Konde Gang: Sahau views laki 3 za Ibra ndani ya dakika 1, Harmonize kafikisha views Milioni 1.3 ndani ya sekunde 30

Konde Gang: Sahau views laki 3 za Ibra ndani ya dakika 1, Harmonize kafikisha views Milioni 1.3 ndani ya sekunde 30

Hadi sasahv ina viewers 2M...nyimbo kali sana, video simple ila kali I mean ina deserve kula hizo viewers
Kwahiyo unataka kutuambia watu 1.4M wanaweza kuangalia video yake kwa second 34? Na hao 3.4M walike Watu wa 4 na comment ziwe 9 na kusiwe na dislikes hii inawezekana vipi? Maana hata michael jackson hana hii record ya namna hii ndio iwe kwa mmakonde
 
Kwahiyo unataka kutuambia watu 1.4M wanaweza kuangalia video yake kwa second 34? Na hao 3.4M walike Watu wa 4 na comment ziwe 9 na kusiwe na dislikes hii inawezekana vipi? Maana hata michael jackson hana hii record ya namna hii ndio iwe kwa mmakonde
Basi wimbo mbaya dada
 
Issue hapa sio kuwa wimbo ni mzuri au mbaya ni inawezekanaje vip watu 1.4M waangalie video yake kwa second 34? ndio mjadala ulipo
Kwanini usiwaulize wenye wimbo huko YouTube unatuuliza sisi?
 
Kuna mwaka walianzisha uzi kusema Diamond ananunua views watetez wa Diamond wakapinga. Leo wao wanamshutumu Harmonize kununua views.
 
Write your reply...yaoyao khohkhokhoooo konde gang for everibadi yauyauuuuuu
 
Ndiyo maana kuna reference na case study
video za Diamond hazijawahi kuwa na shida, wabongo walisema ananunua views kwa kukosa kwao uelewa na kwa kuwa alikuwa amewaacha mbali wasanii wenzake wa Tanzania . Kipindi hicho Diamond anasemwa tayari Davido alikuwa na viewers wengi kwenye baadhi ya nyimbo zake kumshinda yeye.

Pia Diamond hajawahi kuwa na rekodi yoyote ile ya dunia huko youtube.

Tusizunguke sana, 1.3M views kwa sekunde inawezekanaje?
 
video za Diamond hazijawahi kuwa na shida, wabongo walisema ananunua views kwa kukosa kwao uelewa na kwa kuwa alikuwa amewaacha mbali wasanii wenzake wa Tanzania . Kipindi hicho Diamond anasemwa tayari Davido alikuwa na viewers wengi kwenye baadhi ya nyimbo zake kumshinda yeye.

Pia Diamond hajawahi kuwa na rekodi yoyote ile ya dunia huko youtube.

Tusizunguke sana, 1.3M views kwa sekunde inawezekanaje?
The fact that unaona haiwezekani ndiyo hata once watu walisema hivyo pia.

Vile mliona inawezekana kwa Diamond ndivyo imewezekana kwa Harmonize
 
Kuna mwaka walianzisha uzi kusema Diamond ananunua views watetez wa Diamond wakapinga. Leo wao wanamshutumu Harmonize kununua views.

video za Diamond hazijawahi kuwa na shida, wabongo walisema ananunua views kwa kukosa kwao uelewa na kwa kuwa alikuwa amewaacha mbali wasanii wenzake wa Tanzania . Kipindi hicho Diamond anasemwa tayari Davido alikuwa na viewers wengi kwenye baadhi ya nyimbo zake kumshinda yeye.

Pia Diamond hajawahi kuwa na rekodi yoyote ile ya dunia huko youtube.

Tusizunguke sana, 1.3M views kwa sekunde inawezekanaje?
Richard spencer nakazia hoja yako nyimbo nyingi za diamond zinazo angaliwa Sana kwa muda mchache nyingi zinakuja kupata viewers wengi kwa mwaka mfano waah ulipata viewers 1M kwa masaa 22 mpaka tunazungumzia sasa hivi ina viewers 105M, inama iliangaliwa 1M kwa masaa 24 tunapozungumza kwa sasa ina 102M hoja ya huyo jamaa ni dhaifu ukija kwa konde gang hizo nyimbo ambazo zimeangaliwa kwa viewers wengi kwa muda mchache ukija kuja kuangalia kwa mwaka utakuta azijazidi hata 7M zinatabia za kuganda ukuti Tena zikitembea ndio wadau hapa wanahoji inakuaje wimbo wako uliogonga 1.3M kwa second 34 inashindwaje kufika 10M kwa mwaka?
 
Richard spencer nakazia hoja yako nyimbo nyingi za diamond zinazo angaliwa Sana kwa muda mchache nyingi zinakuja kupata viewers wengi kwa mwaka mfano waah ulipata viewers 1M kwa masaa 22 mpaka tunazungumzia sasa hivi ina viewers 105M, inama iliangaliwa 1M kwa masaa 24 tunapozungumza kwa sasa ina 102M hoja ya huyo jamaa ni dhaifu ukija kwa konde gang hizo nyimbo ambazo zimeangaliwa kwa viewers wengi kwa muda mchache ukija kuja kuangalia kwa mwaka utakuta azijazidi hata 7M zinatabia za kuganda ukuti Tena zikitembea ndio wadau hapa wanahoji inakuaje wimbo wako uliogonga 1.3M kwa second 34 inashindwaje kufika 10M kwa mwaka?
Unataka kusema nini sasa?
 
Richard spencer nakazia hoja yako nyimbo nyingi za diamond zinazo angaliwa Sana kwa muda mchache nyingi zinakuja kupata viewers wengi kwa mwaka mfano waah ulipata viewers 1M kwa masaa 22 mpaka tunazungumzia sasa hivi ina viewers 105M, inama iliangaliwa 1M kwa masaa 24 tunapozungumza kwa sasa ina 102M hoja ya huyo jamaa ni dhaifu ukija kwa konde gang hizo nyimbo ambazo zimeangaliwa kwa viewers wengi kwa muda mchache ukija kuja kuangalia kwa mwaka utakuta azijazidi hata 7M zinatabia za kuganda ukuti Tena zikitembea ndio wadau hapa wanahoji inakuaje wimbo wako uliogonga 1.3M kwa second 34 inashindwaje kufika 10M kwa mwaka?
Barcelona anakufa huko
 
Richard spencer nakazia hoja yako nyimbo nyingi za diamond zinazo angaliwa Sana kwa muda mchache nyingi zinakuja kupata viewers wengi kwa mwaka mfano waah ulipata viewers 1M kwa masaa 22 mpaka tunazungumzia sasa hivi ina viewers 105M, inama iliangaliwa 1M kwa masaa 24 tunapozungumza kwa sasa ina 102M hoja ya huyo jamaa ni dhaifu ukija kwa konde gang hizo nyimbo ambazo zimeangaliwa kwa viewers wengi kwa muda mchache ukija kuja kuangalia kwa mwaka utakuta azijazidi hata 7M zinatabia za kuganda ukuti Tena zikitembea ndio wadau hapa wanahoji inakuaje wimbo wako uliogonga 1.3M kwa second 34 inashindwaje kufika 10M kwa mwaka?
Naunga mkono, huyu Mmakonde inabidi aje na majibu ya kueleweka.
 
Back
Top Bottom