Kongole nyingi Kwako Rais Samia kwa Kutujua haraka Watanzania na Kucheza vyema na Akili zetu za Kimihemko na Matukio

watu wenye vichwa vyepesi wameshasahau uozo wa tff wa 8/05.

tena kama tarehe 15/05 simba kama atafungwa/atashinda ndyo kabisa.

nashangaa sijui kwanini mwendazake alitumia nyundo kuulia mbu.

watanzania wengi wana low memory span.
Tumerogwa na ule Mwenge wa Uhuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…