chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
aise mm ,najiskia buridani Sana nikiona vitu vizito Kama hivi vinatua pale kwa zele.na hii kwa Russia ni kakombola ka technology ndogo Sana !!Putin ni shetani wa dunia ya sasa
Putin ,ongeza kitu kingine kizito ,kitue pale capital city kwa zele.Putin mpumbavu sana na anatope kichwani.
Putin ni shetani wa dunia ya sasa
Nasubiri bado kusikia Urusi iliteuliwa na nani??? Labda na Bwana wa Majeshi Madhaifu? Maana ina matatizo kidogo kupata maendeleo??
Mkuu, samahani mbona unasema vitu vizito vinatua pale lwa Zele? Je unajua mfano ambako ikulu yake imewahi kupigwa? Je unajua sababu picha tunazoonyeshwa ni zaidi mabomu yanayolipuka penye watu raia?aise mm ,najiskia buridani Sana nikiona vitu vizito Kama hivi vinatua pale kwa zele.na hii kwa Russia ni kakombola ka technology ndogo Sana !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Why uanze kukimbiza watu wanaokimbiakimbia eneo la 3km na precision missile system wakati una bomu linapiga eneo la km 6.. Russian style..you can run you can hide but you will die tired..comrade!! make sure these facist have nowhere else to run or hide.Kaka tafadhali amka katika ndoto zako. BUCHA yalitokea mauaji ya hovyo yaliyotekelezwa na askari wa Kirusi. Ukiandika "waandishi wa habari wa magharibi walikuja kubaini kwamba jeshi la Ukraine ndilo lilihusika" lete ushuhuda hata mmoja!!! HUna!
Kinyume wanahabari waliokwenda Bucha walisikia ushuhuda wa raia wa Bucha waliosimulia jinsi gani ndugu, majirani, watoto wao walivyouawa hovyo na askari Warusi.
Bomu lile kwenye duka halikuwa mauaji kwa makusudi, ni mfano to jinsi gani Urusi inatumia silaha nyingi za hovyo kwa sababu haina akiba ya kutosha ya mabomu janja (intelligent weapons - hizo ambazo tunaonyeshwa mara kwa mara na washabiki wa Putin humo).
UKRAINE unataka kuekwa free kutokana na MAGAIDI waliojaaUna ushahidi wowote? Kura ya wapenda haki na amani kuita Urusi "Taifa Teule? Ndoto yako tu.
Kwa nini wateue nchi ambaye ni mkoloni mkubwa duniani (ardhi yote kutoka baada ya Moscow hadi Wladiwostok ni makoloni yake...)?
Nchi iliyoenda kuua watu wa Afghanistan, Georgia, Chechnya, Syria, Ukraine? (kwa ubaya na uwongo sawa jinsi Marekani iliua watu Iraki, Afghanistan, Vietnam) . . .
Nchi inayojaribu sasa kurudisha ukoloni wake juu ya Ukraine ? Na kufanya makelele ya kurudisha ukoloni Lithuania?
Unaulizwa kuhusu ushahidi huna! Urusi Taifa Teule ya nani au nini?? Urusi ndiye mkoloni mkubwa duniani (ardhi yote kutoka baada ya Moscow hadi Wladiwostok ni makoloni yake...) - hii husikii kutoka Wamagharibi ambao hawapendi kukumbushwa kuhusu ukoloni ambamo walishindana na Urusi.UKRAINE unataka kuekwa free kutokana na MAGAIDI waliojaa
RUSSIA kama TAIFA TEULE inataka kuikomboa UKRAINE
Achaneni na PROPAGANDA za hao WAMAGHARIBI[emoji35][emoji35][emoji34]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kigezo cha kuua watu ndio inafanya isiitwe Russia taifa teule vp kuhusu Israel wanavyofanya mauaji kwa wanawake na watoto huko palestina na bado mnaita taifa teule maana sababu zinazofanya Israel kufanya mauji Palestine ni sawa na Russia wote wanaangalia usalama wa nchi zaoUnaulizwa kuhusu ushahidi huna! Urusi Taifa Teule ya nani au nini?? Urusi ndiye mkoloni mkubwa duniani (ardhi yote kutoka baada ya Moscow hadi Wladiwostok ni makoloni yake...) - hii husikii kutoka Wamagharibi ambao hawapendi kukumbushwa kuhusu ukoloni ambamo walishindana na Urusi.
Taifa teule linaloua watu wa Afghanistan, Georgia, Chechnya, Syria, Ukraine? (kwa ubaya na uwongo sawa jinsi Marekani iliua watu Iraki, Afghanistan, Vietnam) . . .
Nchi inayojaribu sasa kurudisha ukoloni wake juu ya Ukraine ? Na kufanya makelele ya kurudisha ukoloni Lithuania?
Ustadh mimi simwiti yeyote taifa teule isipokuwa ninafuata hapa lugha ya marafiki wa Putin. Katika miezi michache ya vita yake Putin ameshasababisha vifo vingi kushinda mapigano yote ya Israeli kwa miaka mingi.Kama kigezo cha kuua watu ndio inafanya isiitwe Russia taifa teule vp kuhusu Israel wanavyofanya mauaji kwa wanawake na watoto huko palestina na bado mnaita taifa teule maana sababu zinazofanya Israel kufanya mauji Palestine ni sawa na Russia wote wanaangalia usalama wa nchi zao
Mkuu,ukiona Viongozi wa magharobi wanashirikiana ku-condemn tukio moja,basi wenye akili wanajuwa kwamba tukio hilo limekuwa staged na jeshi la Zelensky kutafuta sababu ya kulaani Putin - mbona majeshi ya ki-neo NAZI (Azov) yameanza kuvurimisha makombora waliyo pewa juzi juzi na utawala wa USA,makombora hayo yamelenga kwenye mkusanyiko wa watu wengi,mfano: Supermarkets,Mashule,Hospitali nk - Raia wengi kwenye majimbo ya kusini mwa Ukraine walio kombolewa nRra jeshi la Urusi na washirika wao wamepoteza maisha,cha ajabu sija wahi kusikia Viongozi wa magharibi wakilaani jeshi la Zelensky kuwaua Rais wasio na hatia
Kumbukeni mauuaji ya mji wa BUCHA alisingiziwa Putin,kalaaniwa na Biden pamoja na Viongozi wa Ulaya,baadae waandishi wa habari wa magharibi walikuja kubaini kwamba jeshi la Ukraine ndilo lilihusika kwa lengo la kutaka NATO iwe involved kwenye vita ili kusaidia jeshi la Ukraine linalo lemewa na VITA - na bado, nina uhakika jeshi la Zelensky litakuja ku-stage matukio mengi ya kupanga including Chemical attack kwa raia wake baada ya kupewa ushauri na USA, halafu wamulahumu Putin kwamba ndie anahusika, lengo ni kutafuta kisingizio cha kutaka NATO ingilie kati.
Binafsi namchunkulia Zelensky ni mtu mwenye EGO ya kijinga na hatari sana kwa amani Duniani, ujinga wake wa kag'ang'ania kupigana vita wakati anajuwa wazi kwamba hawezi kushinda vita bali anaweza kusababisha WW3 Dunia yote ikaangamizwa kwa mabom/makombora ya thermonuclear hilo tu linadhilisha Zelensky alivyo na akili za ajabu sana.
🤝🤝🤝👏👏👏Akijibu cha maana najitoa JFKama kigezo cha kuua watu ndio inafanya isiitwe Russia taifa teule vp kuhusu Israel wanavyofanya mauaji kwa wanawake na watoto huko palestina na bado mnaita taifa teule maana sababu zinazofanya Israel kufanya mauji Palestine ni sawa na Russia wote wanaangalia usalama wa nchi zao
Bucha waliochinjwa hawakukimbia. Ni watu waliobaki mjini. Kumbe facist walibaki kwa hiari, wengine waliwahi kukimbia? Watoto na mababu waliochinjwa Bucha walikuwa wafashisti??Why uanze kukimbiza watu wanaokimbiakimbia eneo la 3km na precision missile system wakati una bomu linapiga eneo la km 6.. Russian style..you can run you can hide but you will die tired..comrade!! make sure these facist have nowhere else to run or hide.
Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
RUSSIA anapambana na MAGAIDI hivyo Auto anakua MTEULEUnaulizwa kuhusu ushahidi huna! Urusi Taifa Teule ya nani au nini?? Urusi ndiye mkoloni mkubwa duniani (ardhi yote kutoka baada ya Moscow hadi Wladiwostok ni makoloni yake...) - hii husikii kutoka Wamagharibi ambao hawapendi kukumbushwa kuhusu ukoloni ambamo walishindana na Urusi.
Taifa teule linaloua watu wa Afghanistan, Georgia, Chechnya, Syria, Ukraine? (kwa ubaya na uwongo sawa jinsi Marekani iliua watu Iraki, Afghanistan, Vietnam) . . .
Nchi inayojaribu sasa kurudisha ukoloni wake juu ya Ukraine ? Na kufanya makelele ya kurudisha ukoloni Lithuania?
BUCHA hakuchinjwa hata mjusi achaneni na PROPAGANDABucha waliochinjwa hawakukimbia. Ni watu waliobaki mjini. Kumbe facist walibaki kwa hiari, wengine waliwahi kukimbia? Watoto na mababu waliochinjwa Bucha walikuwa wafashisti??
Au watu raia dukani ni fashisti? We Bwana umethibitisha maono ya wengone wanaosema:
Putin anataka kukamata Ukraine bila watu wake . Ambayo ingekuwa ufafanuzi wa "genocide".
Au unaonaje??
Kwa hiyo anatumia mavi yako kushambulia?Sisi tunachojua Russia kaishiwa Silaha,na nyie wenyewe mlituhabarisha.
Hapo kuna watu nchi nyingine ndio inafanya hivyo Russia wanampakazia tu
Acha ndoto zako za uwongo. Kuna mashahidi tele. Walieleza kwa upana na urefu walichoona na jinsi walivyoteswa wakati wa uvamizi wa jeshi la Putin. Na jinsi ndugu, watoto, wazazi wao walivyouawa hovyo.BUCHA hakuchinjwa hata mjusi achaneni na PROPAGANDA
Kama kweli walichinjwa NATO kwanini hawajaingilia kusaidia RAIA kama walivyofanya kule LIBYA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa, Utam!! Anayempinga mungu wako Putin, au anayekutwa kwenye njia ya mashujaa wa Taifa Teule, ndiye gaidi! Ni rahisi kabisa! Kama Chechniya, kama Syria, kama Ukraine, kama mtoto wa miaka 2 au mzee wa miaka 82. Gaidi!
Bush umemsahau?Putin ni shetani wa dunia ya sasa