Mkuu,ukiona Viongozi wa magharobi wanashirikiana ku-condemn tukio moja,basi wenye akili wanajuwa kwamba tukio hilo limekuwa staged na jeshi la Zelensky kutafuta sababu ya kulaani Putin - mbona majeshi ya ki-neo NAZI (Azov) yameanza kuvurimisha makombora waliyo pewa juzi juzi na utawala wa USA,makombora hayo yamelenga kwenye mkusanyiko wa watu wengi,mfano: Supermarkets,Mashule,Hospitali nk - Raia wengi kwenye majimbo ya kusini mwa Ukraine walio kombolewa nRra jeshi la Urusi na washirika wao wamepoteza maisha,cha ajabu sija wahi kusikia Viongozi wa magharibi wakilaani jeshi la Zelensky kuwaua Rais wasio na hatia
Kumbukeni mauuaji ya mji wa BUCHA alisingiziwa Putin,kalaaniwa na Biden pamoja na Viongozi wa Ulaya,baadae waandishi wa habari wa magharibi walikuja kubaini kwamba jeshi la Ukraine ndilo lilihusika kwa lengo la kutaka NATO iwe involved kwenye vita ili kusaidia jeshi la Ukraine linalo lemewa na VITA - na bado, nina uhakika jeshi la Zelensky litakuja ku-stage matukio mengi ya kupanga including Chemical attack kwa raia wake baada ya kupewa ushauri na USA, halafu wamulahumu Putin kwamba ndie anahusika, lengo ni kutafuta kisingizio cha kutaka NATO ingilie kati.
Binafsi namchunkulia Zelensky ni mtu mwenye EGO ya kijinga na hatari sana kwa amani Duniani, ujinga wake wa kag'ang'ania kupigana vita wakati anajuwa wazi kwamba hawezi kushinda vita bali anaweza kusababisha WW3 Dunia yote ikaangamizwa kwa mabom/makombora ya thermonuclear hilo tu linadhilisha Zelensky alivyo na akili za ajabu sana.