Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Amina
Hii si ya kukosa. Sisi wananchi tunahitaji katiba Mpya.Hii ndio Taarifa iliyotolewa na waandaaji wa kongamano hilo
Magwiji kadhaa wa Mambo ya katiba watakuwepo na watatoa mada
View attachment 1911692View attachment 1911691
MUHIMU : Tufuate mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona
Hili kongamano liliandaliwa mapema sana kabla ya Mambo ya HamzaPolisi sasa hivi wanaadabu balaa
Utasikia wana intelijensia😅😅Polisi sasa hivi wanaadabu balaa
Kongamano limeandaliwa bila ya kutambulishwa waandaaji.......Hii ndio Taarifa iliyotolewa na waandaaji wa kongamano hilo
Magwiji kadhaa wa Mambo ya katiba watakuwepo na watatoa mada
View attachment 1911692View attachment 1911691
MUHIMU : Tufuate mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona
Utaratibu kama upi?Wamefata taratibu
Saiv hata kongamano mkifanyia magogoni wanawaangalia tu....Utasikia wana intelijensia[emoji28][emoji28]
Litafanikiwa vizuri. Polisi saivi hawataki mikenge ya kuingizwa kichwakichwaHili kongamano liliandaliwa mapema sana kabla ya Mambo ya Hamza
WatajuajeeeeeHii ndio Taarifa iliyotolewa na waandaaji wa kongamano hilo
Magwiji kadhaa wa Mambo ya katiba watakuwepo na watatoa mada
View attachment 1911692View attachment 1911691
MUHIMU : Tufuate mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona
Saiv hata kongamano mkifanyia magogoni wanawaangalia tu....
Hawataki matatizo na raia wema
Hilo wataandaa Uvccm kumpongeza mama kwa Tozo zuritusubiri kongamano la tozo
Ilipoishia pale sio ya wananchi. Ile ilimaliziwa ma bunge la ccmIkifikia siku serikali ikaja na mchakato wa katiba basi tutaanzia TULIPOISHIA....KATIBA PENDEKEZWA!!
#SiempreSerikaliMbiliZaJMT
#KaziIendelee