Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Wanyama wote hao wanadhibitiwa na mwanadamu kwa kutupiwa wavu.
Wavu ni kiboko ya mnyama yeyeto mtemi duniani si komodo,koboko,chui,tembo, simba,tiger,puma,nk ni confidence yako na timing yako tu ya kuurusha umekosea we ndo utageuka kitoweo.
Hahaha ya ni kweli mkuu
 
Umenikumbusha verse moja ya Juice WRLD

"Bands on me got more dope
I'm dragon boy you're komodo"

Hapo jamaa alikuwa anajigamba kwa kujifananisha na Dragon kwa maana ya kwamba mpinzani wake ni inferior ni kama komodo (mnyama ambaye hatambi kwa dragon)
 
Hata hilo lilizard likubwa kama komondo linauliwa vizuri tu na nyoka, sema mwisho wa siku nyoka hawezi kugombana nalo maana nilikubwa na linamzidi nguvu, litamuua ila mwisho wa siku nalo litakufa
Ni kama binadam apigane na nyoka
Mnyama pekee ambae ni ngum kwa Nyoka mumuua maana mwili wake una resistant to Venon ni MangooseView attachment 2321729
Mkuu nashukuru kwa mchango wako, japo nasikitika haujui vizuri ni mnyama gani tunaemzungumzia hapa. Huyo lizard inaemzungumzia hapa hana uhusiano wowote na hili dubwasha. Ni sawa sawa uone paka afu uje uwambie watu umeona chui eti kwa sababu tu paka na chui wanafanana.

Kifupi hili dubwasha linaitwa Komodo dragon, venom yake haina kinga kwa mnyama yoyote yule hapa duniani.
Hapa nikiwa na maana kwamba huyo mangoose wako akikutana na hili dubwasha ataliwa bila hata kutumia gharama ya sumu. Kwanza ni mkubwa mara 3 au 4 ya huyo mangoose wako, pili ana mdomo wa kuweza kummeza mtoto wa mbuzi wa miezi 2 mzima mzima, na kama ni mnyama mkubwa itachukua dakika 3 tu au 4 awe ashamaliza hadi mkia. Tatu ana sumu ambayo hakuna mnyama anaweza kuiepuka kwa namna yoyote ile, na mwisho ana nguvu mara 5 ya huyo mangoose wako wakijichanga na black mamba wake wote wataliwa kwa pamoja. Don't mess with this devil brother, halina msalie mtume kwa kitu chochote kinachoitwa kiumbe.
 
Anauwa nn vibaya, mbuzi au
Zaman binadam wanaoishi katika mapori yaliokaribu na hao jamaa walikuwa wanaishi vizuri tu kwa raha mustarehe. Sasa haya madubwasha baada ya kumaliza wanyama waliokuwa maeneo hayo. Wameanza kuwinda na binadam. I mean binadam yeyote ukiingia 18 zake umeliwa. Kwahiyo watu wanaanza kwenda kuishi mbali na maeneo au hifadhi za wanyama hao.
 
Mwamba unataka ufe kishujaa kama 2pac. Pamoja na kupigwa risasi huku akiwa katika hali mbaya, lkn bado aliwapa dole la kati maadui zake 😂😂😂😂 mwamba alikuwa mbishi kinoma.
Pac mwenyewe kwenye ubora wake 😂😂😂
 
Umenikumbusha verse moja ya Juice WRLD

"Bands on me got more dope
I'm dragon boy you're komodo"

Hapo jamaa alikuwa anajigamba kwa kujifananisha na Dragon kwa maana ya kwamba mpinzani wake ni inferior ni kama komodo (mnyama ambaye hatambi kwa dragon)
Huyu sasa anaitwa Komodo dragon.. yani ni komodo lakini pia ni dragon 😂😂😂 noma aisee
 
Habari zenu wana JF wenzangu.

Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon.

Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile
1) Tiger
2) Simba
3) Leopard, Cheetah (chui)
4) Mamba
5) King cobra, Black mamba nk.
6) Honey badger pamoja na uwezo wa kuishi karibu na wanyama wakali, lakini hawezi kufanya mzaha huo mbele ya Komodo dragon aisee atamezwa yeye na manyoa yake. Jamaa hana masihara na mnyama mwingine yoyote.

Komodo dragon ana venom (sumu kali) kuliko mnyama yoyote hapa duniani. Akiuma mara moja tu inatosha kumaliza mchezo. Hata iwe Tembo, kifaru, kiboko, simba nk hawawezi kufikisha dakika 5 bila kuanguka chini na kupararaizi, kisha Komodo anajivuta taratibu kuja kula nyama.

Haijalishi hapo mnyama atakuwa ameshakufa au bado anapumua, Komodo atachofanya ni kuanza kumtafuna mzima mzima huku anayetafunwa anamuona. Kwa vile atakuwa ameshapararaizi basi mshambuliwa hatokuwa na nguvu ya kumfanya chochote Komodo.

Mnyama huyu hata sumu ya koboko haimdhuru kutokana na aina ya uumbwaji wake ulivyo, ila yeye ya kwake inamdhuru koboko kwa sekunde tu, kwanza anaweza kummeza kwa sekundi 10 bila hata kutumia venom (sumu) yake.

Kwa upande wa binadam sometimes unaweza kuumwa na Simba, Tiger, Leopard, Mamba nk ila ukawa jasiri na kufanikiwa kujiokoa na kutoka nduki kuokoa maisha yako.

Ila mzee Komodo yeye akishakupiga jino basi ujue ni bye bye maana kama ukibahatika sana itachukua ni dakika 3 au 5 kuiaga dunia na pengine mzee wa kazi atakuja akutafune ukiwa bado hujafa hadi atakumaliza na kukumeza wewe wote.

Huyu mnyama akishakupiga jino hukaa pembeni umbali kidogo wa ulipo halafu anakusikilizia. So unaweza kutoka nduki ukidhani umepona kumbe dakika mbili au tatu za mbele utaanguka na kuanza kuishiwa nguvu, hapo ndo mzee wa kazi ataanza kukufuata huku akitumia pua yake kunusa kila sehemu uliyokanyaga hadi atakukuta ukiwa hoi na yeye au wao wakumalizie kabisa.

Huyo ndio Komodo dragon mbabe wa wababe wote duniani. Japo wengi huku Afrika hawamjui kutokana na wanyama hao kupatikana zaidi katika bara la Asia.

View attachment 2321342View attachment 2321345
Mungu wangu kiumbe gani tena hiki?
 
Mkuu nashukuru kwa mchango wako, japo nasikitika haujui vizuri ni mnyama gani tunaemzungumzia hapa. Huyo lizard inaemzungumzia hapa hana uhusiano wowote na hili dubwasha. Ni sawa sawa uone paka afu uje uwambie watu umeona chui eti kwa sababu tu paka na chui wanafanana.

Kifupi hili dubwasha linaitwa Komodo dragon, venom yake haina kinga kwa mnyama yoyote yule hapa duniani.
Hapa nikiwa na maana kwamba huyo mangoose wako akikutana na hili dubwasha ataliwa bila hata kutumia gharama ya sumu. Kwanza ni mkubwa mara 3 au 4 ya huyo mangoose wako, pili ana mdomo wa kuweza kummeza mtoto wa mbuzi wa miezi 2 mzima mzima, na kama ni mnyama mkubwa itachukua dakika 3 tu au 4 awe ashamaliza hadi mkia. Tatu ana sumu ambayo hakuna mnyama anaweza kuiepuka kwa namna yoyote ile, na mwisho ana nguvu mara 5 ya huyo mangoose wako wakijichanga na black mamba wake wote wataliwa kwa pamoja. Don't mess with this devil brother, halina msalie mtume kwa kitu chochote kinachoitwa kiumbe.
Du huyu mnyama sasa ni kiboko
 
Back
Top Bottom