia and TP Mazembe in Group of Death of CAF Confederation Cup
Published on: 24 May 2016
Medeama SC face tough matches on their CAF Confederation Cup Group stage debut after drawing MO Bejaia, Young Africans and TP Mazembe in Group B.
All three opponents of the Ghana FA Cup champions dropped out from the elite CAF Champions League.
The Tarkwa-based will be re-uniting with former coach Johannes Van der Pluijm who is now in charge of newly-crowned Tanzanian champions Young Africans.
They will also the Ghanaian quintet at last year's CAF Champions League TP Mazembe from DR Congo.
Medeama's other opponents are Algerian side MO Bejaia who eliminated Ghanaian side AshantiGold in the CAF Champions League first round qualifier.
The first round of matches will be played on 17 June.
Group A: MO Bejaia, Young Africans, TP Mazembe, Medeama
Group B: Etoile du Sahel, Kawkeb Marrakech, Ahli Tripoli, FUS Rabat
Source: Medeama draw Young Africans, MO Bejaia and TP Mazembe in Group of Death of CAF Confederation Cup - GHANAsoccernet.com