Kombe la Shirikisho: Yanga yaanza vibaya kwa kukubali kufungwa 2 -1 dhidi ya Pyramids ndani ya CCM Kirumba

Yanga Bariidii πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…
 
HT: Timu bora zinaongoza.
Yanga 0 vs Pyramids 1

Singida 0 vs Simba 1.
 
Yanga watapindua meza tu nina uhakika. Japokuwa mimi naangalia ya Simba sc maana ndiyo yanayo nihusu kwa leo
 
Bora wangechezea taifa wakaongezaa pesa za viingilio kwenye account yao[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nyie Vyura hamuwezi mpira, nyie mnaweza kuogelea tu pale jangwani. Mpira waachieni simba
 
Kimoja iko mpaka game kwisha
 
Watu tutamlaumu Zahera bure,

Huko Egypt si ndo alikofichwa yesu ili asiuliweeee.....

Sasa atawaachaje hao jamaa wateseke hapo kirumba, lazima ifanyike namna ambayo si Msolla au Zahera wa kuipindua.
 
Mimi ni Yanga! Nakuthibitishia hilo haliwezekani. Kushinda hii mechi au hata kufuzu tu hatua ya makundi dhidi ya hawa Pyramids ni ndoto ya mchana.

Usajili wa Zahera ni wa kustaajabisha! Jambo la kushangaza, analindwa na viongozi wa timu kana kwamba ameweka hisa zake pale Jangwani. Kiujumla tupambane tu na hali zetu!

Maana kama ni ubingwa, tayari simba watauchukua. Kwenye kombe la Shirikisho la Azam, nako hatuna ubavu wa kupambana kivile!
 
Uongozi wa Yanga eti bado unasubiri miujiza kutoka kwa Zahera. Sjui Zahera kawapa nn wanajagwani? Yanga inaadhilika huku mapro aliowasajili takribani 3 wapo benchi wanapunga upepo tu. Mbaya zaidi timu inacheza ovyo ovyo ovyo kabsa. Ni muda wa uongozi kufanya maamuzi magumu. La sivyo mtaendelea kulokota kunyavu na kuadhilika km msipomtimua huyu Mbuta mbutu wenu. Shauri enu!
 
Yanga nyie ukiangalia sub unashika kichwa.
Kweli Marcelo yule mfupi ndo aje alete mabadiliko ya kuifunga pyramid.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…