Mabingwa wa kihistoria nchini, Dar es Salaam Young Africa al maarufu kwa jina la Yanga wanaingia uwanjani leo kupambana na timu ya soka ya Pyramids ya kutoka nchini Misri katika mechi ya kwanza ya mtoano kutafuta nafasi ya kuingia kwenye hatua ya mtoano kwenye mashindano ya Kombe la Shirikisho.
Kila la heri wawakilishi wetu wa Tanzania.
Kikosi cha Yanga
Farouk Shikalo
Juma Abdul
Ally Mtoni
Kelvin Yondani
Alli Alli
Feisal Salum
Mrisho Ngasa
Makame Rashidi
Sadney Urikhob
Pappy Tshishimbi
Mapinduzi Balama
UPDATES
Mpira umeanza
5" Yanga 0 - 0 Pyramids
10" Ally Mtoni anapiga shuti kali, golikipa wa Pyramids anaokoa
12" Pyramids wanashambulia lango la Yanga
15" Yanga 0 - 0 Pyramids ---- hawa Pyramids ni warefu na wana miili mikubwa kuliko wachezaji wengi wa Yanga
20" Yanga 0 - 0 Pyramids ---- Yanga wanapata foul baada ya Juma Abdul kufanyiwa rafu; Yanga wanapoteza
22" Yanga wanakosa goli hapa, Ally Ally anapiga kichwa ila namna gani anapiga nje
25" Yanga 0 - 0 Pyramids ---- Mrisho Ngasa anapewa kadi ya njano
35" Yanga 0 - 0 Pyramids ----- Pyramids wanakosa goli hapa
40" Yanga 0 - 0 Pyramids
42" Goal; Pyramids wanapata goli la kwanza kupitia kwa Eric Traore
45" Yanga 0 - 1 Pyramids (Eric Traore)
Mapumziko: Yanga 0 - 1 Pyramids