Kongamano la Wananchi la Katiba kufanyika Lamada Hotel tarehe 28/8/2021

Kongamano la Wananchi la Katiba kufanyika Lamada Hotel tarehe 28/8/2021

Kwa mujibu wa Warioba wananchi wote kwa wingi sana walipendekeza serikali 3
Wingi wao ulikuwa kiasi gani?!!!

Hivi suala la muundo wa serikali za muungano ni la kujadilika?!!!

Wamarekani hawajadili juu ya HIYARI YA KUJITENGA MAJIMBO YAO.....mpaka mwisho wa dahari!

Muungano wetu ni wa kipekee na UKITAKA KUUVUNJA basi zipitishe hoja za G55 UONE KITAKACHOTOKEA kwa pande zote mbili......

#SiempreSerikaliMbiliZaJMT
#NchiKwanzaKablaYaYeyoteNaChochote
 
Wameshafanya hivyo sio leo wala jana. Mkuu wakiomba Chauma hata kesho watakubaliwa. Hujajua kwanini ni Chadema tu??
Tuanze sasa Mkuu na Rais huyu then tuone nini kitatokea, maana bila kupata base ya madai ni ngumu kueleweka
 
MBOWE SIO GAIDI!
View attachment 1911739👊 😎✌️😅
KAMANDA_WOTE_MASHUJAA,_WAPENDA_HAKI,_WAFIA_CHAMA__tukutane_KIsutu_leo_mapema_kwenye_kesi_ya_mw...jpg
 
Bunge la katiba sio hili bunge lililopitishwa na wakurugenzi na polisi
Hayati Mzee Sitta(Rip) aliwaomba AKINA LIPUMBA wasiukache mchakato ule.....waliposusa wenzao wakaendelea nao na AKIDI HAIKUTETEREKA......

Walaumuni walioususa......

SIKU SERIKALI IKIREJEA MCHAKATO WA KATIBA MPYA BASI TUENDELEE TULIPOISHIA....KATIBA PENDEKEZWA!

#SiempreSerikaliMbiliZaJMT
#NchiKwanza
 
Hayati Mzee Sitta(Rip) aliwaomba AKINA LIPUMBA wasiukache mchakato ule.....waliposusa wenzao wakaendelea nao na AKIDI HAIKUTETEREKA......

Walaumuni walioususa......

SIKU SERIKALI IKIREJEA MCHAKATO WA KATIBA MPYA BASI TUENDELEE TULIPOISHIA....KATIBA PENDEKEZWA!

#SiempreSerikaliMbiliZaJMT
#NchiKwanza
Halafu baada ya akidi kutimia ikawaje ?
 
Hajawahi kutokea mwanasiasa mwenye ushawishi wa kumfikia Mbowe
🤣🤣🤣
Hayati baba wa taifa Nyerere alikuwa "mchungaji mifugo".....

Hayati JPM alikuwa "sonara"....

Ni Mh.DJ Mbowe pekee aliye mwanasiasa......

Najua dada una biashara zako ndani na nje ya nchi na huwa unajitokeza kuonesha bidhaa zako pale SABASABA.....

Ok endelea kuota kuwa Mbowe atakuteua kuwa KATIBU MKUU HAZINA.....🤣
 
Mmeomba kibali? Kila nchi ina utaratibu wake, hatupo USA hapa unajifanyia ujinga wako for the name of democracy
Ujinga !!. Nafikiri ni kinyume chake. Wewe ndiwe mjinga tofauti na unayemtuhumu kwa udhaifu huo.
 
🤣🤣🤣
Hayati baba wa taifa Nyerere alikuwa "mchungaji mifugo".....

Hayati JPM alikuwa "sonara"....

Ni Mh.DJ Mbowe pekee aliye mwanasiasa......

Najua dada una biashara zako ndani na nje ya nchi na huwa unajitokeza kuonesha bidhaa zako pale SABASABA.....

Ok endelea kuota kuwa Mbowe atakuteua kuwa KATIBU MKUU HAZINA.....🤣
Magufuli hakuwahi kuwa na ushawishi popote , hata kwao walimkataa
 
Hivi Jumbe Brown . Katiba mpya huru kwa wananchi wote ' inawekera nini nyinyi wana Ccm huku mmewekeza kwa wananchi toka 1961 ?!.

Hofu yenu ni nini kwa hivi vyama vidogo vidogo hivi ?!
....katiba mpya mnayoitaka ina serikali 3 ambazo zinakwenda KUUVUNJA MUUNGANO....wasioutaka Muungano walioko pande zote mbili wanataka kupitia katika huo "UCHOCHORO".....

Muungano wetu ni wa kipekee.....waje watuige...si lazima tuige kwa wengine......
 
....katiba mpya mnayoitaka ina serikali 3 ambazo zinakwenda KUUVUNJA MUUNGANO....wasioutaka Muungano walioko pande zote mbili wanataka kupitia katika huo "UCHOCHORO".....

Muungano wetu ni wa kipekee.....waje watuige...si lazima tuige kwa wengine......
wewe kama nani wa kulazimisha muungano uutakao ?
 
Hii ndio Taarifa iliyotolewa na waandaaji wa kongamano hilo

Magwiji kadhaa wa Mambo ya katiba watakuwepo na watatoa mada

View attachment 1911692View attachment 1911691

MUHIMU : Tufuate mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona
Hawaishi kuichokoza serikali kama mkakati wao kwamba wako kazini kuipinga serikali. Ni mkakati na mwongozo ii waweze kupewa hela na wafadhili wao.
 
😲😲😲You are deluded with OBSESSIVE COMPULSIVE DISORDER🤣
ndio maana chaguzi za ubunge alifanya juhudi apite bila kupingwa , kama wewe ni mtoto mdogo haya huwezi kujua , waulize wanaokutuma kama wanamkumbuka Phares Kabuye
 
Back
Top Bottom