Amesema tu kuwa golini hana mashaka napo ila hakutaja jina. Unajua hii ni kumbukumbu nzuri kwa kila mchezaji anaposikia jina lake.Diara ndiye wa kwanza kutajwa
Toa nta masikioniii!Amesema tu kuwa golini hana mashaka napo ila hakutaja jina. Unajua hii ni kumbukumbu nzuri kwa kila mchezaji anaposikia jina lake.
kibonge acha zarauToa nta masikioniii!
Samahani ndugu yangu sisi wengine hatujui kiingereza. Kama hilo neno la mwisho umenituka basi mwenyeweMawewe tunga wa kwako maana hakuna restriction.
Kabisa ni ushambaIla nyimbo za kutaja majina ni ushamba...ule wa mayelee auchoo sijui nini...eeee wa mario...wakiupiga wana Yanga wanaskip hapo kwa Mayele...
Angalizo Chama ni msimu mmoja tuu mtamfukuza...sijui wimbo wenu mtaupeleka wapi...
Asa kama kaamua kutaja kikosi chake Bora? Kwanza yeye sio msemaji wa yanga mpk ataje majina yoteWimbo mzuri sana ila umewataja tu kina Yao, Bacca, Zingeli, Aucho, Chama, Aziz, Dube na Baleke.
Kipa wetu bora kabisa Diara hujamtaja. Huyo Aziz uliyemtaja ungemalizia Ki maana haijulikani ni yupi kati ya wawili tulionao. Hivi unamuachaje Musonda.
Kwanini usiwakumbuke wachezaji wazawa kama Mudadhir, Mzize, Nondo, Job, Mkude, Mchery, Kibwana nk.
Kila jambo na wakati wake nyimbo za zamani zilikua zinaimba Rais Nyerere kasema twende geza ulole, ukisiliza leo hauelewi kitu?Ila nyimbo za kutaja majina ni ushamba...ule wa mayelee auchoo sijui nini...eeee wa mario...wakiupiga wana Yanga wanaskip hapo kwa Mayele...
Angalizo Chama ni msimu mmoja tuu mtamfukuza...sijui wimbo wenu mtaupeleka wapi...
Mkuu unao huo wimbo niusikilize nione kama sitoelewa😂Kila jambo na wakati wake nyimbo za zamani zilikua zinaimba Rais Nyerere kasema twende geza ulole, ukisiliza leo hauelewi kitu?
watatajwa yanga dayWimbo mzuri sana ila umewataja tu kina Yao, Bacca, Zingeli, Aucho, Chama, Aziz, Dube na Baleke.
Kipa wetu bora kabisa Diara hujamtaja. Huyo Aziz uliyemtaja ungemalizia Ki maana haijulikani ni yupi kati ya wawili tulionao. Hivi unamuachaje Musonda.
Kwanini usiwakumbuke wachezaji wazawa kama Mudadhir, Mzize, Nondo, Job, Mkude, Mchery, Kibwana nk.
Azizi AliSawa kama ametajwa basi naifuta hoja kwa Diara. Vipi kuhusu Aziz[ni yupi) na vipihao wengine hasa wazawa. Au amegundua ni mashabiki wa Mondi
Mtafte ZombokoMkuu unao huo wimbo niusikilize nione kama sitoelewa😂
Kwani huo ndio wimbo official wa klabu?Ila nyimbo za kutaja majina ni ushamba...ule wa mayelee auchoo sijui nini...eeee wa mario...wakiupiga wana Yanga wanaskip hapo kwa Mayele...
Angalizo Chama ni msimu mmoja tuu mtamfukuza...sijui wimbo wenu mtaupeleka wapi...
Acha ramli chonganishi kama mke wa mgangaIla nyimbo za kutaja majina ni ushamba...ule wa mayelee auchoo sijui nini...eeee wa mario...wakiupiga wana Yanga wanaskip hapo kwa Mayele...
Angalizo Chama ni msimu mmoja tuu mtamfukuza...sijui wimbo wenu mtaupeleka wapi...
Wanazingua...Ila nyimbo za kutaja majina ni ushamba...ule wa mayelee auchoo sijui nini...eeee wa mario...wakiupiga wana Yanga wanaskip hapo kwa Mayele...
Angalizo Chama ni msimu mmoja tuu mtamfukuza...sijui wimbo wenu mtaupeleka wapi...