Kongole Rais Uhuru Kenyatta kwa kuheshimu adhana

Hii dunia ni njia tunapita viburi vyetu sisi wanadamu havitusaidii chochote kwny huu ulimwengu.
 
Mambo sio mambo ni vita na purukushani kadhaa
Jamvini humu



Napita!
 
Uhuru nimemvulia kofia ni zaidi ya kiongozi
 
Kenyatta ni mvuta bhangi anayejitambua siyo kama afande selemani kazi kumtukana mungu tu.
 
Wamechemka hapo msikitini aisee kwa kweli shughuli ilikuwa muhimu, sio adhana kwa nguvu
Nimawazo yako pia uheshimiwe na wao waheshimiwe kwa imani yao kama alivyofanya uhuru.kufa kwa mtu haimaanishi vitu vingine kusimama maisha yanaendelea
 
Ni mawazo yako yaheshimiwe pia bila kuwanyioshea wengine vidole
 
Hao wa msikiti si wasingetumia hzo speaker kwa leo tu

Yani adhana isitolewe sababu ya mtu kufa!!! Mitume wa Mwenyezi Mungu na ndio Mitume hao, na maswahaba wameondoka na adhana zikiendelea sembuse sisi!!! Hizo akili za wapi wewe dada? Tena usirudie kuongea hayo
 
Rais Kenyatta amekua na wasomali kupitia baraza la mawaziri tangu enzi za Baba yake
Mpaka anashika madaraka na wengine wamo kwenye baraza lake la mawaziri

Anajua umuhimu wa Adhana na kusubiri iishe
Kwa watu wa Kenya sidhani kama wanashangaa hii
 
Hii habari mbona haina Proof! ni kweli imetokea au tunaongae tu?maana sisi kwa kuzungumza.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…