Kwa Huyu huyu Siro analinda maslahi binafsi ya uzeeniLitafanikiwa vizuri. Polisi saivi hawataki mikenge ya kuingizwa kichwakichwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Huyu huyu Siro analinda maslahi binafsi ya uzeeniLitafanikiwa vizuri. Polisi saivi hawataki mikenge ya kuingizwa kichwakichwa
Wakizingua tunawa-hamzaPolisi sasa hivi wanaadabu balaa
Takbiiirrrrrr!!!!!Wakizingua tunawa-hamza
Waandaaji ni WananchiKongamano limeandaliwa bila ya kutambulishwa waandaaji.......
#SiempreSerikaliMbiliZaJMT
#NchiKwanza
Mkuu hapa nilipo jirani zangu wamefanya harusi leo usiki kuna mkusanyiko zaidi ya watu 200. Na hakuna kibali. Haya ni matukio ya kijamii. Kazi ya polisi ni kutumia intelijensia kubaini harufu ya uhalifu na sio kuzuia shughulo yenyewe.Mmeomba kibali? Kila nchi ina utaratibu wake, hatupo USA hapa unajifanyia ujinga wako for the name of democracy
AllahuakbarTakbiiirrrrrr!!!!!
Bunge lile lilikuwa la wananchi....Ilipoishia pale sio ya wananchi. Ile ilimaliziwa ma bunge la ccm
Wa kuomba kibali polisi!Utaratibu kama upi?
Kwa mujibu wa Warioba wananchi wote kwa wingi sana walipendekeza serikali 3Bunge lile lilikuwa la wananchi....
Prof.Lipumba akawachuuza wenzake na KUWATOA bungeni kwa hoja za visingizio vya "intarahamwe"....sasa walitoka wenyewe....ulitaka bunge livunjwe ilihali AKIDI ilitimia ?!!!!
#SiempreSerikaliMbiliZaJMT
Mkuu mimi nafikiri kuna sehemu CDM wanakosea kwenye movement zao, why kila siku wao tu wanazuiwa? Rais wa sasa yupo fair sana kwa wapinzani, hebu CDM wafuate hizo sheria zinazotajwa na hao mapolisi kuomba vibali vya mikusanyiko yao, then wakikataliwa hivyo vibali then waanzie hapo kudai haki zao za kikatiba wakiwa na viambatanishoMkuu hapa nilipo jirani zangu wamefanya harusi leo usiki kuna mkusanyiko zaidi ya watu 200. Na hakuna kibali. Haya ni matukio ya kijamii. Kazi ya polisi ni kutumia intelijensia kubaini harufu ya uhalifu na sio kuzuia shughulo yenyewe.
Mimi pia ni mwananchi na siwakilishwi na hao watu..... bunge (la katiba) ndilo lenye uhalali wa KUZISIKILIZA HOJA NZITO ZA WANANCHI WA TANZANIA KWA UJUMLA WAKE ?!!!!Waandaaji ni Wananchi
Intelijensia yao ilisinzia wakati Hamza anaingia road na mashine.Utasikia wana intelijensia[emoji28][emoji28]
Wameshafanya hivyo sio leo wala jana. Mkuu wakiomba Chauma hata kesho watakubaliwa. Hujajua kwanini ni Chadema tu??Mkuu mimi nafikiri kuna sehemu CDM wanakosea kwenye movement zao, why kila siku wao tu wanazuiwa? Rais wa sasa yupo fair sana kwa wapinzani, hebu CDM wafuate hizo sheria zinazotajwa na hao mapolisi kuomba vibali vya mikusanyiko yao, then wakikataliwa hivyo vibali then waanzie hapo kudai haki zao za kikatiba wakiwa na viambatanisho
Bunge la katiba sio hili bunge lililopitishwa na wakurugenzi na polisiMimi pia ni mwananchi na siwakilishwi na hao watu..... bunge ndilo lenye uhalali wa KUZISIKILIZA HOJA NZITO ZA WANANCHI WA TANZANIA KWA UJUMLA WAKE ?!!!!
Vinginevyo kusanyiko hilo litakuwa tu kwa ajili ya "by laws" za mitaa nisiyoishi wala kuhusika nayo.....
#SiempreSerikaliMbiliZaJMT
#G55HasReturnedToBreakTheUnion
Na maoni ya tume ya warioba yalikuwa ya uwazi na ukweli. Hakuna goli la mkono pale.Kwa mujibu wa Warioba wananchi wote kwa wingi sana walipendekeza serikali 3
Kama huijui Katiba nyamaza , Sisi hatufuati matakwa ya Sirro , tunafuata Katiba tuMkuu mimi nafikiri kuna sehemu CDM wanakosea kwenye movement zao, why kila siku wao tu wanazuiwa? Rais wa sasa yupo fair sana kwa wapinzani, hebu CDM wafuate hizo sheria zinazotajwa na hao mapolisi kuomba vibali vya mikusanyiko yao, then wakikataliwa hivyo vibali then waanzie hapo kudai haki zao za kikatiba wakiwa na viambatanisho
Mahakama wameshapata tafsri halisi ya Ugaidi kupitia tukio la juzi