Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakwenda kupiga Standa Utd Mirajiii
Anakosaaaaaaaaaaa
Wanakwenda kupiga Simba, Ajibuuuu
Anakosaaaaa
Hamna wapiga penalt hapaWanakwenda kupiga Stand United
Amekosaaaaaaaaa
Hapo nahisi unaona miamba ya upande mmoja tu inakuumiza. Stendi hatuwezi kufiaHili goli noma yaani mwendo wa kugonga mwamba tu na bomba.
OyoooooooooooooooSimbaaaaaaaaaaaaaa
Nimekubali aisee. Japo muache zile maneno kwamba nyie ndio timu bora mana leo mumeteseka mbaya.Hapo nahisi unaona miamba ya upande mmoja tu inakuumiza. Stendi hatuwezi kufia
Mimi ni Me Mkuu. π€£π€£π€£Shadeeeya ...nakuuliza wewe Ni me au ke! π π π π π β β
Niliwaambia hii mechi tunashindaMichuano ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports Federation Cup (ASFC), hatua ya 16 bora, kupigwa leo February 25, 2020 ambapo Stand United Chama la Wana, wanawakabili Simba SC, Wekundu wa Msimbazi, kwenye dimba la Kambarage mjini Shinyanga.
Stand United ambao wanaoshiriki michuano ya ligi daraja la kwanza FDL, walitinga hatua ya 16 bora baada ya kuwaondosha Majimaji kwa mikwaju ya penati kwa 5-4 baada ya kumalizika kwa dakika 90 kwa sare ya 1-1 kwenye dimba la Majimaji, Songea.
Simba SC ambayo inashuka dimbani katika mchezo huu wakiwa na morali ya juu kabisa huku wakiwa wametoka kuwasha moto kwenye VPL, imetinga 16 bora baada ya kufanikiwa kuwafurusha Mwadui FC kwa jumla ya mabao 2-1
Kocha wa Stand United, Atuga Manyundo amesema, anawafahamu vilivyo Simba ni timu bora, lakini wamejipanga kupambana kuwaondosha Simba, kwani wachezaji wake amewapa mbinu zote.
Kocha wa Simba, Sven Vanderbroeck amesema, kila mmoja yupo tayari kwa mchezo, lakini kwenya mchezo mmoja hatuwezi kuwatumia wachezaji wote 29 hivyo lazima kuchagua wachezaji wa kuwatumia, na kwa huu mchezo labda kutakuwa na mabadiliko machache.
"Mashabiki wetu wajitokeze kutushangilia, tupo kwenye hali nzuri na tutacheza mchezo mzuri" amesema Vanderbroeck.
Huu ni mtanange wa kukata na soka, nani kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya ASFC? wachezaji kuamua ndani ya dakika 90.
Kumbuka mchezo huu wa Azam Sports Federation kupigwa kuanzia saa 10: 00 jioni..Usikose Ukaambiwa
.......Ghazwat....
Wanaoanza SSC:
Beno Kakolanya, Haruna Shamte, Gadiel Michael, Tairone Santos, Kennedy Juma, Gerson Fraga, Hassan Dilunga, Sharaf Shiboub, Meddie Kagere, Ibrahim Ajibu, Shiza Kichuya.
Akiba:
Salmu, Wawa, Mkude, Chama, Kahata, Kanda, Juma.
View attachment 1368862View attachment 1368863
HahaHhahNimekubali aisee. Japo muache zile maneno kwamba nyie ndio timu bora mana leo mumeteseka mbaya.
Sijui kama hatufii stendi leo? [emoji848][emoji848]
[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Messi anakosa penati fainali ya copa sudamerica
Ronaldo anakosa penati fainali ya uefa
Zidane anakosa penati fainali ya world cup
Penati haina mwenyewe
Kwa jinsi mnavyotambaga ushindi wa Penalti si hadhi yenu lakini. π€£π€£HahaHhah
Lakini tumeshinda. Hatujatoka sare.
Kagere penati zote anazopiga kulia kwake au kushoto kwa golikipa huwa hafungi.Looh, yamekuwa hayo tena. Huyu nae aachane na kupiga penati kwanza
Nahisi yeye ni ke amekupendaMimi ni Me Mkuu. π€£π€£π€£
Kwa nini umeuliza Mkuu?
Umentafuta mpaka umenpata. π π π πkumbe leo hukupata udhuru? na kesho uwepo kwa gwambina, na uanzishe uziii
Sent using Jamii Forums mobile app