mkarimani feki
JF-Expert Member
- Nov 8, 2023
- 302
- 1,212
- Thread starter
- #21
nilihisi kama nimebeba laana ya umasikiniHuo msoto unaweza kukufanya nusra ukufuru hata muumba wako kwa kuhisi huenda jicho lake la neema halikuoni..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilihisi kama nimebeba laana ya umasikiniHuo msoto unaweza kukufanya nusra ukufuru hata muumba wako kwa kuhisi huenda jicho lake la neema halikuoni..
dah! mwanetu maisha haya ni fumbo sanaNiliwahi pia saidiwa na Konda 2015 Goms to Chanika Saa 2.00 usku. Sina hata mia. Nilimueleza shida yangu, jamaa akaniruhusu nipande akaniachia na siti kabisa. Tulifika nikamuomba Na. ya simu akasema haina haja!
shukraniPole kwa uliyo pitia na hongera umevuka salama, nimekuelewa sana
Mungu alikupitisha uone maisha jinsi yalivyo na tumaini huwezi dharau mtu wa hali ya chini
Sometimes, nikimua mtu anauza maji, mahindi ya kuchoma na mpa respect sana napenda mwanaume mpambanaji. 👊
pole sana chief,yana mwisho hata kama kwa sasa kuna watu wamekuzibia kioomkarimani feki pia life limenichapa sana mda huu,hata lunch ya manati
Life is not fair, sijawahi waza hii downfall ninayoipitia Now.kuna time inafika jumbe unazopata kwenye simu ni za tigo niwezeshe,songesha, polisi na TCRA kuepuka matapeli
pole sana mkuuLife is not fair, sijawahi waza hii downfall ninayoipitia Now.
But najua machonzi na maombi yangu hayataenda bure na ipo siku nitatoa ushuhuda
Ni hatar sana icho kipindi hasa familia ikiwa inakuangalia.acha tu chief ,maisha haya kuna kipindi yanaegemea upande mmoja
Kabisa heshimu kila mtu..Tusidharauliane kwa kazi zetu ,hali zetu na maumbile yetu
nilihisi kama nimebeba laana ya umasikini
Sure. Hata mimi nikiwaonaga hawa watu, huwa najiuliza "hivi kama huyu bado ana matumini ya maisha na biashara hii, mimi nina sababu gani ya kukata tamaa na shule ninayo?".Sometimes, nikimua mtu anauza maji, mahindi ya kuchoma na mpa respect sana napenda mwanaume mpambanaji. 👊
Yah kbs nkupambana tu.Sure. Hata mimi nikiwaonaga hawa watu, huwa najiuliza "hivi kama huyu bado ana matumini ya maisha na biashara hii, mimi nina sababu gani ya kukata tamaa na shule ninayo?".
Huwa wananipa kila sababu ya kuzidi kukaza.
tuendelee kupambanaSure. Hata mimi nikiwaonaga hawa watu, huwa najiuliza "hivi kama huyu bado ana matumini ya maisha na biashara hii, mimi nina sababu gani ya kukata tamaa na shule ninayo?".
Huwa wananipa kila sababu ya kuzidi kukaza.
kiumbe mwanamke hawezi vumilia shida,japo hata mimi uvumilivu ulinishinda sio kwa msoto uleMademu wanakukimbia kama ukoma..af saiv si unakaz kupat dem nikama kusukma mlevi jmn(Kazi ni utu).
Si unajua tena za kuambiwa changanya na za kwakoYah kbs nkupambana tu.
Ila ukweli wanawake awapend ao ni uongo.
Pole kwa uloyopitia na Hongera kwa kupata kazi , hata mimi nilifanya mahafali pale m City 2017 but hali mtaani bado ni ngumu sana naamini ipo siku.Based on true story:
Nakumbuka graduation yangu na washkaji zangu ilikua na mvuto sana pale mlimani city hall mwaka 2017 ,niliona baada ya muda mfupi tu basi ningepata mchongo mzuri na ningevuta usafiri unaosomeka crowm new model within the year(s)
Jk alitoa hamasa kwa vijana wakapambane na mtaa either kwa kujiajiri ama kuajiriwa.
muda kidogo badae hakuna rangi niliacha kuona baada ya kuhitimu chuo demu wangu alisepa. ndugu na wajomba walio niahidi kazi wengi niliishia kuramba blueticks whatsapp na kejeli juu baada ya kuwasambazia CV.
nilichapika na maisha balaa nusra kudata, maumivu makubwa ambayo yalikua yakinitesa moyoni mwangu ni kuwa ni lini nitawabeba wazazi wangu kutoka kwenye lindi la umasikini uliokithiri atleast milo miwili homu isiwe tabu tena.
kuna siku nimetoka kutafuta kazi vingunguti viwandani nikakuta formeni anahitaji umtoe chochote kitu ili akuunganishe kazi! nikatoa 9k lakini bado nilikosa kazi siku ilee,changamoto ikaja muda wa kurudi mageto kwa mshikaji niliko kua najiegesha nauli sina.
oya wanangu, nikasogea sogea kwa mguu mpaka buguruni kwa bakhresa kituo cha daladala huku njaa ikinichapa kweli kweli nikamwita konda pembeni (konda nisaidie mwanetu japo buku ama uni link na daladala za mawasiliano sina nauli na ubao unapiga sana) jamaa ile kunitazama tu mwana akazama mfukoni na kuniachia buku mbili .
nafika geto sijakaa sawa napokea simu toka kwa mdogo angu alioko shule kuwa bro naumwa nimeletwa hospitalini na wanafunzi wenzangu malaria imenibana sana kama unasomeka nitumie 12k ambayo wenzangu wamenilipia kwani homu wazazi nao hawapatikani hewani licha ya jitihada kadhaa, aiseeh moyo wangu ulipoteza tumaini siku ile niliona kama kuna mkosi unanisaka mimi na familia yetu .
nisiseme mengi wadau nikaja kupata ajira utawala huu wa mama samia kamwe siwezi sahau changamoto wanazo pitia jobless