Komwe (frontal bossing): Sababu ni zipi? Ni njia zipi za kuzuia ili mtoto asiwe na komwe?

Kwani komwe ni ulemavu? Mbona mnapenda ku make big deal out of nothing?
Ni sawa uje kuuliza nini kimafanya mtu awe na kanyagio kubwa au pua kubwa au meno makubwa etc.
Kwan komwe lako linakupa changamoto gani on your daily activities hadi uje kufungulia uzi JF??
Hebu tufocus kwenye tangible issues.
 


Nchi za laana hizi mkuu
 
Kwani ni ugonjwa?
Waulizwe wapemba wanavyobonda vichwa kuondoa vichogo Kisha kuambulia mataahira.
 
Ina maana kenya utosi hufunga haraka🤗👍

Now i know everything
 
Kwani komwe lina shida gani?

Nadhani kunakuwa na kitu hakipo sawa (excessive in something, kitu kama hicho). Kama sio hormonal issue, basi ni defects kwenye ufungaji wa tosi za pande zote mwa kichwa.

Developed countries ni medical issue kabisa.
 
Hizi ndo nchi zilizolaaniwa

You are less informed !

Nadhani kunakuwa na kitu hakipo sawa (excessive in something, kitu kama hicho). Kama sio hormonal issue, basi ni defects kwenye ufungaji wa tosi za pande zote mwa kichwa. Ama genetic disorders.

Huko Developed countries, 'frontal bossing' ni medical issue kabisa. Ila Africa isn't an issue.

Ngoja wataalaamu waje watupe ABCs.
 


Cursed country with low minded peoples
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…