Of Course Atapotea Vibaya
Miezi Kadhaa Nyuma Alikuwa Anashindanishwa Na Diamond Saiz Amedhihirisha Wazi Kuwa Ligi Yake Ni Rayvanny, Wakati Yeye Anapambana Na Kiki Competitor Wake Anaendelea Kupiga Deals Na Yeye Anaachwa Way Behind...
$5M unaijua lakini......Mondi ndio kashuka ..juzi kaingia mkataba wa $5m kimyaa..kubeba vipochi kimyaa..kamleta Zari mpaka Taifa kimyaa...kamleta mvuta fegi wa Mombasa kimyaa....ebo hata Michael Jackson ilikuwa hivi hivi...
Ni kweli wanaume wengi ni wahuni huwa hawaoni shida kulala mama na bintiye, au ndugu wa damu. Shida kajala ni kichwa panziKatika kitu ambacho nauhakika.
Kajala na mwanae wameshare na watendelea kushare wanaume wengi sana.
Kuna umuhimu wa wanaume kuangalia pa kumwaga mbegu.p
Angekuwa ni msanii wa kike kaanika tupu zake mtandaoni Basata wangemjia juu na kumfungia. Lakini wasanii wa kiume wanafanya watakacho Basata kimya!!!Kila jambo linataratibu zake msanii Harmonize asipobadilika anaelekea kujiharibia ktk tasnia yake ya muziki.
Wito kwa watu wake wakaribu wamshauri jinsi gani ya kutumia mitandao ya kijamii na jinsi gani ya kutengeneza kiki sababu kila uchwao anelekea kudrop katika fani, Harmo wa WCB sio huyu wa sasa kashfa nyingi,kazi hazina ubora ,michambo na mabifu na watu kila kukicha.
Tahadhari kwa sisi mashabiki wake tunaona mwisho mbaya kwake anatakiwa apate washauri na wasimamizi watakaomshauri na kumuelekeza nini afanye nini aache kulinda weledi wa tasnia yake.
Watanzania hawakawii kumchoka mtu mifano hai ipo mingi kwa wasanii wenzake, anatakiwa akumbuke alipotoka na aangalie alipo na anapokwenda.
Kikawaida katika nchi yenye kulinda tamaduni na ustaarabu ktk jamii kitendo cha kuonesha picha za utupu mitandaon ni cha fedhea kwa msanii mkubwa Kama yeye.
Kitendo cha kula kuku na mayai yake ni kudhalilisha wanawake na hakivumiliki, kitendo cha kutukana watangazaji na kuwapa vitisho kama alivyomfanyia Maimartha wa Jesse ni ulimbukeni na upungufu wamaarifa, kitendo cha kutengeneza lebo ya kusimamia wasanii halafu wasanii hao hawatoi nyimbo wala hawasikiki na wanavipaji ni kuua vipaji vya wasanii wetu.
Mimi shabiki namba moja wa Harmonize na nimechukizwa na mienendo yake, naomba abadilike bado tunampenda kushindana na WCB kutamuharibia wale watu hawawezekaniki wana nguvu na vipaji na washapiga hatua kubwa Sana .
Ujinga ni pesa sasa iviAseeeee konde ana dude la kijeshi....,[emoji119][emoji119][emoji119]
Dooh Hii nchi mambo ni mengi....
Kwahiyo aliyo yafanya ni mazuri kwa upande wako?Mshasema hivo toka enzi alipo ondoka wcb ...Satan wishez
Tuwe wakweli tuache utimu wewe unaona anapoelekea jamaa ni kuzuri?wabongo wenyewe unawajua wengi wanafiki Kama wamemgeuka anko Magu hata 40 haijafika itakuwa hao chawa wake kina hbaba na mwijaku dalili za kunikataa zishaanza kuonekana .
Aseeeee konde ana dude la kijeshi....,[emoji119][emoji119][emoji119]
Ndio kama cha mtoto wa std 6Una kibamia?
Nikupe no utume wasap
Igweeeeeeee!!!!Umekubali eee??
Nasikia kwanza Mmemuongezea Sifa kuu,mtoto wa watu kawa Gumzo,kila Mdada anataka kuiona Video,wengine wanasema kuiona tu Wameloa,Ana kitu Management ya Wasafi Combined[emoji1787][emoji1787]