Kondeeeeee achaA [emoji39][emoji39][emoji39]Nyie ni halali Rayvan alie jamani sio [emoji533][emoji533] aliyonayo hamonaiz [emoji23][emoji23] wcb wakijichungulia kwenye zip zao wanalia kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Tunaomba harmo ajengewe sanam liwekwe pale posta lile la posta litolewe litupweee
Tuwe wakweli tuache utimu wewe unaona anapoelekea jamaa ni kuzuri?wabongo wenyewe unawajua wengi wanafiki Kama wamemgeuka anko Magu hata 40 haijafika itakuwa hao chawa wake wakina hbaba na mwijaku dalili za kumkataa zishaanza kuonekana .Najua haya yote ni upepo hizo msg zake na picha zake za uchi,ila sizani kama ana kula poda ila bangi najua anavuta.
Gazeti refu mi shabiki maandazi tu watajua wenyewe!Ubongo wangu ushachoka!miyeJomba comments zako zinaonesha umekariri maisha ya wcb ya kiki bila kuelewa ni wakati gani na matukio gani wanatumia kama kiki, kifupi we hizi kiki umezijulia kwa hao hao WCB ila hukuelewa somo. Wale sio viazi waachie hiyo video alafu wasijue kwamba harmonize atapata umaarufu kipindi hiki, wanacholenga ni long term effect yani hizo video na hii kashfa zitaendelea tu kumuandama harmonize leo, kesho na kesho kutwa. Hio sio kiki ambayo yeye mwenye harmonize anaitaka ingawa ametoa wimbo kuzuga kwamba anautumia hii scandal kama kiki ya muziki. Unafikiri anapenda ulimwengu kuona na kujadili maumbile yake? Unafikiri wcb na harmonize hawajui huu umaarufu wa muda una gharama kubwa?
Akacheze porn movie😭😭😭Nasikia kwanza Mmemuongezea Sifa kuu,mtoto wa watu kawa Gumzo,kila Mdada anataka kuiona Video,wengine wanasema kuiona tu Wameloa,Ana kitu Management ya Wasafi Combined🤣🤣
Kimziki kibongo bongo alipo si pabaya,ila hili la poda sizani kama anatumia.Tuwe wakweli tuache utimu wewe unaona anapoelekea jamaa ni kuzuri?wabongo wenyewe unawajua wengi wanafiki Kama wamemgeuka anko Magu hata 40 haijafika itakuwa hao chawa wake kina hbaba na mwijaku dalili za kunikataa zishaanza kuonekana .
Jomba comments zako zinaonesha umekariri maisha ya wcb ya kiki bila kuelewa ni wakati gani na matukio gani wanatumia kama kiki, kifupi we hizi kiki umezijulia kwa hao hao WCB ila hukuelewa somo. Wale sio viazi waachie hiyo video alafu wasijue kwamba harmonize atapata umaarufu kipindi hiki, wanacholenga ni long term effect yani hizo video na hii kashfa zitaendelea tu kumuandama harmonize leo, kesho na kesho kutwa. Hio sio kiki ambayo yeye mwenye harmonize anaitaka ingawa ametoa wimbo kuzuga kwamba anautumia hii scandal kama kiki ya muziki. Unafikiri anapenda ulimwengu kuona na kujadili maumbile yake? Unafikiri wcb na harmonize hawajui huu umaarufu wa muda una gharama kubwa?
Limekuwa refu sababu kila mara unarudia ujinga wako.Gazeti refu mi shabiki maandazi tu watajua wenyewe!Ubongo wangu ushachoka!miye
Mimi bado
Nasikia tu watu wanasema washa taa sijui zima taa
Ikwapi jamani yani nimekua kama kimbwa kile cha tatu, dogi wakiwa wanafanya yao kuna kimbwa pembeni kinakuaga na wenge.... ndio mimi sasa nikiskia hizi story.Kondeeeeee achaA [emoji39][emoji39][emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23] Iko wapi jamani nami nikaone zaga za kimakonde
Bila shaka mmefurahishwa, mtamsapoti ila heshima yake hamuwezi kuirudisha.Wanawake tumependa tumefurahishwa tutamsapoti hamo[emoji12]
KAWAIDA MKUUMkuu naona umerudi katika ubora wako wa first seat.
Jamani sa ntafanyaje nami nataka kuona dudu la taifa....Pm inagoma shoogaa
Lazima apotee? wao kama kina nani? Ridhiki anatoa Mungu......ukiona kuanzia uncle shamte,aristote,lukamba,uncle shamte, Sallam sk, babalevo na rayvanny wote wanamuandama mtu mmoja ujue wanaumia sana na jamaa.....Halafu wale WCB hawawezi ogopa Sana watu wenye umoja halafu wapo wengi na wanakujua undani wako lazima upotee
Alafu hao wasafi wanajiharibia tu,wangeipotezea wangeonekna wa maana sana..Lazima apotee? wao kama kina nani? Ridhiki anatoa Mungu......ukiona kuanzia uncle shamte,aristote,lukamba,uncle shamte, Sallam sk, babalevo na rayvanny wote wanamuandama mtu mmoja ujue wanaumia sana na jamaa.....
ukitaka kujua jamaa ni mkali hebu sikiliza Vibaya na nyamaza utajua harmonize anawaumiza sana....
Alafu unasema wewe shabiki wa Harmonise kweli inaandikwa hivo? Ila wasafi haujakosea......
Wasafi wakiona mtu sio tishio hawashughuliki nae mfano mavocco ila ukiona hadi sallam anakosa raha na kujiandikisha unafiki ujue wanaumia sana....Inabidi tuanzishe hashtag #BadilikaHarmo ,pengine atatusikia mashabiki zake .unashindana na WCB ameshindwa luge mtu ambaye robo ya wasanii wote wa bongo fleva walioingia bifu na yeye walifeli il WCB wameshinda .
Harmonize ajitathmini Sana Hawa watu sio watu wazuri.
Gazeti refu mi shabiki maandazi tu watajua wenyewe!Ubongo wangu ushachoka!miye